Vincenzo Jr
Platinum Member
- Sep 23, 2020
- 24,262
- 58,728
Wahuni sana haoUnawajua TRA
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wahuni sana haoUnawajua TRA
Hope tigopesa Mastercard inaweza piaNilitumia Vodacom Visa Card!
Yupo inshallah utamuona soonmkuu ephen_ yuko ap
Ndio exactly 💯Hope tigopesa Mastercard inaweza pia
Sio kwamba alibaba wanaagiza kwa jumla yaani mzigo mkubwa?Tumia ebay pia Kuna Alibaba pia
Ukibeba PC tatu Kuna ofa kuleSio kwamba alibaba wanaagiza kwa jumla yaani mzigo mkubwa?
Hili neno mkongwe umenikumbusha mbali sana, naamini unaweza kuwa miongoni mwa watu ninaowafahamu. Lakini pia nisingependa kuliongelea hapa. Ahsante Mzee George BetramMkoa gani mkongwe?
Me nilikuwa naogopa sana, sio mzigo kutokufika tu, nilikuwa naogopa hata masuala ya kulipia kitu zaidi ya bei ya hicho kitu hapa TZ.Ebay wako vizuri nimewahi agiza PC huko mwaka juzi
Ilifika ikiwa vizuri kaka nilitumia posta ilikuwa jioni wakanichaji 10kMe nilikuwa naogopa sana, sio mzigo kutokufika tu, nilikuwa naogopa hata masuala ya kulipia kitu zaidi ya bei ya hicho kitu hapa TZ.
Vipi kuhusu hiyo PC uliyoagiza mkongwe, ilifika ikiwa na hali nzuri? Ulitumia posta au? Kama ulitumia posta ulilipia kiasi gani posta ili kuchukua mzigo wako?
Inawezekana tunafahamiana mzee, lakini pia inawezekana tuna mutual connection na watu tulioshare nao muda.Hili neno mkongwe umenikumbusha mbali sana, naamini unaweza kuwa miongoni mwa watu ninaowafahamu. Lakini pia nisingependa kuliongelea hapa. Ahsante Mzee George Betram
Sio mbaya, ni kama Bi Mkubwa alivyosema, haizidi 10000.Ilifika ikiwa vizuri kaka nilitumia posta ilikuwa jioni wakanichaji 10k
iPhone 14 pro eBay nimeona wameka 1.280.000TshNdio exactly 💯
Ebay wapo vizuri sana kakaSio mbaya, ni kama Bi Mkubwa alivyosema, haizidi 10000.
😂😂😂Niliwahi kuagiza speaker ndogo za ndani za Tv aisee walikikata hela ndefu hadi nikashangaa, bei ya spika ilifika usd 25, lakini nilikatwa 5900 ya Posta, 18% ya kodi, clearing fee, jumla nilikatwa kama , 28/29000. Iliniuma sana. Then tudude twenyewe tudogo tu!!
Si Bora ukanunue kwa chengula pale mwenge laki 9 tuiPhone 14 pro eBay nimeona wameka 1.280.000Tsh
nikifanya trial and error naona heri ji huy bongo
au
nyie chimbo lenu ni lipi mkuu
Nitawajua tu mkongwe, ngoja niendelee kuagiza vitu vidogo vidogo kwanza. TRA wakinipiga na kitu kizito nitaleta mrejesho hapa.Unawajua TRA
Kuna watu wengi saana wanatamani kuagiza vitu ebay lakini wanakosa muongozo namna ya kuagiza mnaonaje wazoefu nkatoa muongozo japo kidgo tu.Ebay wapo vizuri sana kaka
Ajaribu kuangalia na kwenye minada ya ebay, kuna wazungu wanauza vitu vyao kwa bei rafiki sana.Si Bora ukanunue kwa chengula pale mwenge laki 9 tu
Naunga mkono hoja kakaAjaribu kuangalia na kwenye minada ya ebay, kuna wazungu wanauza vitu vyao kwa bei rafiki sana.
Niliwahi kuona uzi humu watu wanalalamika kuwa tigopesa mastercard wanachota pesa moja kwa moja kutoka kwenye akaunti yako ya tigopesa, ukijichanganya kidogo tu unakuta akaunti yako ya tigopesa inakuzomea.Hope tigopesa Mastercard inaweza pia