MzeeKipusa
JF-Expert Member
- Feb 10, 2023
- 2,705
- 4,967
- Thread starter
-
- #81
Well Said!!!Ukikutana na Lazaro aliyekufa kisha akafufuliwa na Kristo Yesu, umuulize umuhimu wake ulikuwa nini hata afufuliwe!
Biblia inapokataza usiue, Mungu anajua kuna wapuuzi watajaribu kukatisha maisha ya wengine!
Huu ni ukweli usiopingikaKama unamchukia marehemu usiende huko Mana unaweza usirud
Tabu, Shida, Shija, .....tuna adhabu nyingi sana.Wasukuma mna shida
MTU WA HOVYO MWINGINE HUYU ANAENDA KUABUDU KABURI.Asalamaleku?! Tumsifu Yesu Kristu?
Saitaa? MpiraWaChaSugu? Delagawiza? Haaaya itifaki imezingatiwa!!!
Mwenzenu Mimi nilipata nafasi ya kwenda CHATO siku ya tarehe 17.03.2023 kwenye kumbukizi ya SHUJAA WETU na Jemedari wetu shupavu HAYATI. MHE.DKT. JOHN JOSEPH POMBE MAGUFULI.
Msema ukweli ni mpenzi wa Mungu,..na Hakika nayasema haya kwà dhati ya moyo wangu kabisa kabisa..ya kwamba ..Rais John Joseph Pombe Magufuli ( Rais wa Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Awamu ya Tano) alikua Kiongozi bora kuliko viongozi wote waliomtangulia tangu Taifa letu limepata uhuru.
Yeye ndiye Kiongozi pekee ambae aliweza kuzivaa sura zote nne zilizopo kwenye kiti cha Rais. Alikua na uso uliokua ukibadilika badilika. Na yote hiyo ilitokana na assignments pamoja na projects ambazo alikua akizifanya. ( Alikua hazoeleki )
Ndugu zangu, tumepoteza a very great and precious treasure ( physically) ...lakini spiritually bado tupo nae na anaishi katikati yetu.
Kaburi lake , ni asset yenye thamani kubwa sana na inapaswa kulindwa kwà Nguvu zote. Na tena ikibidi...pale kwenye kaburi iwe kama MFANO tu...yeye atolewe pale na kuwekwa KUSIKOJULIKANA.
R.I.P JPM [emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]
Sisi Wazalendo Tutakukumbuka DAIMA.
"MUNGU IBARIKI AFRIKA, MUNGU IBARIKI TANZANIA".
View attachment 2561676
Mnaanza kutengeneza mazingira ya kutapeli watu.Nilienda pale naona baadhi ya shida zangu zimeisha
Umejua alikuwa kiongozi Bora baada ya kuliona kaburi lake ??[emoji102]Asalamaleku?! Tumsifu Yesu Kristu?
Saitaa? MpiraWaChaSugu? Delagawiza? Haaaya itifaki imezingatiwa!!!
Mwenzenu Mimi nilipata nafasi ya kwenda CHATO siku ya tarehe 17.03.2023 kwenye kumbukizi ya SHUJAA WETU na Jemedari wetu shupavu HAYATI. MHE.DKT. JOHN JOSEPH POMBE MAGUFULI.
Msema ukweli ni mpenzi wa Mungu,..na Hakika nayasema haya kwà dhati ya moyo wangu kabisa kabisa..ya kwamba ..Rais John Joseph Pombe Magufuli ( Rais wa Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Awamu ya Tano) alikua Kiongozi bora kuliko viongozi wote waliomtangulia tangu Taifa letu limepata uhuru.
Yeye ndiye Kiongozi pekee ambae aliweza kuzivaa sura zote nne zilizopo kwenye kiti cha Rais. Alikua na uso uliokua ukibadilika badilika. Na yote hiyo ilitokana na assignments pamoja na projects ambazo alikua akizifanya. ( Alikua hazoeleki )
Ndugu zangu, tumepoteza a very great and precious treasure ( physically) ...lakini spiritually bado tupo nae na anaishi katikati yetu.
Kaburi lake , ni asset yenye thamani kubwa sana na inapaswa kulindwa kwà Nguvu zote. Na tena ikibidi...pale kwenye kaburi iwe kama MFANO tu...yeye atolewe pale na kuwekwa KUSIKOJULIKANA.
R.I.P JPM [emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]
Sisi Wazalendo Tutakukumbuka DAIMA.
"MUNGU IBARIKI AFRIKA, MUNGU IBARIKI TANZANIA".
View attachment 2561676
Hz ni porojoNilichokiona kilikua kimeandikwa katika lugha ambayo haipo katika Ulimwengu huu na wala lugha hiyo haijawahi kutamkwa na mtu yeyote.
#MfanoWaUpendo #FumboLaImani
Mungu akusameheMTU WA HOVYO MWINGINE HUYU ANAENDA KUABUDU KABURI.
Sawa NduguHz ni porojo
Nilikua najua kuwa ni Kiongozi bora tangu hapo awali.Umejua alikuwa kiongozi Bora baada ya kuliona kaburi lake ??[emoji102]
Aanze na wewe kwanza.Mungu akusamehe
Kupelekwa kusikojulikana, watu wasiojulikana hai na wafu, gari zisizojulikana, kura alizopata 2020 ziko kusikojulikana na hazijulikani, alifia kusikojulikana ndio ilikuwa mbiu awamu ya tano. Hivyo muenzini kwa mwili wake kuwekwa kusikojulikana, inaleta mantiki!Asalamaleku?! Tumsifu Yesu Kristu?
Saitaa? MpiraWaChaSugu? Delagawiza? Haaaya itifaki imezingatiwa!!!
Mwenzenu Mimi nilipata nafasi ya kwenda CHATO siku ya tarehe 17.03.2023 kwenye kumbukizi ya SHUJAA WETU na Jemedari wetu shupavu HAYATI. MHE.DKT. JOHN JOSEPH POMBE MAGUFULI.
Msema ukweli ni mpenzi wa Mungu,..na Hakika nayasema haya kwà dhati ya moyo wangu kabisa kabisa..ya kwamba ..Rais John Joseph Pombe Magufuli ( Rais wa Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Awamu ya Tano) alikua Kiongozi bora kuliko viongozi wote waliomtangulia tangu Taifa letu limepata uhuru.
Yeye ndiye Kiongozi pekee ambae aliweza kuzivaa sura zote nne zilizopo kwenye kiti cha Rais. Alikua na uso uliokua ukibadilika badilika. Na yote hiyo ilitokana na assignments pamoja na projects ambazo alikua akizifanya. ( Alikua hazoeleki )
Ndugu zangu, tumepoteza a very great and precious treasure ( physically) ...lakini spiritually bado tupo nae na anaishi katikati yetu.
Kaburi lake , ni asset yenye thamani kubwa sana na inapaswa kulindwa kwà Nguvu zote. Na tena ikibidi...pale kwenye kaburi iwe kama MFANO tu...yeye atolewe pale na kuwekwa KUSIKOJULIKANA.
R.I.P JPM [emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]
Sisi Wazalendo Tutakukumbuka DAIMA.
"MUNGU IBARIKI AFRIKA, MUNGU IBARIKI TANZANIA".
View attachment 2561676