Nilichogundua kuhusu Wanawake wa Mombasa...

Duh hadi humu zari anatajwa aiseee sijui kaingiaje hapa,watu na mahaba ya zari
 
Hater huyo utamuweza always negativity!!!
yaani..halafu mbona walishaambiwa kuwa hiyo shughuli imeandaliwa na kina mama..so walitaka hao wanaume wakafuate nini hapo
 
kiba mbinafsi sana au tuseme hana marafiki wanamuziki wenzie?,


Si ubinafsi, harusi ni kitu cha heshima na cha historia.....uwapeleke wanamuziki wa bongo fleva katika harusi ya heshima unataka uchekwe? Bongo kuna msanii gani anayejiheshimu umjuaye wewe? Karibia ya wote ni wapuuzi tu, wao wanaona ujiko kujipiga video za utupu na kusambaza mitandaoni.
 
Sijuwi kama mademu wa kibongo watakaa salama mwaka huu, naona wengi watajinyonga tu kuachwa na kaka zao. Mwanamke asiyejisitiri au mcharuko dizaini ya kina Wema, Hamisa, wao ni kuchezewa tu na kupigwa video za utupu ila kuoa unakwenda kuoa mwanamke wa maana.
 
Pia sio wachoyo chochote unachowaomba wanakupa bila maswali mingi.Ilimradi roho yako iridhike
 
Hoja ya kujaa wanawake haijaakisi ulichokieleza.Ile event ilikuwa maalum kwa ajili ya akinamama plus wanaume wachache waliokuwepo kwa sababu maalum.
 
kuna vitu hataki kusema kuhusu wanawake wa mombasa
 
Wana stara haswaa na haiba ya kike nimependa bi harusi alivyo na hayaa na staraa!hana matashtitiii mdada wa watu!hongera kungwiiii mwl wetu sio kigegooo!
Ahsante kwa kuliona hilo.Ndo watu wa Pwani wanaojua thamani ya Pwani huwa wanaishi vile.
 
Wana stara haswaa na haiba ya kike nimependa bi harusi alivyo na hayaa na staraa!hana matashtitiii mdada wa watu!hongera kungwiiii mwl wetu sio kigegooo!
Ahsante kwa kuliona hilo.Ndo watu wa Pwani wanaojua thamani ya Pwani huwa wanaishi vile.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…