mdukuzi
JF-Expert Member
- Jan 4, 2014
- 20,925
- 51,688
- Thread starter
- #21
Nani kakudanganya ,baba yangu hakuwa tajiri ila hakuwa masikini tulipata mahitaji yetu yote ya msingi,chakula,mavazi na tulilala sehemu murua kabisa,salute kwake,RIP dad.Wakati unaandika haya upo kwenye nchi uliyozaliwa na kukulia, nakufia pia, ambayo ni maskini kuliko hata umaskini wenyewe.