[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Wewe ni Mimi Sasa ndio maana hapo kwenye animal prints palinichosha,ghafla nikasikia na I phone Daaah hatujamaliza bado kusikia[emoji1787][emoji1787][emoji1787]nitakuwa naku update kila nikisikia
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nimechekaa,Alafu nilichogundua simu nyingi za iPhone za wadada awa njaa njaa NI feki yaan ukimwambia akupige picha Bora hata Tecno tochi
Sasa mzee kwanza umetumia vigezo gani kufananisha simu na gari?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kumbe wanaotumia range au land cruise LC3000 niwashamba wajanja ni wanaotumia IST na corolla [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] usiwapangie watu matumizi huyo analala mika tu ndowale wanaonunua gari arafu wanalalamika yanakunywa mafuta tafuta simu unayoipenda wewe sio kusema haina maajabu wakati likitoka toleo jipya zinaongoza kwa mauzo kuliko android
Niwe mkwer Wacha niendelee na Android yngu apa kama masimango yenyew yako hivi huyu ndugu uko alipo anahali mbaya🤣🤣Nimecheka kwenye kuwasha tochi…
Ukute hajui hata hiyo tochi waweza punguza/ kuongeza mwanga.
Ww uyo🤣🤣I4n iko vizuri bhana, ila nilicho shindwa ni limitations kibaoo, ilibidii niachane nayoo.
Khaaaah.
Jiraaaani 😅Jirani na me ninunulie aifoni 😜
Yaan kiufup boss kibunda yako ndo inaamua utumie simu Kali Kiasi gan,kiufup siyo swala os na kiufupi hakuna kitu iphone inaeza kufanya android isifanye hakipo labda uwe hujui kinafanyikaje,lakin kunavitu android inafanya iPhone hafanyi ,ikija swala la ecosystem android wapo vizur mno,NI application za kulipia zipo unapozungumzia promax kashike na Samsung s23 ultra.we umeendesha range likichichwa linakuwa likubwa unamuona mtu mwenye marcidiz Benz G class unamzarau we utakuwa mshamba Tu.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kumbe wanaotumia range au land cruise LC3000 niwashamba wajanja ni wanaotumia IST na corolla [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] usiwapangie watu matumizi huyo analala mika tu ndowale wanaonunua gari arafu wanalalamika yanakunywa mafuta tafuta simu unayoipenda wewe sio kusema haina maajabu wakati likitoka toleo jipya zinaongoza kwa mauzo kuliko android
Yaan kiufup boss kibunda yako ndo inaamua utumie simu Kali Kiasi gan,kiufup siyo swala os na kiufupi hakuna kitu iphone inaeza kufanya android isifanye hakipo labda uwe hujui kinafanyikaje,lakin kunavitu android inafanya iPhone hafanyi ,ikija swala la ecosystem android wapo vizur mno,NI application za kulipia zipo unapozungumzia promax kashike na Samsung s23 ultra.we umeendesha range likichichwa linakuwa likubwa unamuona mtu mwenye marcidiz Benz G class unamzarau we utakuwa mshamba Tu.
Na vijana wengi wa kike na kiume wametoboa majicho yao ili kupata simu za Apple.Yaani nimekuwa disappointed sana na hii simu,
Ina complications na ina lack features ambazo ni za kawaida sana kwenye android.
1. Number row on keyboard hamna.
2. Text massage app yao huwezi ku schedule message
3. Nikitaka kujua running apps yaani hadi ni click katika specific area very trickly na huwezi kuzi clear kwa pamoja.
In short apple complicates everything.
Sasa mzee kwanza umetumia vigezo gani kufananisha simu na gari?
Pili ni wapi nimewapangia watu matumizi zaidi ya kuwashauri kununua simu kutokana na mahitaji ya matumizi yao.
Au umekurupuka kabla ya kusoma, si ajabu hata hizo brand kali huna, maana wenye nazo wamenielewa ndo maana hawajapanic kama wewe, narudia sina ushabiki na brand, OS, wala version ya simu yoyote ile kwa kuwa ninaponunua simu naangalia zaidi matumizi yangu {specs} na ni simu gani inaniwezesha kufanya hayo mahitaji yangu, nje na hapo ushamba wa brand za simu sina.
Hayo maswala ya magari kawaulize wenye nayo mi niulize mambo ya mwendokasi na daladala, ila hata hivyo sio kweli wanaondesha Range wote ni wajanja kuna washamba na mapunga kibao tu na kuna wanaodrive IST na pesa zao zilopo kwenye mzunguko, kama wangekuwa na huo ushamba wa brand wakiamua kuvunja kibubu ni Bugatti au Lamborghini.
ACHA USHAMBA.
very interesting mkuuParagraph ya 1 ilifanya niachane na I4n.
Paragraph ya 1 ilifanya niachane na I4n.
😂😂Kwamba wamiliki iphone hawapendi utoto[emoji1787][emoji1787][emoji1787].
Kuna watu wana utoto kama watu wa iphones??
Mfano hapa badala ya kumuelekeza number raws inakaa wapi ktk keyboard umeishia kujishebedua tu!!!!
Lingekuwa tatizo ni la android kungekuwa na watu kibao wameshamuelekeza.
Kwa hiyo nikusaidie nini?Acha kujificha huko ila kipimo chako cha akili nikidogo sana hivi vitu namshukuru mungu kwa hiki kidogo simu yangu ya kwanza ni samsung S4 2014 yapi ni samsung note 5 2016 sasa hivi nina iphone 15 pro max so eti sina ushabiki wa brand View attachment 2799877
Kwa hiyo nikusaidie nini?
Hili SHAMBA vipi
HakikaApple ndio walianzisha ujinga wa kuondoa SD card slots na audio jack.
Simu zao ni kama jela fulani hivi.
Kwa hiyo nikusaidie nini?
Hili SHAMBA vipi