Nas Mapesa
JF-Expert Member
- Jul 31, 2014
- 5,286
- 5,421
Kolo likiwa na uhakika wa ugali kwa shemej huropokwa namna hii
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Historia:Kwani kuachwa Point hua inaanzaje??..unadhania hua inakua ghafla point 10?😹
Elimu yangu au kusoma kwangu sidhani kama kuna msaada kwakoWeye umetihana wa la nne au "fomfo"!?
Endeleeni tu kusikilizia maumivu. Maana matarajio yenu yalikuwa ni kuona Yanga inatolewa! Ila mwisho wa siku, aibu imewashukia. Na sasa mnakuja na mifano yenu ya kipuuzi, ya kujifariji.Mwaka jana vijana wangu wawili walikua wanafanya mitihani yao ya Taifa. Mkubwa alikua akifanya mitihani ya kidato cha 4 na huyu wa mwisho alikua akifanya mitihani ya darasa la 4.
Matokeo yao yalipotoka mwaka huu yalikua hivi:-
1. Huyu wa darasa la 4 alifaulu kwa kupata A zote. Nyumbani hapakukalika ilikua kila mgeni akija anataka kumueleza matokeo yake na sisi wazazi tulisumbuliwa sana tununue zawadi. Nilichogundua furaha yake ni kwasababu ni mara yake ya kwanza kuexperience furaha hiyo.
2. Huyu wa kidato cha 4 alifaulu kwa kupata Division 1 ya point 9. Huyu alinyong'onyea sana, na hakutaka hata zawadi. Nilimkalisha chini nilimuuliza kwanini hana furaha? Akanijibu, Baba tangu nimeanza kufanya mitihani ya Taifa sikuwahi kufaulu kwa kiwango kidogo kama hichi. Nilichogundua huyu hakua na furaha kwa sababu ana malengo makubwa.
NILICHOJIFUNZA:
1. Ukiona timu inashangilia na kulifanya jambo kubwa kuingia group stage za michuano midogo ya CAFCC, usiwacheke au kuwazuia kwasababu wametimiza malengo yao au ndiyo experience pekee waliyoipata ambayo kujirudia tena si leo wala kesho.
2. Ukiona timu inachukulia poa kuingia group stage za michuano mikubwa ya CAFCL, usiwashangae kwasababu wana malengo makubwa na nikawaida yao kufika stage hiyo.
Japo inashangaza kwa ulichoandika lakini sitaki kushangaa. Nilishangaa nilipopita kwenye kijiwe kimoja mjini nikakuta wanasema ile timu ya warabu dhaifu.Mwaka jana vijana wangu wawili walikua wanafanya mitihani yao ya Taifa. Mkubwa alikua akifanya mitihani ya kidato cha 4 na huyu wa mwisho alikua akifanya mitihani ya darasa la 4.
Matokeo yao yalipotoka mwaka huu yalikua hivi:-
1. Huyu wa darasa la 4 alifaulu kwa kupata A zote. Nyumbani hapakukalika ilikua kila mgeni akija anataka kumueleza matokeo yake na sisi wazazi tulisumbuliwa sana tununue zawadi. Nilichogundua furaha yake ni kwasababu ni mara yake ya kwanza kuexperience furaha hiyo.
2. Huyu wa kidato cha 4 alifaulu kwa kupata Division 1 ya point 9. Huyu alinyong'onyea sana, na hakutaka hata zawadi. Nilimkalisha chini nilimuuliza kwanini hana furaha? Akanijibu, Baba tangu nimeanza kufanya mitihani ya Taifa sikuwahi kufaulu kwa kiwango kidogo kama hichi. Nilichogundua huyu hakua na furaha kwa sababu ana malengo makubwa.
NILICHOJIFUNZA:
1. Ukiona timu inashangilia na kulifanya jambo kubwa kuingia group stage za michuano midogo ya CAFCC, usiwacheke au kuwazuia kwasababu wametimiza malengo yao au ndiyo experience pekee waliyoipata ambayo kujirudia tena si leo wala kesho.
2. Ukiona timu inachukulia poa kuingia group stage za michuano mikubwa ya CAFCL, usiwashangae kwasababu wana malengo makubwa na nikawaida yao kufika stage hiyo.
Mnyama Vipi Tena🦁Kuingia group stage ya 'Michuano Mikubwa' ya CAFCL in furaha tosha.
Mkuu NBC PL ni marathoni. Sasa hata nusu ya msimu haijafika upo keleleni unashangalia, hii ni akili kweli au ndo umevimbewa mihogo ya kuchemsha?!
NB: Olo ini Olo, UTOPOLO VIMBENI.
Sasa tunamsubiri mechi yao Ile ya caf na Ihefu tuone wanavyocharazwa🚶Kolo wanaiwazia yanga kuliko wanavyojiwazia wao.
Nyuzi kila dakika zinatupiwa humu kuhusu yanga tu.
Wacha inyeshe tuone panapovuja.
Wakisimama nchale, wakiinama nchale
Kwa akili y'ako timamu bila kuvuta bangi unatarajia yanga atakuachia NBC? [emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28].Kuingia group stage ya 'Michuano Mikubwa' ya CAFCL in furaha tosha.
Mkuu NBC PL ni marathoni. Sasa hata nusu ya msimu haijafika upo keleleni unashangalia, hii ni akili kweli au ndo umevimbewa mihogo ya kuchemsha?!
NB: Olo ini Olo, UTOPOLO VIMBENI.
Hii sio yanga ya kudondosha point hovyo hovyo usijipe moyo. Ile Simba ilikuwa vibaya ndo sababu waliharibu mwishoni kama ile yanga ya zahera zilikua zinaongozwa na morali mwanzoni mwa ligi na average player wengiHistoria:
Msimu Wa 2016/2017 Simba SC walifanikiwa kuongoza ligi kwa tofauti ya alama nane dhidi ya Utopolo lakini mwisho wa ligi Utopolo ilichukua ubingwa kwa tofauti ya magoli ya kufunga na kufungwa.
