Nilichogundua, waimbaji wengi wa injili wa sasa hawana Yesu, ni biashara zaidi

Uko sawa ila suala ni THE MOTIVE BEHIND. Nini kimewasukuma kuimba? Money or service? Na hizi nyimbo nyingi wala hazipiti kwenye vyombo vya kuhariri kuona kama zinaendana na kweli za kibiblia au Teolojia. Mtu anaandika tu wimbo in an unsupervised manner. Hii ni hatari kubwa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…