Nilichogundua watu hawafungi

Nilichogundua watu hawafungi

Mkuu bora hata hao wanaotongoza na kupanga miadi ya kutiana baada ya ramadhan kuisha, kuna walozi hao mkuu, wana mipango miovu kuliko hao wanaowazia michezo ya kuongeza idadi ya watu ulimwenguni kuliko wanaowaza kuwaua, kuwatesa watu na kukwamisha mafanikio ya wengine
Mfungo watu wanafanya uonekane hauna maana
 
Nilicho kuja kugundua watu hawafungi kweli wana funga kufwata mkumbo mtu anafunga anawaza ramadhani iishe anasema kabisa iddi mosi naenda kusex mbaya zaidi anatongoza uku akiwa kwenye mfungo

Hii ina maana kwamba watu mfungo wanafunga kinafiki sana haina maana ya wao kufunga
Wengi wao huogopa majungu ya watu tu kuwa Fulani atanionaje lakini sio kwamba mungu wao atawaonaje
 
Hakuna watu wanaoufahamu vyema kabisa kua MUNGU hayupo ka viongozi wa dini,....

na waumini wako bize na dini kiunafiki sana, ....
Kwa ufupi watu wa dini wote ni wahuni watupu,....
 
Nilicho kuja kugundua watu hawafungi kweli wana funga kufwata mkumbo mtu anafunga anawaza ramadhani iishe anasema kabisa iddi mosi naenda kusex mbaya zaidi anatongoza uku akiwa kwenye mfungo

Hii ina maana kwamba watu mfungo wanafunga kinafiki sana haina maana ya wao kufunga
Mtu kafunga halafu ana bet
 
Kuna wenye mambo yao na wafia Dini hawa wapo kufunga kweli kweli...
Wengine sie ni maji fuata mkondo😀😀
Wa kupuliziwaa....sasa mtu unaitwa John Ramadhan,Jacobo Mohamed unategemea afungs ili iweje..😀😀😀
 
Ni kweli ni sawa na kushinda njaa unafunga mawazo yapo kwenye uzinzi kweli
Makobe mna tabu, wapi umeona mtu aliyefunga anawaza uzinzi? Unaingiaje mawazoni mwa mamilioni ya watu waliofunga duniani kote?
Acha hizo kashfa kwa wanaofunga, kama wewe na hao makobe wenzako mnawaza uzinzi endeleeni ni fungu mlilolichagua.
 
Hakuna watu wanaoufahamu vyema kabisa kua MUNGU hayupo ka viongozi wa dini,....

na waumini wako bize na dini kiunafiki sana, ....
Kwa ufupi watu wa dini wote ni wahuni watupu,....
🙌
 
Kuna wenye mambo yao na wafia Dini hawa wapo kufunga kweli kweli...
Wengine sie ni maji fuata mkondo😀😀
Wa kupuliziwaa....sasa mtu unaitwa John Ramadhan,Jacobo Mohamed unategemea afungs ili iweje..😀😀😀
Afe njaa
 
Makobe mna tabu, wapi umeona mtu aliyefunga anawaza uzinzi? Unaingiaje mawazoni mwa mamilioni ya watu waliofunga duniani kote?
Acha hizo kashfa kwa wanaofunga, kama wewe na hao makobe wenzako mnawaza uzinzi endeleeni ni fungu mlilolichagua.
Mtu anafunga ana bet? Mtu anafunga anatongoza?
 
Nilicho kuja kugundua watu hawafungi kweli wana funga kufwata mkumbo mtu anafunga anawaza ramadhani iishe anasema kabisa iddi mosi naenda kusex mbaya zaidi anatongoza uku akiwa kwenye mfungo

Hii ina maana kwamba watu mfungo wanafunga kinafiki sana haina maana ya wao kufunga
Dini ni mbaya sana zinatesa watu Mwenyezi Mungu atuhurumie sisi wakosefu
 
Back
Top Bottom