Uchaguzi 2020 Nilichokiona hapa Korogwe kwenye mapokezi ya Magufuli, aaah huyu mtu anapendwa sana

Uchaguzi 2020 Nilichokiona hapa Korogwe kwenye mapokezi ya Magufuli, aaah huyu mtu anapendwa sana

Raisi anayejali maslahi ya watumishi wa umma!!
Anayependa haki
Anayeheahimu demokrasia
Utawala wa sheria
Asiyemwonea mtu

Tarehe 28 Octobe ifike haraka!!
 
Kutoka kwa mtanzania asiyejitambua
Hahaha tunayajua majizi yote ya ccm, iko siku yatahamia magereza maana baada ya Lisa Chadema kushinda, tuna kazi sana kuyakimbiza majizi.

Sijui tufunge mipaka au tuyakamate tarehe 29/10, is too much hata kufikiria.
 
Hakuna anayempenda hapo wameenda kumshangaa mtu anayewatesa watu kwa kuwabambikia kesi kesi uonevu unyanyasaji mwingi kuwabambikia kodi za TRA wafanyabiashara wakubwa kuwapa kesi za uhujumu uchumi.
Jidanganye tu. Magufuli ndo president baba.
 
Baada ya tar 28 watu watapoteana humu we subiri!
Hawawezi kupotea, jf iliwahi kufungwa kwasababu ya sheria mpya za Magufuli, watu walihamia Kenya Talk.

Ninacho bashiri ni shambulio la mtandao huu na mitandao ya mawasiliano ya simu. Hii itatokea kati ya siku ya kupiga kura hadi matokeo kutangazwa.
 
Anapendwa na nani?

Yaani atese wananchi kwa miaka mitano halafu wampende?

Kuna lipi jipya na lenye maana aliwaahidi kuwafanyia wakazi wa Korogwe mwaka 2015 halafu mwisho wa siku akawafanyia?
Korogwe kula kijiji kilipewa mil 50
Na kula mwalimu alipewa laptop
 
Endeleeni kushabikia wanaume wenzenu tu, maana majumba mazuri wsnajengeana wao huku mnaokesha kuwasifia mkienda hospitali mnalia dawa Hakuna, mara barabara mbovu, nauli imepanda, Ada kubwa n.k
 
Endeleeni kushabikia wanaume wenzenu tu, maana majumba mazuri wsnajengeana wao huku mnaokesha kuwasifia mkienda hospitali mnalia dawa Hakuna, mara barabara mbovu, nauli imepanda, Ada kubwa n.k
Kwa hiyo unaemshabikia lisu na akitua kwenye mkutano anakutibulia vumbi tukuitaje,nyani haoni kundu lake.hata hivyo hizo changamoto za dawa,barabara mbovu hata aje huyo Lissu haziwez kwisha kwa mara moja ye amekuwa nani, maana hadi aje kuseto na kuweka mfumo ukute kitukuu chako ndo kitateseka ama kufaidi. Mnabwabwaja tu.
 
Magufuli anapendwa sana,hata mkeo anampenda sana Magufuli kuliko wewe kwasababu anajua wewe akili kichwani hamna
 
Ukiwalinganisha wanaotaka urais, baadhi wanaopata kushabikiwa hadi unaona huruma. Hivi kweli akili ya Lissu inaweza kuongoza nchi na ukaamini nchi itaendelea! Tutajikuta kila siku rais akitunga sheria.
Familia yake tu ilimshinda, tutampaje nchi
 
Nyie nadhani hampatagi nafasi ya kuona mapokezi ya Lissu.

Lissu hapokewi na wanafunzi wa primary Wala walimu.

Lissu hapokelewi kisa kumuona diamond na kiba.
 
Wakuu,

Niko hapa Korogwe ambapo Kesho tutakuwa na kampeni ya mkoa kwa mgombea wa CCM ndugu Magufuli.

Wananchi wamejitokeza kwa wingi sana kumsalimia barabarani. Watu ni wengi mno. Nimeamini kuwa kiongozi anayeshughulika na matatizo ya watu, atapendwa na kuheshimiwa.

Hongera sana Magufuli na karibu Tanga

Amani

View attachment 1605139

Video (Dkt. Magufuli akiwa Mkata) 👇🏾

View attachment 1605611
UPDATES

0805

Uwanja umefurika watu na babu Seya anatumbuiza hapa.

Kuingia uwanjani ni lazima unawishwe na vitakasa mikono (sanitizer) na upimwe joto la mwili. CCM inajali na inachukua hatua zote za kiafya kama inavyoshauriwa na wataalamu wa afya
 
Back
Top Bottom