Nilichokigundua kutoka kwenye Kaburi la Hayati Rais Magufuli

Nilichokigundua kutoka kwenye Kaburi la Hayati Rais Magufuli

Ukikutana na Lazaro aliyekufa kisha akafufuliwa na Kristo Yesu, umuulize umuhimu wake ulikuwa nini hata afufuliwe!

Biblia inapokataza usiue, Mungu anajua kuna wapuuzi watajaribu kukatisha maisha ya wengine!
Well Said!!!
 
Hakika Hayati Magufuli aliipenda sana TANZANIA na AFRIKA yetu. R.I.P JPM [emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]
 
"Vita ya Uchumi ni mbaya sana" JPM
C4zFbEpWQAE7MGP.jpg
 
R.I.P JPM [emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]
 
R.I.P JPM [emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]
 
Asalamaleku?! Tumsifu Yesu Kristu?

Saitaa? MpiraWaChaSugu? Delagawiza? Haaaya itifaki imezingatiwa!!!

Mwenzenu Mimi nilipata nafasi ya kwenda CHATO siku ya tarehe 17.03.2023 kwenye kumbukizi ya SHUJAA WETU na Jemedari wetu shupavu HAYATI. MHE.DKT. JOHN JOSEPH POMBE MAGUFULI.

Msema ukweli ni mpenzi wa Mungu,..na Hakika nayasema haya kwà dhati ya moyo wangu kabisa kabisa..ya kwamba ..Rais John Joseph Pombe Magufuli ( Rais wa Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Awamu ya Tano) alikua Kiongozi bora kuliko viongozi wote waliomtangulia tangu Taifa letu limepata uhuru.

Yeye ndiye Kiongozi pekee ambae aliweza kuzivaa sura zote nne zilizopo kwenye kiti cha Rais. Alikua na uso uliokua ukibadilika badilika. Na yote hiyo ilitokana na assignments pamoja na projects ambazo alikua akizifanya. ( Alikua hazoeleki )

Ndugu zangu, tumepoteza a very great and precious treasure ( physically) ...lakini spiritually bado tupo nae na anaishi katikati yetu.

Kaburi lake , ni asset yenye thamani kubwa sana na inapaswa kulindwa kwà Nguvu zote. Na tena ikibidi...pale kwenye kaburi iwe kama MFANO tu...yeye atolewe pale na kuwekwa KUSIKOJULIKANA.

R.I.P JPM [emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]

Sisi Wazalendo Tutakukumbuka DAIMA.

"MUNGU IBARIKI AFRIKA, MUNGU IBARIKI TANZANIA".
View attachment 2561676
MTU WA HOVYO MWINGINE HUYU ANAENDA KUABUDU KABURI.
 
Asalamaleku?! Tumsifu Yesu Kristu?

Saitaa? MpiraWaChaSugu? Delagawiza? Haaaya itifaki imezingatiwa!!!

Mwenzenu Mimi nilipata nafasi ya kwenda CHATO siku ya tarehe 17.03.2023 kwenye kumbukizi ya SHUJAA WETU na Jemedari wetu shupavu HAYATI. MHE.DKT. JOHN JOSEPH POMBE MAGUFULI.

Msema ukweli ni mpenzi wa Mungu,..na Hakika nayasema haya kwà dhati ya moyo wangu kabisa kabisa..ya kwamba ..Rais John Joseph Pombe Magufuli ( Rais wa Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Awamu ya Tano) alikua Kiongozi bora kuliko viongozi wote waliomtangulia tangu Taifa letu limepata uhuru.

Yeye ndiye Kiongozi pekee ambae aliweza kuzivaa sura zote nne zilizopo kwenye kiti cha Rais. Alikua na uso uliokua ukibadilika badilika. Na yote hiyo ilitokana na assignments pamoja na projects ambazo alikua akizifanya. ( Alikua hazoeleki )

Ndugu zangu, tumepoteza a very great and precious treasure ( physically) ...lakini spiritually bado tupo nae na anaishi katikati yetu.

Kaburi lake , ni asset yenye thamani kubwa sana na inapaswa kulindwa kwà Nguvu zote. Na tena ikibidi...pale kwenye kaburi iwe kama MFANO tu...yeye atolewe pale na kuwekwa KUSIKOJULIKANA.

R.I.P JPM [emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]

Sisi Wazalendo Tutakukumbuka DAIMA.

"MUNGU IBARIKI AFRIKA, MUNGU IBARIKI TANZANIA".
View attachment 2561676
Umejua alikuwa kiongozi Bora baada ya kuliona kaburi lake ??[emoji102]
 
R.I.P JPM [emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]
 
Asalamaleku?! Tumsifu Yesu Kristu?

Saitaa? MpiraWaChaSugu? Delagawiza? Haaaya itifaki imezingatiwa!!!

Mwenzenu Mimi nilipata nafasi ya kwenda CHATO siku ya tarehe 17.03.2023 kwenye kumbukizi ya SHUJAA WETU na Jemedari wetu shupavu HAYATI. MHE.DKT. JOHN JOSEPH POMBE MAGUFULI.

Msema ukweli ni mpenzi wa Mungu,..na Hakika nayasema haya kwà dhati ya moyo wangu kabisa kabisa..ya kwamba ..Rais John Joseph Pombe Magufuli ( Rais wa Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Awamu ya Tano) alikua Kiongozi bora kuliko viongozi wote waliomtangulia tangu Taifa letu limepata uhuru.

Yeye ndiye Kiongozi pekee ambae aliweza kuzivaa sura zote nne zilizopo kwenye kiti cha Rais. Alikua na uso uliokua ukibadilika badilika. Na yote hiyo ilitokana na assignments pamoja na projects ambazo alikua akizifanya. ( Alikua hazoeleki )

Ndugu zangu, tumepoteza a very great and precious treasure ( physically) ...lakini spiritually bado tupo nae na anaishi katikati yetu.

Kaburi lake , ni asset yenye thamani kubwa sana na inapaswa kulindwa kwà Nguvu zote. Na tena ikibidi...pale kwenye kaburi iwe kama MFANO tu...yeye atolewe pale na kuwekwa KUSIKOJULIKANA.

R.I.P JPM [emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]

Sisi Wazalendo Tutakukumbuka DAIMA.

"MUNGU IBARIKI AFRIKA, MUNGU IBARIKI TANZANIA".
View attachment 2561676
Kupelekwa kusikojulikana, watu wasiojulikana hai na wafu, gari zisizojulikana, kura alizopata 2020 ziko kusikojulikana na hazijulikani, alifia kusikojulikana ndio ilikuwa mbiu awamu ya tano. Hivyo muenzini kwa mwili wake kuwekwa kusikojulikana, inaleta mantiki!
 
Back
Top Bottom