Nilichojifunza kusafiria Pikipiki safari ndefu

Nilichojifunza kusafiria Pikipiki safari ndefu

Kuna pikipiki halafu kuna tukutuku....

Mimi pia ni mdau mkubwa wa haya madude na siyaogopi hata, ila napenda yale manene halafu mapana, likianguka pekeyako hulinyanyui...😅

Halafu owe bomba mbili, hapo na suti yangu ya leather na kofia kuubwa nafika Joberg bila hiyana.
Screenshot_20241025-105739_Chrome.jpg


Screenshot_20241025-105815_Chrome.jpg


Screenshot_20241025-110000_Chrome.jpg


Screenshot_20241025-110106_Chrome.jpg


Namna hiyo...😋😋😋




Boda mpaka boda...😉
 
Kuna pikipiki halafu kuna tukutuku....

Mimi pia ni mdau mkubwa wa haya madude na siyaogopi hata, ila napenda yale manene halafu mapana, likianguka pekeyako hulinyanyui...😅

Halafu owe bomba mbili, hapo na suti yangu ya leather na kofia kuubwa nafika Joberg bila hiyana.
View attachment 3135188

View attachment 3135189

View attachment 3135190

View attachment 3135191

Namna hiyo...😋😋😋

View attachment 3135193


Boda mpaka boda...😉
Ebhanaeeeeee sikujua kwamba drift ya pikipiki inaweza kuwa 🔥🔥 namna hii 😄
 
imagance ni nini maama yake?? emmergence ni dharura hiyo yako ulimaanisha nini naneno sulualu ni kitu gani au misemo mipya mjini
Ukiona hivyo ujue mshangazi kama huu kushaukera, yaani amekuona kigwasa usie na akili kwa kutumia pesa zako vibaya mpaka zikuumuze mwenyewe, imagine unaacha kutoa nauli kwenye basi ukae utulie wewe umeamua kupoteza nguvu zako na muda wako bure, wakati hizo pesa ungeweza kumpa yeye anakupatia mabuno
 
Mwaka Jana nilijaribu kwenda masafa marefu na piki piki ilikuwa BOXER 125 nilienda shinyanga nilitumia masaa zaidi ya 12 maana nilitoka dar es salaam alfajiri nikafika shinyanga jioni kwenye saa 1 hivi kasoro...! Boxer kidogo barabarani ilikuwa inayumba Nategemea kwenda Shinyanga kwa pikipiki aina ya Boxer, CC 125
View attachment 3135103
Mwaka huu hivi karibuni nikaamua kubadilisha usafiri nikatumia Tvs hizi toleo jibya wanaziita TVS HLX 5G hizi pikipiki nilikuwa sizielewi ila kwakweli mfumo wake ni mzuri japo kwa mbali ukikosea kuzipanga gia vizuri Ina mtetemo ila ni kwa mbali sana...na gia ukizipatia kuingiza inatulia inakuwa kama baiskel vile...Ina kuwa nyepesi na haiyumbi au kupepesuka barabarani.
View attachment 3135112

Angalizo ukiwa unataka kutumia usafiri wa piki piki kwa masafa marefu...​
  1. Mwaga oil​
  2. Kuwa na spana za akiba.​
  3. Mafuta hayana shida sana maana shell zipo Kila Kona. Ila ukibebab kidumu Cha mafuta walau Cha lita 5 chenye mafuta ya imagance sio mbaya.​
  4. Beba balbu ya taa ya mbele.​
  5. Usithubutu kusafiri na piki piki jioni...mwisho wa kusafiri na piki piki ni saa 12 jioni. Kigiza kikianza kuingia barabara kubwa inakuwa hatari sana...madereva wasio na akili Wana washa headlight itakavyo kufanya upoteze uelekeo.View attachment 3135121hivyo ni Bora ukathitisha safari Giza likiingia.​
  6. Vaa sulualu zaidi ya Moja barabarani Kuna bari sana. Vaa hata jinzi Tatu.​
  7. Vaa masharti ya mikono mirefu hata mawili pamoja na jaketi zito la ngozi.​
  8. Vaa viatu haswa mabuti yatakayo kufanya uibane suluali.​
  9. Badilisha oil Yako mwanzo wa safari...!​
  10. Usilazimishe ku over take mabasi​
  11. Nenda mwendo wa kawaida tu speed 80...ila kama uoni wako ni mzuri unaweza kwenda zaidi ya speed hiyo ila kwa uangalifu mkubwa.View attachment 3135133kwakweli sijutii kabisa kusafiria Pikipiki nilikuwa naogopa sana kutumia pikipiki zenye cc mdogo ila sio hatari kama Wanavyo dai...nili enjoy sana safari za pikipiki.​
Vipi kiuno na makalio havikukakamaa ulipofika mwisho wa safari?
 
Watu mnapenda kuweka maisha yenu rehani!!. Km 40 tu kusafiri na piki piki mjini siwezi labda iwe vijijini huko ambako hakuna usafiri
Wacha uoga .........futa unalopaka watoto wa watu na kuwatoa blue band wala uogopi......lakini pikipiki aaaah naogopa kifo ......hata huko kwenye futa pia kuna kifo tena cha aibu sana zingatia
 
Back
Top Bottom