DR HAYA LAND
JF-Expert Member
- Dec 26, 2017
- 23,928
- 63,499
Watz wajinga hayo ndo wanaita Mafanikio wajinga sanaIvi kuoa, ama kuwa na gari au nyumba ndo mafanikio?
wewe nae ata ujinga bado haujakutoka kabisa.!Mfano unakuta Mtu kaajiriwa analipwa 600k
Anafanya Kazi 8--9 hours
Anamiliki nyumba vyumba 3 na choo cha nje
Ana Ist used ya Mwaka 2005
Kaoa ana watoto 2 au 3
Basi utaanshangaa huyu Mtu akimcheka
Kijana bodaboda
Ambaye Hana nyumba Wala gari
Ambaye hajaoa
Sasa huyu kijana bodaboda hutumia kipato chake 1/3 kuwekeza katika Kilimo kagawa Ajira kwa vijana wa 3 na anasaidia Yatima , wajane na wazazi ndugu na Jamaa
Basi nahitimisha kwa kusema watu mnaodharau harakati za watu wakati nyie mmeajiriwa hamna Impact yoyote kwa jamii zaidi ya majungu ni wajinga na masikini wa Akili.
Ujawai kufika hata kibela kenya au nje bora unyamaze endelea kuishi mburahati nyumba za kota hapo ukiendeleza dini na kutokuoa.Mfano unakuta Mtu kaajiriwa analipwa 600k
Anafanya Kazi 8--9 hours
Anamiliki nyumba vyumba 3 na choo cha nje
Ana Ist used ya Mwaka 2005
Kaoa ana watoto 2 au 3
Basi utaanshangaa huyu Mtu akimcheka
Kijana bodaboda
Ambaye Hana nyumba Wala gari
Ambaye hajaoa
Sasa huyu kijana bodaboda hutumia kipato chake 1/3 kuwekeza katika Kilimo kagawa Ajira kwa vijana wa 3 na anasaidia Yatima , wajane na wazazi ndugu na Jamaa
Basi nahitimisha kwa kusema watu mnaodharau harakati za watu wakati nyie mmeajiriwa hamna Impact yoyote kwa jamii zaidi ya majungu ni wajinga na masikini wa Akili.
Hii ni DEDICATION Kwa wote wenye tabia tajwa hapo juu.....Mfano unakuta Mtu kaajiriwa analipwa 600k
Anafanya Kazi 8--9 hours
Anamiliki nyumba vyumba 3 na choo cha nje
Ana Ist used ya Mwaka 2005
Kaoa ana watoto 2 au 3
Basi utaanshangaa huyu Mtu akimcheka
Kijana bodaboda
Ambaye Hana nyumba Wala gari
Ambaye hajaoa
Sasa huyu kijana bodaboda hutumia kipato chake 1/3 kuwekeza katika Kilimo kagawa Ajira kwa vijana wa 3 na anasaidia Yatima , wajane na wazazi ndugu na Jamaa
Basi nahitimisha kwa kusema watu mnaodharau harakati za watu wakati nyie mmeajiriwa hamna Impact yoyote kwa jamii zaidi ya majungu ni wajinga na masikini wa Akili.
Wewe oa sisi kuoa sio kipaumbele chetu .Ujawai kufika hata kibela kenya au nje bora unyamaze endelea kuishi mburahati nyumba za kota hapo ukiendeleza dini na kutokuoa.
Ardhi ni utajiri muulize trump
Acha uongo hakuna mtu analipwa laki sita akawa na hizo mali ulizotaja.Mfano unakuta Mtu kaajiriwa analipwa 600k
Anafanya Kazi 8--9 hours
Anamiliki nyumba vyumba 3 na choo cha nje
Ana Ist used ya Mwaka 2005
Kaoa ana watoto 2 au 3
Basi utaanshangaa huyu Mtu akimcheka
Kijana bodaboda
Ambaye Hana nyumba Wala gari
Ambaye hajaoa
Sasa huyu kijana bodaboda hutumia kipato chake 1/3 kuwekeza katika Kilimo kagawa Ajira kwa vijana wa 3 na anasaidia Yatima , wajane na wazazi ndugu na Jamaa
Basi nahitimisha kwa kusema watu mnaodharau harakati za watu wakati nyie mmeajiriwa hamna Impact yoyote kwa jamii zaidi ya majungu ni wajinga na masikini wa Akili.
Hayo ni mahitaji ya Kila mwanadamu hasa ktk ulimwemgu wa Sasa... Wajuvi wa mambo uangalia mafanikio ya mtu ktk nyanja ya uwekezaji i.e mashamba, viwanja, nyumba za kupangisha etcIvi kuoa, ama kuwa na gari au nyumba ndo mafanikio?
Ivi kuoa, ama kuwa na gari au nyumba ndo mafanikio?
Mkuu Mafanikio ni suala binafsi. Ni makosa kutumia kipimo chako cha mafanikio kwa mtu mwingine. Kama malengo ni tofauti, mafanikio hayawezi fanana. Ndio, Kuwa na gari au nyumba inaweza kuwa ni mafanikio.Ivi kuoa, ama kuwa na gari au nyumba ndo mafanikio?
Ulikuja duniani kusaidia wajane?Mfano unakuta Mtu kaajiriwa analipwa 600k
Anafanya Kazi 8--9 hours
Anamiliki nyumba vyumba 3 na choo cha nje
Ana Ist used ya Mwaka 2005
Kaoa ana watoto 2 au 3
Basi utaanshangaa huyu Mtu akimcheka
Kijana bodaboda
Ambaye Hana nyumba Wala gari
Ambaye hajaoa
Sasa huyu kijana bodaboda hutumia kipato chake 1/3 kuwekeza katika Kilimo kagawa Ajira kwa vijana wa 3 na anasaidia Yatima , wajane na wazazi ndugu na Jamaa
Basi nahitimisha kwa kusema watu mnaodharau harakati za watu wakati nyie mmeajiriwa hamna Impact yoyote kwa jamii zaidi ya majungu ni wajinga na masikini wa Akili.
A successful man is not how much money he has made but rather what kind of a family he has brought up !!Ivi kuoa, ama kuwa na gari au nyumba ndo mafanikio?
Mkuu....kwa wabongo, akishakuwa na nyumba, gari, na ameoa - halo amemaliza safari ya mafanikio. Wabongo tunaridhika mapema sana....na hatujifananishi na watu waliotuzidi ki-mafanikio, tunapenda kujifanisha na kuwa-cheka wale tunaowazidi.Ivi kuoa, ama kuwa na gari au nyumba ndo mafanikio?
Ndivyo wengi waonavyo yani huku ni balaa.Ivi kuoa, ama kuwa na gari au nyumba ndo mafanikio?
Mtumie ujumbe huu Lema na CHADEMA, wamekosa sera.Mfano unakuta Mtu kaajiriwa analipwa 600k
Anafanya Kazi 8--9 hours
Anamiliki nyumba vyumba 3 na choo cha nje
Ana Ist used ya Mwaka 2005
Kaoa ana watoto 2 au 3
Basi utaanshangaa huyu Mtu akimcheka
Kijana bodaboda
Ambaye Hana nyumba Wala gari
Ambaye hajaoa
Sasa huyu kijana bodaboda hutumia kipato chake 1/3 kuwekeza katika Kilimo kagawa Ajira kwa vijana wa 3 na anasaidia Yatima , wajane na wazazi ndugu na Jamaa
Basi nahitimisha kwa kusema watu mnaodharau harakati za watu wakati nyie mmeajiriwa hamna Impact yoyote kwa jamii zaidi ya majungu ni wajinga na masikini wa Akili.