Uchaguzi 2020 Nilichokiona hapa Korogwe kwenye mapokezi ya Magufuli, aaah huyu mtu anapendwa sana

Hahaha unamtukana babu yako kizaa baba yako, na nilipichepuka upande wa pili nikamzaa mama yako.

Utapata laana bure.
Hakuna laana ya ivo,babu kama wewe unapigwa makofi na laana inadunda.
 
Kwanza ukimpenda Magufuli hata mwili unapata afya,we waangalie Chadema walivyokonda kwa jinsi walivyo na chuki kwa JPM.
 
Hulka ya wabongo ni kushangaa, kumshangaa mtu sio sawa nakumpenda, wanaweza wakawa wameenda kumshangaa wamuone live na msafara wake na ulinzi mkubwa alionao Rais ili wapate story za kupiga
 
Sisi
Tulikua tunakwenda kwenye mikutano ya CCM tangu wadogo mbona Sasa tunaichukia?
Chama kinapendwa kwa uongozi sio ukatili kama wa Pombe
 
Huenda wamehudhuria kwa wingi maana toka ateuliwe 5yrs ago wananchi hawajawahi kumwona laivu, lazima wawe na shauku kubwa lakini hii haiondoi kazi nzuri aliyoifanya kwenye awamu yake ya kwanza cha miaka mitano.

Mfano mimi nimemwona mara moja tu, tena nilihudhuria dhifa hiyo sababu ya uwepo wake ili nimwone laivu, la sivyo nisingeenda kuhudhuria hiyo dhifa. Maana dhifa zilizofuatia za kufanana na dhima hiyo sijaenda.
 
CCM Kagera wameanza kununua kadi za kupigia Kura kwa Baraka za Takukuru
 
Hahaha demokrasia iwepo ccm?!

Mbona itakuwa muujiza.

Ukikuta kijana yuko huko ccm, jua libaba lake ni jambazi la ccm,hivyo kutetea na kulinda wizi wa baba au mama yake.
Kutoka kwa mtanzania asiyejitambua
 
BURDANI inasomba watu njia ya magoma huku kama N'GOMBE ,usafiri wa kwenda na kurudi na POSHO sh 5000/=
 
Hulka ya wabongo ni kushangaa, kumshangaa mtu sio sawa nakumpenda, wanaweza wakawa wameenda kumshangaa wamuone live na msafara wake na ulinzi mkubwa alionao Rais ili wapate story za kupiga
Umesema kweli kwanza akiwa anapita sehemu lazima njia isafishwe ndiyo hapo watu hutaka kuona anavyopita, hata mm nikisikia Rais anapita nasogea kuona ule msafara wa magari Yale ya thamani kubwa na ule ulinzi mkubwa
 
Duh! Mitandaoni uongo mwingi. Kwabahati hata mimi nilikuwepo wakati anaingia

Nilishangaa kuona umati mkubwa sana na bodaboda wakisherehesha tena kwa mwendo wa hatari hadi kimoyo moyo nikawa nasema mungu awasaidie wasisababishe ajali.
 
Duh! Mitandaoni uongo mwingi. Kwabahati hata mimi nilikuwepo wakati anaingia

Nilishangaa kuona umati mkubwa sana na bodaboda wakisherehesha tena kwa mwendo wa hatari hadi kimoyo moyo nikawa nasema mungu awasaidie wasisababishe ajali.

Sasa uongo nini mkuu?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…