Uchaguzi 2020 Nilichokiona hapa Korogwe kwenye mapokezi ya Magufuli, aaah huyu mtu anapendwa sana

Uchaguzi 2020 Nilichokiona hapa Korogwe kwenye mapokezi ya Magufuli, aaah huyu mtu anapendwa sana

Amiri jeshi ajae
Screenshot_20200610-215914_1.jpg
 
Mleta mada hujui unachoongea. Siku magufuli alipokuja kwenye mji ninapoishi nilienda kumtazama kwa kujipanga barabarani ili tu nione msafara wake na nichukue video pia, na mpaka leo video ninayo. Lakin simkubali na wala sitampa kura yangu wiki ijayo. Watu kujipanga barabarani hakuna maana kuwa anapendwa kwa kuwa wengi wanakuja kushuhudia Rais na msafara wake wapate cha kusimulia nlakin haimaanishi watampa kura zao.
 
Mleta mada hujui unachoongea. Siku magufuli alipokuja kwenye mji ninapoishi nilienda kumtazama kwa kujipanga barabarani ili tu nione msafara wake na nichukue video pia na mpaka leo video ninayo mpaka leo. Lakin simkubali na wala sitampa kura yangu wiki ijayo. Watu kujipanga barabarani hakuna maana kuwa anapendwa kwa kuwa wengi wanakuja kushuhudia Rais na msafara wake wapate cha kusimulianlakin haimaanishi watampa kira zao.

1603126743267.png



you see the difference?
 
Nenda kaangalie Arusha mjini, Mbeya mjini na ubungo ndio utajua Magufuli anamaanisha nini anaposema maendeleo hayana chama
Ebu acha porojo, mbeya mjini kuna nin cha maana alichofanya Magu au unadhan Mwanjelwa, kabwe, Uyole, Iyunga na Mbalizi hatupafahamu ?
 
Anapendwa na nani?
Yaani atese wananchi kwa miaka mitano halafu wampende?
Kuna lipi jipya na lenye maana aliwaahidi kuwafanyia wakazi wa Korogwe mwaka 2015 halafu mwisho wa siku akawafanyia?
Sasa wewe usipompenda ndio unafikir kila mtu hampendi?
 
Yule mkaguzi alikuwa tapelii, alipohojiwa kuhusu upotevu wa hiyo fedha, mbona hakutoa ushirikiano?? Kama anaushaidi na upotevu wa hiyo fedha ajitokeze hadhalani asemee. Zaidi hizi ngonjera zilienezwa na akina kabwe.
Unashikiwa mitutu halafu unaulizwa, "wee ndiyo umesema nimekwiba trilioni 1.5? Kama ni wewe ungejibuje?
 
Hahaha watoto wa shule walioenda kumuangalia Diamond akicheza jukwaani?!

Your excellency I am PURICHINGI but you are not REACHABLE. In M7 voice.
Kumbuka hao watoto wa shule baada ya miaka 6 ni watu wazima na watakuwa na mapenzi na ccm kwa sababu wamekuwa wakihudhuria mikutano yao. Maandalizi ya miaka mingi mbele akili hiyo cdm ni 0-.

Kwa mfano vijana wa scout automatically wote ni lazima wawe ccm kwa sababu wao wameizoea ccm tangia utoto wao. Haya maandalizi utopolo hawayajui.
 
Asilimia kubwa sio wakazi wa hapo,wengi wameletwa kutoka magoma,kwashemshi,mombo na vijiji vya karibu kwa ufupi mikutano ya CCM ni ya kutengeneza sio halisi hili lipo wazi na nimelishudia
 
Kumbuka hao watoto wa shule baada ya miaka 6 ni watu wazima na watakuwa na mapenzi na ccm kwa sababu wamekuwa wakihudhuria mikutano yao. Maandalizi ya miaka mingi mbele akili hiyo cdm ni 0-.

Kwa mfano vijana wa scout automatically wote ni lazima wawe ccm kwa sababu wao wameizoea ccm tangia utoto wao. Haya maandalizi utopolo hawayajui.
Hahaha hakuna kijana mwenye akili timamu atakekuwa ccm leo hii.

Kwa lipi hasa?!
 
Back
Top Bottom