Siku Kolo anafuzu mlipigaje kelele?
Sasa mbona Mwamedi na Barbara hawachukui maamuzi kama hayo ya kujiuzulu! Maana timu yao ikijitahidi sana, basi ni sare. Nje ya hapo, mara zote ni kichapo tu.View attachment 2412608
NB: Kila mtu alitegemea mtolewe, ndo mana hata uongozi umeamua kujiuzuru ikiwa in kitendo cha kuwajibika baada ya kutolewa na kitimu kidogo.
Mkubali mkatae Uto amebadili upepo Tz. Ndo giants kwa sasa .Ndo mana nikasema Utopolo ni sawa na kijana wangu wa darasa la 4 ambapo alipofaulu aliona dunia yote ye ndo anaakili wakati kuna kaka yake (Simba SC) ambae japo kafaulu vizuri tu mtihani wake wa kidato cha 4, lakini hakuridhika na matokeo yake.
Wanaume wanakula mihogo Si umeona kazi yake kule tunisia, ww endelea kula chipsMkuu baada ya jamaa kufaulu mtihani wa darasa la 4 mihogo imeadimika huku Kisarawe.. Vipi uko ulipo ipo?
Wanaume wanakula mihogo Si umeona kazi yake kule tunisia, ww endelea kula chips tuje tugonge mke wakoMkuu baada ya jamaa kufaulu mtihani wa darasa la 4 mihogo imeadimika huku Kisarawe.. Vipi uko ulipo ipo?
Dah,nimecheka sanaWeye umetihana wa la nne au "fomfo"!?
Ana furaha ya kuwa katka LIGI YA MABINGWA AFRIKA,Wewe una furaha Gani nyingine ikiwa hata ligi kuu huongozi pamoja na kumzidi yanga mechi.
Rage apewe heshima alikuwa sahihi sana.
Mwambie ashura cheupe akazane kula mihogo ili apunguze kasi ya kuchapiwa wale anaowaita wake zake kumbe anajiliwaza tu....Wanaume wanakula mihogo Si umeona kazi yake kule tunisia, ww endelea kula chips tuje tugonge mke wako