ministrant
JF-Expert Member
- Jan 17, 2014
- 754
- 1,478
Mkuu ofisi yako ya kuuza Majeneza inapatikana wapi? Maana naamini kabisa unafanya biashara hiyo kwahiyo unapambana kwa hali na mali ili umalize stock mapema
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umeonesha ujinga wako upo kiwango cha SGRimagance ni nini maama yake?? emmergence ni dharura hiyo yako ulimaanisha nini naneno sulualu ni kitu gani au misemo mipya mjini
Kwalua wewe ndio michezo yako unafikiri woote tumejikatia tamaa ya maisha kama wewe??Wacha uoga .........futa unalopaka watoto wa watu na kuwatoa blue band wala uogopi......lakini pikipiki aaaah naogopa kifo ......hata huko kwenye futa pia kuna kifo tena cha aibu sana zingatia
Sasa mbona wewe pia umekosea?imagance ni nini maama yake?? emmergence ni dharura hiyo yako ulimaanisha nini naneno sulualu ni kitu gani au misemo mipya mjini
Mh mbona akili imegoma kukubali kama ni kweli hii kitu unachosekysafiri tu na gari hauwezitumiaasaa10
Na wewe ndio wale wale sio emmergence ni emergency..imagance ni nini maama yake?? emmergence ni dharura hiyo yako ulimaanisha nini naneno sulualu ni kitu gani au misemo mipya mjini
🤣👆Kuna mtu atafata huu ushauri na tutamzika kabla hajafika kwao
pikipiki yenyewe tvs! speed 60 tu highway upepo unapeperushia mbali!Kabisa dar to shinyanga masaa 12 kwa piki piki
Mimi nimeenda... hakuna kuchemsha Wala nini...! Last week nimeenda handeni, Tanga kwenda na kurudi siku hiyo hiyoPikipiki ya cc 125 - 150 inaenda Dar hadi Shinyanga kwa kuanzia asubuhi mpaka jioni bila kuchemsha?
Kama ni kweli inawezekana wanaosema Passo ya cc 990 haiwezi wanakua wanamaanisha passo mbovu
Jini Kisiranii
Hiyo ni gari na nusu...!Kuna pikipiki halafu kuna tukutuku....
Mimi pia ni mdau mkubwa wa haya madude na siyaogopi hata, ila napenda yale manene halafu mapana, likianguka pekeyako hulinyanyui...😅
Halafu owe bomba mbili, hapo na suti yangu ya leather na kofia kuubwa nafika Joberg bila hiyana.
View attachment 3135188
View attachment 3135189
View attachment 3135190
View attachment 3135191
Namna hiyo...😋😋😋
View attachment 3135193
Boda mpaka boda...😉
Vp uchovu
Imetoboa, Dar es salaam, pwani, morogoro, Dodoma, singida, Tabora...na Mimi mwenyewe ndio nilikuwa naendeshaPikipiki iliweza kutoboa singida yote?
Nilitakiwa nitumie masaa mangapi mkuu...?ACHA UONGO
Utoke Dar to Shinyanga Kwa Boxer utumie saa 12?
Kifo kipo popote mkuu sio kwenye pikipiki peke yakeKuendesha piki piki sana ni kujitakia kifo.cha lazima!
Ndugu mlipa kodi ACHA hizo!
Siyo masaa mkuu ilipaswa utumie siku 1 na masaa kadhaa!Nilitakiwa nitumie masaa mangapi mkuu...?
Siyo masaa mkuu ilipaswa utumie siku 1 na masaa kadhaa!