yellow eyes
JF-Expert Member
- Mar 6, 2018
- 2,897
- 3,336
Na wewe nae ni mtu sasa unaetegemewa na wanafamilia wanapopata matizo huwa wanaambizana "nendeni kwa flan either atawapa mawazo ya kuwajenga" kwakweli koo zingine zinahasara.Yaani nitoe ushauri kwa mtu aliyejiridhisha pasi na shaka kuwa anatombewa huyo demu wake?
Yaani umeona nyoka mwenye sumu chumbani kwako halafu unaanza kuuliza majirani umuue au la?
Wewe na mleta mada ni aina moja!
Sent using Jamii Forums mobile app
Tatizo wabongo wengi siku hizi wamejikuta wanajua kila kitu. Mtu anaspy messages za mpenzi wake nae anajiita mdukuaji [emoji23][emoji23][emoji23]Acha uongo huwezi kudukua msg za Whatsapp tunga story nyingine.
Na wewe nae ni mtu sasa unaetegemewa na wanafamilia wanapopata matizo huwa wanaambizana "nendeni kwa flan either atawapa mawazo ya kuwajenga" kwakweli koo zingine zinahasara.
Btw tusilumbane we baki na ujuaji wako wenye busara nzuri watakuja watoe ushauri wa busara
Sent using Jamii Forums mobile app
Piga chini mkuu.Kama heading hapo juu inavojieleza, nina mpenzi wangu na nimwaka watatu sasa tangu tulipoanzisha mahusiano.
Yeye anasoma chuo cha Kati Mbeya diploma ya ualimu mwaka wa pili na Mimi Niko hapa UDOM mwaka wapili bachelor of science with Education.
Walikua na rikizo ya mwezi hivi mmoja ambayo iliitumia Kwa kwenda kwao kama slivonieleza Mimi.
Kufuatia kwamba ni siku nyingi tulikua hatujaonana, nilimuomba atakapotoka kwao Tanga kurejea chuoni Mbeya baada ya kua rikizo imeisha apite Dodoma walau tuonane.
Jumamosi hii ilopita ndio alikua anarejea chuoni akawa amepita hapa Dodoma na tuka spend siku tatu pamoja mpaka jumatatu.
Lakin wakati tukiwa pamoja, nili download hacking app ya spycheckup Nika install na kukamilisha settings zote Kwa ajili ya kuanza kpekua texts zake za kwenye SMS, WhatsApp na call history zake.
Wakati Niko nae hakukua na dalili mbaya kwenye simu yake kiasi kwamba nikamuona ni innocent.
Lakin baada ya Tu kuachana na yeye kuelekea chuoni kwao ndio niaanza kushuhudia madudu.
Huyu msichana kumbe kabla ya kuja kwangu alikua Kwa njemba moja huko morogoro na alikaa yapata wiki nzima Kwa jamaa Hilo.
Hili nimelijua baada ya kubaki nampekua kupitia ile hacking app niloitega kwenye simu yake.
Yani nilikua nasoma chatting zake za WhatsApp na SMS, jamaa linamsifia kwamba anaweza kazi na linasema wiki moja alokaa nalo ilikua ndogo Kwa jinc alivokipa mambo adimu.
Kinachoniuma ni jinsi mavompenda huyu binti na tuliko toka ukijumlisha na malengo tulowekeana. Pia nime spend some amounts of money katika kipind chote za mahusiano kwa kujua ndio mke mtarajiwa kitu ambacho kinaniuma Sana mpaka sasa.
Sijamwambia chochote mpaka sasa maana inashauriwa kutofanya maaumuzi wakati WA hasira, but nazid kuumia kila naposoma chatting zake hiku maana ukiachana na Hilo njema la morogoro kuna jamaa mwingne nazani niwa hapohapo chuoni kwao ananilia tunda langu.
Guyz, actually nimekosa cha kuamua. Either nimpige chini nisonge mbele au nimkosoe Kwa anayoyafanya then niendelee nae coz ningali nampenda Sana.
In addition,. Nataka after three weeks nikapime HIV/AIDs maana nilienda peku Kwa binti huyu nilipokua sijui kama katoka Kwa mshkaji mwingine isije ikawa kaniachia na matadhi.
Sent using Jamii Forums mobile app
inasikitisha sana wadogo zetu wa kiume kizazi kipya kushindwa kuchukua maamuzi magumu. simple unaachana naye kwanini ujitese kwa umalaya wake. just unamwambia its over nahitaji kuwa alone nipange maisha yanguKama heading hapo juu inavojieleza, nina mpenzi wangu na nimwaka watatu sasa tangu tulipoanzisha mahusiano.
