Nilichojifunza Uchaguzi wa Kenya: Tuwape nafasi Matajiri na Watafutaji

Nilichojifunza Uchaguzi wa Kenya: Tuwape nafasi Matajiri na Watafutaji

Una hoja, ila huku haiwezekani, watu wanachukia walionacho, nimeshafanya uchunguzi mitandaoni, zaidi ya 70% ya watanzania hawapendi mwenzao aishi vizuri
Uchunguzi wako uko sahihi mkuu,naulizia swali hivi nikwann asilimia kubwa yawatanzania hatupendi mwenzetu afanikiwe au aishi vizuri.
 
Yametimia

Hustler na Mtafutaji William Samuel Ruto ndo Rais wa 5 wa Kenya

Hongereni sana Wakenya
 
Bwashee sifa ya mbunge ni kujua kusoma na kuandika!
Hii tunaiondoa soon

Watafuata mawaziri walio wa diploma na elimu za hapa na pale alafu tunamaliza na utajiri wa kila kiongozi

Lazima uwe tajiri ili tukupe uongozi kuanzia sasa
 
Back
Top Bottom