Nilichogundua watu hawafungi

Mfungo watu wanafanya uonekane hauna maana
 
Wengi wao huogopa majungu ya watu tu kuwa Fulani atanionaje lakini sio kwamba mungu wao atawaonaje
 
Hakuna watu wanaoufahamu vyema kabisa kua MUNGU hayupo ka viongozi wa dini,....

na waumini wako bize na dini kiunafiki sana, ....
Kwa ufupi watu wa dini wote ni wahuni watupu,....
 
Mtu kafunga halafu ana bet
 
Kuna wenye mambo yao na wafia Dini hawa wapo kufunga kweli kweli...
Wengine sie ni maji fuata mkondoπŸ˜€πŸ˜€
Wa kupuliziwaa....sasa mtu unaitwa John Ramadhan,Jacobo Mohamed unategemea afungs ili iweje..πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€
 
Ni kweli ni sawa na kushinda njaa unafunga mawazo yapo kwenye uzinzi kweli
Makobe mna tabu, wapi umeona mtu aliyefunga anawaza uzinzi? Unaingiaje mawazoni mwa mamilioni ya watu waliofunga duniani kote?
Acha hizo kashfa kwa wanaofunga, kama wewe na hao makobe wenzako mnawaza uzinzi endeleeni ni fungu mlilolichagua.
 
Hakuna watu wanaoufahamu vyema kabisa kua MUNGU hayupo ka viongozi wa dini,....

na waumini wako bize na dini kiunafiki sana, ....
Kwa ufupi watu wa dini wote ni wahuni watupu,....
πŸ™Œ
 
Kuna wenye mambo yao na wafia Dini hawa wapo kufunga kweli kweli...
Wengine sie ni maji fuata mkondoπŸ˜€πŸ˜€
Wa kupuliziwaa....sasa mtu unaitwa John Ramadhan,Jacobo Mohamed unategemea afungs ili iweje..πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€
Afe njaa
 
Makobe mna tabu, wapi umeona mtu aliyefunga anawaza uzinzi? Unaingiaje mawazoni mwa mamilioni ya watu waliofunga duniani kote?
Acha hizo kashfa kwa wanaofunga, kama wewe na hao makobe wenzako mnawaza uzinzi endeleeni ni fungu mlilolichagua.
Mtu anafunga ana bet? Mtu anafunga anatongoza?
 
Dini ni mbaya sana zinatesa watu Mwenyezi Mungu atuhurumie sisi wakosefu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…