Uchaguzi 2020 Nilichokiona hapa Korogwe kwenye mapokezi ya Magufuli, aaah huyu mtu anapendwa sana

Uchaguzi 2020 Nilichokiona hapa Korogwe kwenye mapokezi ya Magufuli, aaah huyu mtu anapendwa sana

Magufuli anapendwa sana, wana Korogwe tusifanye makosa kabisa tujitokeze kwa wingi wetu tukamchague Raisi Magufuli na wabunge wa CCM Korogwe mji na Korogwe vijijini Mungu mbariki Magufuli na umpe Maisha marefu sana
Leo huku hapatoshi afu Kuna wapuuzi wachache wanadai wataibiwa kura. CHADEMA na Wapinzani wengine waliopo hapa wamekiri. Waulizeni watawapa salamu
 
Hamna RAIA mwenye akili timamu akae barabarani kumsalimia kiongozi awe wa CCM/Serikali au upinzani wote huwa wanapangwa.
 
Kiongozi wa Dini Mwamakula na Ponda wamemuomba MwenyeziMungu ili Sindano ya Sumu iliyoandaliwa na CCM ilegee na waiangukie ili iwachome wenyewe
 
Anapendwa na nani?
Yaani atese wananchi kwa miaka mitano halafu wampende?
Kuna lipi jipya na lenye maana aliwaahidi kuwafanyia wakazi wa Korogwe mwaka 2015 halafu mwisho wa siku akawafanyia?
Mkuu ccm wanafanya kitu kinaitwa political propaganda, wakiwaaminisha umma wa watz kuwa jiwe anapendwa ili kuwatisha upinzani lkn kumbe wanapoteza muda

Sent from my TECNO WX3 using JamiiForums mobile app
 
CDM wakiambiwa Magufuli awezi simama kila sehemu wanadhani mzaa, huo umati wa barabarani uliosimama kumsalimu ndio umati wa Lissu kwenye mikutano yake mikubwa halafu anataka kujilinganisha.

Ingekuwa Lissu umati huo angesimama ata kama jioni na muda wa kufanya campaign ushapita wamzonge tu apate kiki za kurusha mitandaoni akishirikiana na makabaila wenzake.

This contest is good as over Magu keshashinda tarehe 28 ni kutumitiza ritual za kisheria tu.
 
Kama lengo letu litafanikiwa,sioni maajabu ya picha hizo ulizotuma
Kupaka dada zetu rangi na kuosha masufuria ya ubwabwa ndio CSR zenu siyo[emoji1][emoji1][emoji1]!!! na weirdly ndio mafanikio yenu[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Kiongozi wa Dini Mwamakula na Ponda wamemuomba MwenyeziMungu ili Sindano ya Sumu iliyoandaliwa na CCM ilegee na waiangukie ili iwachome wenyewe
Hata sheikh Mussa, askofu Kakobe, Gwaj boy, Kadinali Pengo na wengine n viongozi wa dini.
 
Usihangaike na hao wajinga huko CCM kwani mwisho wa ubaya ni Aibu walikuwepo akina Bokasa chiluba Abacha Gadafi Sadam Hussein Elbashiri Iddy Amin dada mabutu leo hii wapo wapi?
Kifo ni kwa kila nafsi bwashee au wewe hautakufa?
 
Chadema wakiambiwa Magufuli awezi simama kila sehemu wanadhani mzaa, huo umati wa barabarani Lissu (ndio mikutano ya Lissu) halafu anataka kujikinganisha...
Lisu akisimama njiani lazima Polisiccm wapige mabomu na NECCCM Tumeccm kuanza fitna, Lakini mtukufu magufuli anasimama popote anagawa zawadi hakuna fair kabisa.
 
Kabla ya uchaguzi tuliambiwa upinzani umekufa, sahizi mnaanza kuangaika na nyomi za watu,mie mpigakura siangalii nani kajaza sana ile yule mwenye sera nzuri za kutuondoa kwny huu mkwamo.
 
Nimeingia Moshi jioni hii pale same wamekusanya watu milimani kujaza mkutano kesho .
 
Mwaka huu CCM labda waendelee na tabia ya uwizi mambo magumu.
 
Hata sheikh Mussa, askofu Kakobe, Gwaj boy, Kadinali Pengo na wengine n viongozi wa dini
Eti CCM si mnasema mmenunua Ndege mjenga reli flyover mmeleta maendeleo iweje mpo busy kuwahujumu chadema? si muache wananchi waamue wenyewe, mnaogopa kuinadi miradi ya kifisadi ndiyo maana mmeamua kuitumia NECCCM Tumeccm kufanya uchakachuaji
 
Lisu akisimama njiani lazima Polisiccm wapige mabomu na NECCCM Tumeccm kuanza fitna, Lakini mtukufu magufuli anasimama popote anagawa zawadi hakuna fair kabsa
Mjomba hapo anapita tu sio mkutano huo jioni awezi simama kwa mujibu wa NEC mikutano mwisho saa kumi umechelewa saa 12 jioni na yeye anatii sheria tofauti na Lissu.

Hizo ni nyomi za kawaida kwa Magu barabarani tangia aanze kushuka kutokea Mwanza it is impossible kwake kusimama kila sehemu maana njia nzima watu wanataka kumuona.
 
Back
Top Bottom