Amani Msumari
JF-Expert Member
- Aug 21, 2016
- 1,830
- 972
Wakuu,
Niko hapa Korogwe ambapo Kesho tutakuwa na kampeni ya mkoa kwa mgombea wa CCM ndugu Magufuli.
Wananchi wamejitokeza kwa wingi sana kumsalimia barabarani. Watu ni wengi mno. Nimeamini kuwa kiongozi anayeshughulika na matatizo ya watu, atapendwa na kuheshimiwa.
UPDATES
20/10/2020 0805
Uwanja umefurika watu na babu Seya anatumbuiza hapa.
Kuingia uwanjani ni lazima unawishwe na vitakasa mikono (sanitizer) na upimwe joto la mwili. CCM inajali na inachukua hatua zote za kiafya kama inavyoshauriwa na wataalamu wa afya
0830
Helikopta ya CCM inaamsha popo uwanjani hapa
0835
Humphrey Polepole anaongea
0850
Wagommbea Ubunge wanaeleza Utekelezaji wa ilani ya CCM, kumuombea kura Magufuli, wait wenyewe na madiwani wa CCM
0950
Magufuli anawasili uwanjani
Hongera sana Magufuli na karibu Tanga
Amani
Video (Dkt. Magufuli akiwa Mkata) 👇🏾
Niko hapa Korogwe ambapo Kesho tutakuwa na kampeni ya mkoa kwa mgombea wa CCM ndugu Magufuli.
Wananchi wamejitokeza kwa wingi sana kumsalimia barabarani. Watu ni wengi mno. Nimeamini kuwa kiongozi anayeshughulika na matatizo ya watu, atapendwa na kuheshimiwa.
UPDATES
20/10/2020 0805
Uwanja umefurika watu na babu Seya anatumbuiza hapa.
Kuingia uwanjani ni lazima unawishwe na vitakasa mikono (sanitizer) na upimwe joto la mwili. CCM inajali na inachukua hatua zote za kiafya kama inavyoshauriwa na wataalamu wa afya
0830
Helikopta ya CCM inaamsha popo uwanjani hapa
0835
Humphrey Polepole anaongea
0850
Wagommbea Ubunge wanaeleza Utekelezaji wa ilani ya CCM, kumuombea kura Magufuli, wait wenyewe na madiwani wa CCM
0950
Magufuli anawasili uwanjani
Hongera sana Magufuli na karibu Tanga
Amani
Video (Dkt. Magufuli akiwa Mkata) 👇🏾