Mwachiluwi
JF-Expert Member
- Mar 10, 2022
- 25,258
- 48,589
- Thread starter
-
- #41
Mfungo watu wanafanya uonekane hauna maanaMkuu bora hata hao wanaotongoza na kupanga miadi ya kutiana baada ya ramadhan kuisha, kuna walozi hao mkuu, wana mipango miovu kuliko hao wanaowazia michezo ya kuongeza idadi ya watu ulimwenguni kuliko wanaowaza kuwaua, kuwatesa watu na kukwamisha mafanikio ya wengine
mungu angekuwepo asingeruhusu.Sasa lengo lao ni kuua wana nchii kwahy hoja yako ya kusema hamna Mungu una fact ndog sana
Ulitaka ashuke awakataze acheni?mungu angekuwepo asingeruhusu.
hawezi? embu fikiria.Ulitaka ashuke awakataze acheni?
Wengi wao huogopa majungu ya watu tu kuwa Fulani atanionaje lakini sio kwamba mungu wao atawaonajeNilicho kuja kugundua watu hawafungi kweli wana funga kufwata mkumbo mtu anafunga anawaza ramadhani iishe anasema kabisa iddi mosi naenda kusex mbaya zaidi anatongoza uku akiwa kwenye mfungo
Hii ina maana kwamba watu mfungo wanafunga kinafiki sana haina maana ya wao kufunga
Ni kweli kabisa wansogopa kuitwa kobe la mchanaWengi wao huogopa majungu ya watu tu kuwa Fulani atanionaje lakini sio kwamba mungu wao atawaonaje
Alishatoa neno katika maandikohawezi? embu fikiria.
Kitimoto rosti kilo 3,000 unategemea bado wafunge?Mkuu usitoe siri
ππ halamu iyo kwaooKitimoto kilo 3,000 unategemea bado wafunge?
Mtu kafunga halafu ana betNilicho kuja kugundua watu hawafungi kweli wana funga kufwata mkumbo mtu anafunga anawaza ramadhani iishe anasema kabisa iddi mosi naenda kusex mbaya zaidi anatongoza uku akiwa kwenye mfungo
Hii ina maana kwamba watu mfungo wanafunga kinafiki sana haina maana ya wao kufunga
Haramu kwako tuππ halamu iyo kwaoo
Makobe mna tabu, wapi umeona mtu aliyefunga anawaza uzinzi? Unaingiaje mawazoni mwa mamilioni ya watu waliofunga duniani kote?Ni kweli ni sawa na kushinda njaa unafunga mawazo yapo kwenye uzinzi kweli
πHakuna watu wanaoufahamu vyema kabisa kua MUNGU hayupo ka viongozi wa dini,....
na waumini wako bize na dini kiunafiki sana, ....
Kwa ufupi watu wa dini wote ni wahuni watupu,....
Hatari nakwambiaMtu kafunga halafu ana bet
Afe njaaKuna wenye mambo yao na wafia Dini hawa wapo kufunga kweli kweli...
Wengine sie ni maji fuata mkondoππ
Wa kupuliziwaa....sasa mtu unaitwa John Ramadhan,Jacobo Mohamed unategemea afungs ili iweje..πππ
Wanasema haifaaHaramu kwako tu
Mtu anafunga ana bet? Mtu anafunga anatongoza?Makobe mna tabu, wapi umeona mtu aliyefunga anawaza uzinzi? Unaingiaje mawazoni mwa mamilioni ya watu waliofunga duniani kote?
Acha hizo kashfa kwa wanaofunga, kama wewe na hao makobe wenzako mnawaza uzinzi endeleeni ni fungu mlilolichagua.
Dini ni mbaya sana zinatesa watu Mwenyezi Mungu atuhurumie sisi wakosefuNilicho kuja kugundua watu hawafungi kweli wana funga kufwata mkumbo mtu anafunga anawaza ramadhani iishe anasema kabisa iddi mosi naenda kusex mbaya zaidi anatongoza uku akiwa kwenye mfungo
Hii ina maana kwamba watu mfungo wanafunga kinafiki sana haina maana ya wao kufunga