Yeye anasoma chuo cha Kati Mbeya diploma ya ualimu mwaka wa pili na Mimi Niko hapa UDOM mwaka wapili bachelor of science with Education.
Walikua na rikizo ya mwezi hivi mmoja ambayo iliitumia Kwa kwenda kwao kama slivonieleza Mimi.
Kufuatia kwamba ni siku nyingi tulikua hatujaonana, nilimuomba atakapotoka kwao Tanga kurejea chuoni Mbeya baada ya kua rikizo imeisha apite Dodoma walau tuonane.
Jumamosi hii ilopita ndio alikua anarejea chuoni akawa amepita hapa Dodoma na tuka spend siku tatu pamoja mpaka jumatatu.
Lakin wakati tukiwa pamoja, nili download hacking app ya spycheckup Nika install na kukamilisha settings zote Kwa ajili ya kuanza kpekua texts zake za kwenye SMS, WhatsApp na call history zake.
Wakati Niko nae hakukua na dalili mbaya kwenye simu yake kiasi kwamba nikamuona ni innocent.
Lakin baada ya Tu kuachana na yeye kuelekea chuoni kwao ndio niaanza kushuhudia madudu.
Huyu msichana kumbe kabla ya kuja kwangu alikua Kwa njemba moja huko morogoro na alikaa yapata wiki nzima Kwa jamaa Hilo.
Hili nimelijua baada ya kubaki nampekua kupitia ile hacking app niloitega kwenye simu yake.
Yani nilikua nasoma chatting zake za WhatsApp na SMS, jamaa linamsifia kwamba anaweza kazi na linasema wiki moja alokaa nalo ilikua ndogo Kwa jinc alivokipa mambo adimu.
Kinachoniuma ni jinsi mavompenda huyu binti na tuliko toka ukijumlisha na malengo tulowekeana. Pia nime spend some amounts of money katika kipind chote za mahusiano kwa kujua ndio mke mtarajiwa kitu ambacho kinaniuma Sana mpaka sasa.
Sijamwambia chochote mpaka sasa maana inashauriwa kutofanya maaumuzi wakati WA hasira, but nazid kuumia kila naposoma chatting zake hiku maana ukiachana na Hilo njema la morogoro kuna jamaa mwingne nazani niwa hapohapo chuoni kwao ananilia tunda langu.
Guyz, actually nimekosa cha kuamua. Either nimpige chini nisonge mbele au nimkosoe Kwa anayoyafanya then niendelee nae coz ningali nampenda Sana.
In addition,. Nataka after three weeks nikapime HIV/AIDs maana nilienda peku Kwa binti huyu nilipokua sijui kama katoka Kwa mshkaji mwingine isije ikawa kaniachia na matadhi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hapa umefunga mjadala.Katika mistake wengi wetu tunayofanya katika mahusiano tuliyonayo ni kumchunguza tulie naye
Binafsi sijawahi kuwa mtu wa kumfatilia niliye naye kwasababu najua moyo wangu ulivyo na ukweli mchungu wa kujitakia sitoweza kuu-handle
Mi naamini mwanamke anayekupenda kwa dhati hawezi kukusaliti..hadi inatokea mwanamke anaenda kulala week nzima kwa jamaa mwingine ni ishara kubwa sana kwamba sio sahihi kwako
Fanya maamuzi
Tatizo wabongo wengi siku hizi wamejikuta wanajua kila kitu. Mtu anaspy messages za mpenzi wake nae anajiita mdukuaji [emoji23][emoji23][emoji23]
Ndio ndio na kwa nini umdukue mpenzi wako au mkeo kama huna moyo wa uvumilivu...rikizo
Kila siku mnaambiwa kama hauko tayari kumuacha usimdukue
Sent using Jamii Forums mobile app
In addition,. Nataka after three weeks nikapime HIV/AIDs maana nilienda peku Kwa binti huyu nilipokua sijui kama katoka Kwa mshkaji mwingine isije ikawa kaniachia na matadhi.
Sio "mess up with" ni mess withDon't mess up with my dick, if u need it I'm ready to **** ur unus.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu ukikosolewa usikasirike, mwanafunzi wa chuo kikuu kukosea vitu vidogo kwenye lugha yetu ya kiswahili kinaleta ukakasi kidogo. Lugha ya wageni sijui itakuaje sasa.Naona Una kazi ya kutafuta typing errors, kazi njema Mr Spelling checker.
Sent using Jamii Forums mobile app