Nilichokikuta kwenye iPhone sicho nilichokitarajia

Nitarudi
ar
 
Na yeye kanikalia kooni asiponitaja humu bado anahisi hayuko jf 🀣🀣🀣
Atakuwa kile kibwana changu cha Tabata bima huyu Half
πŸ˜‚πŸ˜‚Tobaa yalillah unampiga kibunda upya

Ila tafadhali usimfungie kijana wetu kama ashura kwa mwenyekiti bado tunamhitaji
 

Kweli zinatunza moto sanaaa
 

Tafuta pesa mkuu.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] sure niliiacha I4n kisa kuna chimbo 3 zilikataa ku install, nkaona niachane nayo tyuuh.

Siku I4n wakitoa limitations zao za kiwakii, mbna mapemaa tyuuh naishi nayo.
😁😁😁Kwaiyo uko na Android au zile zenyew website
 
Mazoea ya kuendesha PASSO usiyalete kwenge lc 300 gsport kila kitu kinawatu wake usiige.

Anyway unaweza pakua vikeybord app kwenye apple store hua vina acces ya customize mambo kama hayo but pia vitataka ulipie ok?
 
Dyadyaa kwann usemee nimeolekaa?
Niliolekaa tangu mdaa, ila kwa sasa ndo naishi na shem wakoo.

Afu majukumu ya kutafuta maokotooo, yanafanya tupotee JF kwa muda.

Mic u mnoo [emoji8][emoji8][emoji182][emoji182][emoji182]
Ukioleka au kuwa busy penzini kuna vitu unajikuta unavisahau tu...

Karibu tena basi...Miss you pia Dogo..
 
Nazan kichwa chako siyo kizur na kama ni kizur bhas umelewa na kama hujalewa bac ulikuwa unajib text nyingine siyo hiyo uliyo quote
 
Mazoea ya kuendesha PASSO usiyalete kwenge lc 300 gsport kila kitu kinawatu wake usiige.

Anyway unaweza pakua vikeybord app kwenye apple store hua vina acces ya customize mambo kama hayo but pia vitataka ulipie ok?

Aiseee [emoji23][emoji23][emoji23]

Habari za kulipia si atachanganyikiwa kabisa
Mwenzio kazoe Apkmode [emoji23][emoji23]
 
Mazoea ya kuendesha PASSO usiyalete kwenge lc 300 gsport kila kitu kinawatu wake usiige.

Anyway unaweza pakua vikeybord app kwenye apple store hua vina acces ya customize mambo kama hayo but pia vitataka ulipie ok?
Yani mimi nilipie keypad? Kuwa serious
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…