Nilichokiona mara ya kwanza baada ya kuagiza kitu ebay

Nilichokiona mara ya kwanza baada ya kuagiza kitu ebay

Mbona cost zao eBay zinataka kufanana na Tanzania Sasa maana shipping na mzigoo wenyewe inarudi Ile ile TU ya bongo🤣
Bado haujajua kutumia vizuri eBay.
Pitia michango ya watu ujifunze.
Hivi karibuni nimetoka kununua PS4 Slim 1TB ikiwa na game pamoja na pad kwa USD 100.
Hauwezi amini, lakini wazungu eBay wanauza vitu kwa bei za ajabu sana.
 
Uzi mzuri.... Asanteni kwa michango yenu nyote nimejifunza kitu kikubwa sana
 
Okay so ni recommendable? Kuna bidhaa natamani kuagiza, ila sijapata app sahihi ya kutumia, kikuu walinicheleweshea bidhaa zangu nikakata tamaa kabisa ya kuagiza vitu online
Agiza kwa Ebay au Aliexpress hautojuta
Ila kabla ya kufanya malipo zingatia kusoma vizuri maelezo ya mzigo unaotaka kulipia kama ni kifaa cha electronic lazima ujue ni used, new, refurbished or spare parts wengi hukurupuka kulipia kwa kuona unafuu wa bei badae mzigo ukifika analalamika kwamba amepigwa
Mfano kuna mwamba aliagiza kifaa flani kilipofika hakifanyi kazi akadai amepigwa lakini alipotaka kufungua madai ili arudishiwe pesa(hii inawezekana iwapo mzigo haukufika au umefika ukiwa na changamoto kubwa kuna taratibu za kufuata pesa itarudi) sasa huyu jamaa kumbe hakusoma maelezo ya hicho kifaa yeye aliangalia bei tu akalipia kumbe kifaa hakitumiki ila kinauzwa kama spare parts!
 
Kuna watu wengi saana wanatamani kuagiza vitu ebay lakini wanakosa muongozo namna ya kuagiza mnaonaje wazoefu nkatoa muongozo japo kidgo tu.
Japo miongozo iliopo jf kama ni ya zamani kidgo na ukipitia pia kama ziko complicated saana

Kwani watu wa Posta wapo humu! 😳😳😳
Nipo 🥺
 
Back
Top Bottom