FENtastic
JF-Expert Member
- Aug 4, 2015
- 6,780
- 10,548
Jana Segera pale... This time around lazima mvimbe midomoView attachment 1605856Amani Msumari huyo ndio rais John Pombe Magufuli
Tarehe 28 tukamilishe jambo letu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jana Segera pale... This time around lazima mvimbe midomoView attachment 1605856Amani Msumari huyo ndio rais John Pombe Magufuli
Tarehe 28 tukamilishe jambo letu
Jana Segera pale... This time around lazima mvimbe midomoView attachment 1605856View attachment 1605857
Mfa maji..... Tulieni ni kawaida kushindwaWapinzani wamekaa kaa wamekaa kaa
View attachment 1605864
Sasa ulitakaje? Wapande daladala? Ule si ulikuwa mkutano wa mkoa mzima wa Pwani?Mwanzoni nilijua propaganda ccm kubeba watu kwenda mikutanoni lakini leo nimeshuhudia live coasta zikikusanya watu kuwapeleka bagamoyo saa 11 asbh nimeshangaa sana ,usafiri ulikua shida mailimoja sababu coaster nyingi zimepeleka watu bagamoyo
Afadhali umekubali mtashindwa kama kawaida😁😁😁😁👏👏👏Mfa maji..... Tulieni ni kawaida kushindwa
We vipi? Dont reciprocate my statementAfadhali umekubali mtashindwa kama kawaida[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji122][emoji122][emoji122]
Nasikia ana kadi ya kupigia kura viongozi wa ughaibuni, ya hapa hana kwahiyo hawezi kujipigia kuwa wala kuchagua mbunge na diwani. Ni maajabu ya FirauniSisi wana Tanga tutamchagua raisi mwadilifu, sio yule jamaa mwongomwongo ambaye tayari ameshaadhibiwa kwa utovu wa nidhamu.
Mfa maji..... Tulieni ni kawaida kushindwa
Afadhali umekubali mtashindwa kama kawaida😁😁😁😁👏👏👏
🤣🤣🤣👅👅👅We vipi? Dont reciprocate my statement
Muache tabia ya kuwasomba na malori Kama mang'ombe...Kabisa mama D. Yani unajua sio Kama naongea ushabiki, aisee hilo nyomi sijapatapa ona. Kwa wale makamanda wa Lissu wanaweza kupiga simu waulize hali ilikuwaje. Kumbuka Leo mapokezi tuu mkutano n kesho
Mbona kama unafoka?Anapendwa na nani?
Yaani atese wananchi kwa miaka mitano halafu wampende?
Kuna lipi jipya na lenye maana aliwaahidi kuwafanyia wakazi wa Korogwe mwaka 2015 halafu mwisho wa siku akawafanyia?
Hivi Hawa NI ng'ombe au punda hizi?pia hivi wanafahamu madhara ya kutokwenda shule kwa watoto WETU?Jana Segera pale... This time around lazima mvimbe midomoView attachment 1605856View attachment 1605857
Hawajawahi kuwa na akiliHivi Hawa NI ng'ombe au punda hizi?pia hivi wanafahamu madhara ya kutokwenda shule kwa watoto WETU?
Sent from my M100 using JamiiForums mobile app
Ahaa, kumbe leo mkutano haupo, bado wanasomba washiriki toka vijijini kuja kujaza uwanja, na wasanii hawafika au?Kabisa mama D. Yani unajua sio Kama naongea ushabiki, aisee hilo nyomi sijapatapa ona. Kwa wale makamanda wa Lissu wanaweza kupiga simu waulize hali ilikuwaje. Kumbuka Leo mapokezi tuu mkutano n kesho
Huyo Rais wa nchi wewe acha ubwege huyo sio mcheza regae kama chiba wako. Huyo akitimba mahali itifaki inazingatiwa acha madharau.Kama kawaida shule zimefungwa ili watoto wakose masomo
Kila nikimuona Magufuli huwa nasema Mungu yupo nimetoka Kijiji ambacho kilitawaliwa na Chadema miaka 25 Huwezi amini umeme hatuujui ila 2015 Tulipokubali kumweka mwenyekiti wa wakijiji wa CCM umeme umetapakaa ajira imezagaa. 2013 Nlienda Sweden nilipata tabu kupata Visa card Ila 2016 nilienda Germany mambo ni murua kabisa unapokelewa ubalozini Kama mfalme Corona baba wa watu akaamua kufunga Ili watu wake wapone huyo Lisu alikuwa wap? Anafanya Nini? Umaskini wa wakijana wakitanzania unaletwa na kutokujitambua kwake HAKUNA SERIKALIII INAYO WAWEKEA VIJANA HELA MFUKONIAmani Msumari huyo ndio rais John Pombe Magufuli
Tarehe 28 tukamilishe jambo letu