Hali Ilivyo Sasa:
Hata nusu msimu haujafika, Utopolo anaongoza ligi, mashabiki washaanza kujiona mabingwa. Sawa Mabingwa, Tukutane Mwisho wa Msimu.
Endeleeni tu kusikilizia maumivu. Maana matarajio yenu yalikuwa ni kuona Yanga inatolewa! Ila mwisho wa siku, aibu imewashukia. Na sasa mnakuja na mifano yenu ya kipuuzi, ya kujifariji.
Yaani Bora ungekaa kimya tusingejua kichwa chako ni cheupe kiasi ganiMwaka jana vijana wangu wawili walikua wanafanya mitihani yao ya Taifa. Mkubwa alikua akifanya mitihani ya kidato cha 4 na huyu wa mwisho alikua akifanya mitihani ya darasa la 4.
Matokeo yao yalipotoka mwaka huu yalikua hivi:-
1. Huyu wa darasa la 4 alifaulu kwa kupata A zote. Nyumbani hapakukalika ilikua kila mgeni akija anataka kumueleza matokeo yake na sisi wazazi tulisumbuliwa sana tununue zawadi. Nilichogundua furaha yake ni kwasababu ni mara yake ya kwanza kuexperience furaha hiyo.
2. Huyu wa kidato cha 4 alifaulu kwa kupata Division 1 ya point 9. Huyu alinyong'onyea sana, na hakutaka hata zawadi. Nilimkalisha chini nilimuuliza kwanini hana furaha? Akanijibu, Baba tangu nimeanza kufanya mitihani ya Taifa sikuwahi kufaulu kwa kiwango kidogo kama hichi. Nilichogundua huyu hakua na furaha kwa sababu ana malengo makubwa.
NILICHOJIFUNZA:
1. Ukiona timu inashangilia na kulifanya jambo kubwa kuingia group stage za michuano midogo ya CAFCC, usiwacheke au kuwazuia kwasababu wametimiza malengo yao au ndiyo experience pekee waliyoipata ambayo kujirudia tena si leo wala kesho.
2. Ukiona timu inachukulia poa kuingia group stage za michuano mikubwa ya CAFCL, usiwashangae kwasababu wana malengo makubwa na nikawaida yao kufika stage hiyo.
Sikujiunga JF ili nikuoneshe wewe na 'wenzako' kichwa changu ni cheupe au lah. Kichwa chako kikiwa na 'vitu' inatosha.Yaani Bora ungekaa kimya tusingejua kichwa chako ni cheupe kiasi gani
Yaani Bora ungekaa kimya tusingejua kichwa chako ni cheupe kiasi gani
Kuna mtu ameomba msaada kwako?Msaada gani unaoweza kutoa weye utopolo?Labda kusaidia kulea mbwa!Elimu yangu au kusoma kwangu sidhani kama kuna msaada kwako
Siku Kolo anafuzu mlipigaje kelele?Mwaka jana vijana wangu wawili walikua wanafanya mitihani yao ya Taifa. Mkubwa alikua akifanya mitihani ya kidato cha 4 na huyu wa mwisho alikua akifanya mitihani ya darasa la 4.
Matokeo yao yalipotoka mwaka huu yalikua hivi:-
1. Huyu wa darasa la 4 alifaulu kwa kupata A zote. Nyumbani hapakukalika ilikua kila mgeni akija anataka kumueleza matokeo yake na sisi wazazi tulisumbuliwa sana tununue zawadi. Nilichogundua furaha yake ni kwasababu ni mara yake ya kwanza kuexperience furaha hiyo.
2. Huyu wa kidato cha 4 alifaulu kwa kupata Division 1 ya point 9. Huyu alinyong'onyea sana, na hakutaka hata zawadi. Nilimkalisha chini nilimuuliza kwanini hana furaha? Akanijibu, Baba tangu nimeanza kufanya mitihani ya Taifa sikuwahi kufaulu kwa kiwango kidogo kama hichi. Nilichogundua huyu hakua na furaha kwa sababu ana malengo makubwa.
NILICHOJIFUNZA:
1. Ukiona timu inashangilia na kulifanya jambo kubwa kuingia group stage za michuano midogo ya CAFCC, usiwacheke au kuwazuia kwasababu wametimiza malengo yao au ndiyo experience pekee waliyoipata ambayo kujirudia tena si leo wala kesho.
2. Ukiona timu inachukulia poa kuingia group stage za michuano mikubwa ya CAFCL, usiwashangae kwasababu wana malengo makubwa na nikawaida yao kufika stage hiyo.
Furaha yake ni kushiriki kombe kubwa la CAFCL wakati uto akishiriki kombe la losers CAFCCWew una furaha Gani nyingine ikiwa hta ligi kuu huongozi pamoja na kumzidi yanga mechi.
Rage apewe heshima alikua sahihi sana.
Nadhani walimaanisha yanga ni mbovu,kwa hiyo kitu kibovu kikifanikiwa kukiumiza kingine basi kile kibovu kilichobovuliwa kinabovuka zaidi.Mwingine tuuchukulie kama maneno ya kishabiki.japo inashangaza kwa ulichoandika lakini sitaki kushangaa. nilishangaa nilipopita kwenye kijiwe kimoja mjini nikakuta wanasema ile timu ya warabu dhaifu
khaa yaani dhaifu baada ya kufungwa kwao? tumesahau kwamba hawa walisifiwa na yanga kuambiwa kwa mwarabu hutoki sijui na upuuzi gani