Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bado hujafuta ukweli kwamba Apple ndio kaanzisha, hata kama hao wengine wamefuatisha, na wao wamefuatisha ujinga walioanzisha Apple.
Umemaliza kila kitu [emoji23][emoji23][emoji23]Kwamba wamiliki iphone hawapendi utoto[emoji1787][emoji1787][emoji1787].
Kuna watu wana utoto kama watu wa iphones??
Mfano hapa badala ya kumuelekeza number raws inakaa wapi ktk keyboard umeishia kujishebedua tu!!!!iship ni kama ng'ombe.
Zipo dosari nyingi tu za msingi ambazo ni kama kutopata option ya kutuma sms moja kwa moja kwenye namba mpya uliyoiingiza ktk dialling screen mpaka uipige iingie kwenye history au uisave kwanza,huu ududu najua huujui sababu unachojua ni kujipiga picha chooni tu.
Lingekuwa tatizo ni la android kungekuwa na watu kibao wameshamuelekeza.
No need for SD card wakati base storage ya iPhone 13 na 13 mini ni 64GBWell samsung wanaelekea huko
Kuanzia A23,33,53 mpaka alina S23 zote hazina headphone jack
Wenyewe apple walifanya hivyo wakiamini wanaweza expand iphone storege so no need for sd cards
Mwamba wa kulaumiwa sio aliyefata mkumbo kweli bablai?No need for SD card wakati base storage ya iPhone 13 na 13 mini ni 64GB
iPhone 13 Pro Max, 14 Pro Max, 15 na 15 Plus zina base storage ya 128GB
iPhone waliondoa SD cards ili ukitaka storage kubwa uongeze hela ununue yenye storage kubwa zaidi. Hii ni biashara
Samsung, Google, Xiaomi, Oppo, Vivo na wenyewe wakaona hii ni idea nzuri kibiashara. Wakawa inspired na Apple, wakafuata mkumbo kwenye flagship zao ila wa kulaumiwa ni Apple
Wewe hujazi 128GB ila kuna wengine wanajaza 128GB na wanahitaji extra storage wakati budget zao zinawaruhusu kupata iPhone 13 yenye 128GBMwamba wa kulaumiwa sio aliyefata mkumbo kweli bablai?
Hizo storage mtu anunue cha kumtosha depends na matumizi yake. Mm sijawahi kujaza 128GB.. sasa kuchukua kitu cha gb500 si nitakuwa nawachokoza Malaika wa zamu
iCloud storage doesn’t help? Mpaka apate 256+?Wewe hujazi 128GB ila kuna wengine wanajaza 128GB na wanahitaji extra storage wakati budget zao zinawaruhusu kupata iPhone 13 yenye 128GB
As a result anapaswa ajichange aongeze hata dola 150 hivi apate 512GB
Sasa iCloud ni nini? Ni biashara na hicho ndio nilichokuwa naongeleaiCloud storage doesn’t help? Mpaka apate 256+?
Umenunua simu ya laki8+Sasa iCloud ni nini? Ni biashara na hicho ndio nilichokuwa naongelea
Asante kwa kunipunguzia mzigo wa kuelezea sana
🤣Wananikela sana awa wanadamu
Yaani utumie akili kutafuta hela pia utumie akili kutumia simu hiyo akili itapumzika saa ngapi