Nilichojifunza kutoka timu za Tanzania ambazo zimefuzu group stages za CAFCC na CAFCL

Nilichojifunza kutoka timu za Tanzania ambazo zimefuzu group stages za CAFCC na CAFCL

Siku Kolo anafuzu mlipigaje kelele?

Ndo mana nikasema Utopolo ni sawa na kijana wangu wa darasa la 4 ambapo alipofaulu aliona dunia yote ye ndo anaakili wakati kuna kaka yake (Simba SC) ambae japo kafaulu vizuri tu mtihani wake wa kidato cha 4, lakini hakuridhika na matokeo yake.
 
View attachment 2412608
NB: Kila mtu alitegemea mtolewe, ndo mana hata uongozi umeamua kujiuzuru ikiwa in kitendo cha kuwajibika baada ya kutolewa na kitimu kidogo.
Sasa mbona Mwamedi na Barbara hawachukui maamuzi kama hayo ya kujiuzulu! Maana timu yao ikijitahidi sana, basi ni sare. Nje ya hapo, mara zote ni kichapo tu.
 
Kidogo kidogo mpaka mwisho wa siku maumivu yataisha kabisaa.
 
Ndo mana nikasema Utopolo ni sawa na kijana wangu wa darasa la 4 ambapo alipofaulu aliona dunia yote ye ndo anaakili wakati kuna kaka yake (Simba SC) ambae japo kafaulu vizuri tu mtihani wake wa kidato cha 4, lakini hakuridhika na matokeo yake.
Mkubali mkatae Uto amebadili upepo Tz. Ndo giants kwa sasa .

Nakukumbusha akila kiporo chake Gap ni points 5
 
Wewe una furaha Gani nyingine ikiwa hata ligi kuu huongozi pamoja na kumzidi yanga mechi.

Rage apewe heshima alikuwa sahihi sana.
Ana furaha ya kuwa katka LIGI YA MABINGWA AFRIKA,
huku wewe ukiwa katika KOMBE LA WALIOFELI,
 
Wanaume wanakula mihogo Si umeona kazi yake kule tunisia, ww endelea kula chips tuje tugonge mke wako
Mwambie ashura cheupe akazane kula mihogo ili apunguze kasi ya kuchapiwa wale anaowaita wake zake kumbe anajiliwaza tu....
Watu wamestuka ana utamu mwilini na hapigi show so vijana wanamsaidia[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom