Uchaguzi 2020 Nilichokiona hapa Korogwe kwenye mapokezi ya Magufuli, aaah huyu mtu anapendwa sana

Si tulishakubaliana kuwa ni ngumu kusema chochote kuhusu kupendwa Kwa JPM Kwa kuangalia namna anavyojaza nyomi mana wananchi wanamfwata Kwa mengi.

1) Wananchi wengi pamoja na watoto/wanafunzi wa shule za Msingi hawana uwezo wa kuingia kwenye show za wasanii wetu. Hivyo mikutano ya JPM inatoa fursa adhimu Kwa wananchi kuwaona wasanii wakubwa stejini bila kiingilio chochote.

2) Wapo ambao wanakwenda kumshangaa JPM Kwa vile ni Rais. Hawa ni wengi Sana pia na ninwa vyama vyote.

3) Wapo ambao wanaenda mikutano Kwa kuwa wamelazimishwa na viongozi wao wa chama. Hawa ni wale wenye uniform za chama, wanaoletewa kwa usafiri wa kwenda na kurudi na wanalipwa Posho ya kuhudhulia mkutano wa Kampeni.

4) Wapo ambao wametishwa na Maboss zao kuwa wasipoenda watakiona cha mtemakuni. Au Kwa Sababu za kinafki inabd waende kuwalidhisha Maboss zao.

5)Wapo wasanii wenyewe na wacheza shoo wao. Kundi hili hawapungui watu 200 kwenye kila mkutano.

6) Wapi viongozi wa chama na Serikali pamoja na walinz wake. Hawa pia ni Zaid ya 200.

Hivyo ndugu yangu ni ngumu Sana kujua kama wanaomfwata wanampenda au lah. Ili tujue wanaompenda Kwa dhati. Aache kutembea na wasanii ndio atajua Hali ipoje. Akishindwa Hilo asubiri tu Hadi tarehe 28/10/2020 atajua ukweli.
 
 
Yaan utaacha kupiga kistaarab utaanza kutoboa macho wagombea wengine maana sio kwa chuki hizo. Ila tambua tu #RAIS NI MAGUFULI# Cheza regae ruka ruka weeee baada ya october utaongozwa na huyo unayemchukia kqa miaka mingine MITANO.
Kama kuwa na mtazamo tofauti NI kumchukia magufuli basi wewe ndiyo mwenye chuki...MUNGU AKUPE ROHO YA IMANI ILOJAA UPENDO HATA KAMA HAUKUBALIKI...UPENDE WANAOKUPINGA....KURA YANGU KWA LISSU...NI YEYE TUU

Sent from my M100 using JamiiForums mobile app
 
Familia yake tu ilimshinda, tutampaje nchi
Eti anaitwa shujaa! Kuna mwanaJF aliwahi kulinganisha ushujaa wake na ule wa simba kule porini. Anajua Nyati ni hatari, yeye bado anajipeleka. Anapigwa pembe na kuishiwa nguvu, yeye bado ananyanyua makucha, hadi kifo. Simba ni hayawani anasamehewa. Binadamu ukijitia uhayawani, unalaaniwa na unastahili kuitwa 'pumbavu'.
 
Acha ushamba ww hao wote wameletwa na magari kutoka kila pembe ya jiji la dar mi niliyaona haya alipokuja mitaani kwetu kinyerez wala sjasimuliwa na mtu, coater, icher na dcm zilikuwa zinatoa watu waliovalia sale za kijani na njano kutoka mbagara, gongola mboto, buguruni na sehemu and zingine nyingi
 
Upendo hauna maandalizi! Unasomba watu, unazuia watu wasiende makazini, unalazimisha watu wafunge biashara zao...halafu unasema anapendwa?
 
Aya ya mwisho ndio ya muhimu. Asubiri tarehe 28.
 
. Bassodawish

Hilo la pili nikuulize kwahiyo ukimchagua mbunge wa chadema Hana haja yakuleta maendeleo tusubiri mpaka rais awe anatokea chadema wewe mbn hujielewi vilee Sasa yanini kuwa na upinzani Kama mbunge wa chadema hawezi kuleta maendeleo?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…