Uchaguzi 2020 Nilichokiona hapa Korogwe kwenye mapokezi ya Magufuli, aaah huyu mtu anapendwa sana

Uchaguzi 2020 Nilichokiona hapa Korogwe kwenye mapokezi ya Magufuli, aaah huyu mtu anapendwa sana

Amani Msumari

JF-Expert Member
Joined
Aug 21, 2016
Posts
1,830
Reaction score
972
Wakuu,

Niko hapa Korogwe ambapo Kesho tutakuwa na kampeni ya mkoa kwa mgombea wa CCM ndugu Magufuli.

Wananchi wamejitokeza kwa wingi sana kumsalimia barabarani. Watu ni wengi mno. Nimeamini kuwa kiongozi anayeshughulika na matatizo ya watu, atapendwa na kuheshimiwa.

UPDATES

20/10/2020 0805

Uwanja umefurika watu na babu Seya anatumbuiza hapa.

Kuingia uwanjani ni lazima unawishwe na vitakasa mikono (sanitizer) na upimwe joto la mwili. CCM inajali na inachukua hatua zote za kiafya kama inavyoshauriwa na wataalamu wa afya

0830

Helikopta ya CCM inaamsha popo uwanjani hapa

0835

Humphrey Polepole anaongea

0850

Wagommbea Ubunge wanaeleza Utekelezaji wa ilani ya CCM, kumuombea kura Magufuli, wait wenyewe na madiwani wa CCM

0950

Magufuli anawasili uwanjani

Hongera sana Magufuli na karibu Tanga

Amani

IMG_20201019_180504_7.jpg


Video (Dkt. Magufuli akiwa Mkata) 👇🏾

 
Magufuli anapendwa sana, wana Korogwe tusifanye makosa kabisa tujitokeze kwa wingi wetu tukamchague Raisi Magufuli na wabunge wa CCM Korogwe mji na Korogwe vijijini Mungu mbariki Magufuli na umpe Maisha marefu sana.
 
Back
Top Bottom