Nakuunga mkono, kuna watumiaji wa piki piki wako makundi matano 5.
1. Kundi la kwanza ni The Poor & the destitutes.
Hili ndilo kundi kubwa. Kufuatia hali ya umasikini, watu wengi haswa vijijini wanaishi kwenye lindi la umasikini uliotopea ambapo hawana usafiri mwingine
Wowote tegemeo zaidi
pikipiki hawa ni wale wanao lazimika kutumia usafiri wa piki piki kama usafiri, tuu, wanatumia kusafiri mbali kwa sababu ya shida tuu, dharura na hakuna usafiri mwingine affordable.
2. The Mishe Mishe Men. Kuna watu wa mishe mishe za mambo yao fulani fulani za kukwepa mandata mabararani, hivyo hutumia piki piki kupitia njia za panya road ili wasidakwe.
3. The Hurry Men. Kuna watumiaji wa pikipiki hutumia ili kuwahi sehemu, usually maeneo ya mijini yenye foleni kila kona, usafiri wa pikipiki ndio usafiri pekee wa kuwahi.
4. The Ordinary Preference
Kuna watu usafiri wa pikipiki kwao ni preference, kuna usafiri mwingine mwingi, public transport, daladala, uba na bolt, taxi, magari, mabasi, treni na ndege lakini wanachagua kutumia usafiri wa pikipiki just for preference.
5. The Hobby Group both the rich and the ordinary.
Hili ni kundi la watumiaji wa piki piki kwa hobby, usually wanaendesha wenyewe, hawa wanatumia pikipiki as hobby, hawa wanakwenda na pikipiki popote kwasababu wanapenda and it is fun kwao. Ukifanya kitu unachokipenda na una enjoy, huchoki, na mapenzi yakizidi unakuwa blinded unacheza michezo ya hatari bila kugopo.
Kundi hili lina bike.loves wa kawaida na the rich and the famous. Hili ndilo kundi langu.
Nilikuwa namiliki piki piki 5 kwa matumizi mbalimbali.
1. Batavus ya 50 cc ya kuendea dukani hapo jirani.
2. Honda VT 250cc ya kuendea kazini daily
3. Beta 350 off road ya kuchezea michezo ya piki piki pale Kawe kila Jumapili.
4. Buel 1,200 cc for fun ride, hii ni racing bike, the only one in Tanzania by then, niliinulia US and it costed me a hell.
5. Harley Davidson 1.800 cc custom made for long safari.
Hii Harley bongo ni tuu na wazungu. Hii ndio ilinifanya vibaya na ikaripotiwa humu
Pascal Mayalla apata ajali..... na nilipopona nikatoa shikrani humu
Waraka wa Pascal Mayalla - Asanteni Sana!
P