Mpiga Paspoti
JF-Expert Member
- Dec 29, 2022
- 309
- 1,273
Pikipiki ya cc 125 - 150 inaenda Dar hadi Shinyanga kwa kuanzia asubuhi mpaka jioni bila kuchemsha?
Kama ni kweli inawezekana wanaosema Passo ya cc 990 haiwezi wanakua wanamaanisha passo mbovu
Jini Kisiranii
Passo cc990 inatoboa Shinyanga na popote bila kuchemsha.
Ugomvi ni gari ya cc660, hii hata Moro hutoboi!!