Uchaguzi 2020 Nilichokiona hapa Korogwe kwenye mapokezi ya Magufuli, aaah huyu mtu anapendwa sana

Uchaguzi 2020 Nilichokiona hapa Korogwe kwenye mapokezi ya Magufuli, aaah huyu mtu anapendwa sana

Kupaka dada zetu rangi na kuosha masufuria ya ubwabwa ndio CSR zenu siyo[emoji1][emoji1][emoji1]!!! na weirdly ndio mafanikio yenu[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Wewe ungekuwa hustahili kufanya hata kazi moja Kati ya hizo ulizotaja hapo usingekuwa unashinda Jf kulalamikia ugumu wa maisha.
 
Mjomba hapo anapita tu sio mkutano huo jioni awezi simama kwa mujibu wa NEC mikutano mwisho saa kumi umechelewa saa 12 jioni na yeye anatii sheria tofauti na Lissu...
Magufuli hatii Sheria na hutoa Rushwa za vitisho kwa wasipochagua CCM haleti maendeleo kwa makusudi licha ya wananchi wa jimbo kulipa kodi, kutumia vitisho ni kuvunja Sheria
 
Hahaha jmn tukapige kura tusiishie mitandaoni tu.Viva #TAL freedom is coming Tomorrow.Delete CCM Oct.28
 
Magufuli anaingia makanisani lakini siyo Mkristo. Yawezekana alibatizwa na kusoma mpaka seminarian lakini yeye ni wa SHETANI. Mkristo safi hawezi kuwa muuaji, mzinzi, mbambikiaji kesi, mwongo na mwizi. Hizo ndiyo tabia za huyo Magufuli...
Basi nakushauri ukae kwa kutulia usubiri matokeo
 
Anapendwa sana mpka nzi wake wanatia huruma

IMG_20201018_204231.jpeg
 
Magufuli hatii Sheria na hutoa Rushwa za vitisho kwa wasipochagua CCM haleti maendeleo kwa makusudi licha ya wananchi wa jimbo kulipa kodi, kutumia vitisho ni kuvunja Sheria
Nenda kaangalie Arusha mjini, Mbeya mjini na ubungo ndio utajua Magufuli anamaanisha nini anaposema maendeleo hayana chama
 
Magufuli hatii Sheria na hutoa Rushwa za vitisho kwa wasipochagua CCM haleti maendeleo kwa makusudi licha ya wananchi wa jimbo kulipa kodi, kutumia vitisho ni kuvunja Sheria
Hili ndio tatizo lenu kuongea vitu vya kufikiria badala ya vilivyo na uhalisia get back to real world.
 
Anapendwa na nani?
Yaani atese wananchi kwa miaka mitano halafu wampende?
Kuna lipi jipya na lenye maana aliwaahidi kuwafanyia wakazi wa Korogwe mwaka 2015 halafu mwisho wa siku akawafanyia?
Unataka maisha mtelezo, sio?
 
Nchii hii hata mtoto mdogo anaongoza vizuri tu, yaan kama huyu bwana ameweza kuongoza miaka mitano basi hata mtoto wa chekechea anaongoza
Ukiwalinganisha wanaotaka urais, baadhi wanaopata kushabikiwa hadi unaona huruma. Hivi kweli akili ya Lissu inaweza kuongoza nchi na ukaamini nchi itaendelea! Tutajikuta kila siku rais akitunga sheria.
 
Back
Top Bottom