Nilichokiona mara ya kwanza baada ya kuagiza kitu ebay

Nilichokiona mara ya kwanza baada ya kuagiza kitu ebay

Gharama za kuwatumia DHL zikoje kiongozi?
Gharama inategemea na mzigo unaonunua na kama je unaunganisha as Packages ama package ya Mtu mwingine au lah...so inategemea ila palepale watakuonesha gharama zao yaani shipping cost
 
Gharama inategemea na mzigo unaonunua na kama je unaunganisha as Packages ama package ya Mtu mwingine au lah...so inategemea ila palepale watakuonesha gharama zao yaani shipping cost
Okay, tufanye nimeagiza package yenye LAPTOP ndani yake, gharama yao inakuwaje.?
 
Okay, tufanye nimeagiza package yenye LAPTOP ndani yake, gharama yao inakuwaje.?
Yaani ukiingia pale kwny mfumo ht sshv na kuona pic ya product/Products zako na kuselect...katika kuanza process ya kununua utachagua njia utakayotumia kununua, kwa mfano mimi huwa natumia Paypal kuniconnect na bank yangu kwa kadi maalum ya NMB ya Online shopping....

chini yake watakuambia hiyo gharama ya product imeinclude gharama ya usafiri (Shipping cost) au haiinclude

So utaona palepale gharama ya usafirishaji mpk ikufikie ulipo, siwezi kukuambia kwa sasa kwasababu bei inavary Ila ukiingia wewe utaona

NB: Products zingine hazifiki Bongo kutokana na regulations na conditions za hovyo za TZ So Paypal haifanikishi malipo

Ila Ebay wako poa sana

I hope umenipata
 
Yaani ukiingia pale kwny mfumo ht sshv na kuona pic ya product/Products zako na kuselect...katika kuanza process ya kununua utachagua njia utakayotumia kununua, kwa mfano mimi huwa natumia Paypal kuniconnect na bank yangu kwa kadi maalum ya NMB ya Online shopping....

chini yake watakuambia hiyo gharama ya product imeinclude gharama ya usafiri (Shipping cost) au haiinclude

So utaona palepale gharama ya usafirishaji mpk ikufikie ulipo, siwezi kukuambia kwa sasa kwasababu bei inavary Ila ukiingia wewe utaona

NB: Products zingine hazifiki Bongo kutokana na regulations na conditions za hovyo za TZ So Paypal haifanikishi malipo

Ila Ebay wako poa sana

I hope umenipata
Hii kitu naelewa mkongwe, mara nyingi wauzaji wengi wa eBay wanatumia "ebay international shipping" sio DHL, nikicheki bidhaa za masoko ya ulaya mara nyingi ndio naona huwa hawatumii "ebay international shipping".

Hapo juu umenishauri kuwa hawa DHL wako vizuri kwenye huduma ya shipping, ndio nataka kujua ninawezaje kuwatumia na gharama zao zipoje?

Yaani nataka unielekeze, nikichagua bidhaa ya kununua eBay, nawezaje kuchagua kuwatumia DHL kwa shipping? Na gharama za hawa DHL zikoje kulinganisha na eBay default shipping?
 
Hiyo ebay bidhaa nyingi shipping fee ni kubwa kuliko bei, na bidhaa nyingine hawashipp kuja Africa!
 
Okay, mimi nafahamu kuagiza bidhaa kwa kutumia mtandao wa ebay.

Hatua ya kwanza kabla haujaanza kuagiza bidhaa ebay, unatatakiwa ujiunge na mtandao wa ebay, yaani ufungue akaunti ili uweze kufanya manunuzi.
Utajisajili hapa kwenye hii link.
Security Measure

Hatua ya pili, baada ya kuwa umejisajili. Utatakiwa kuweka taarifa za mahali ambapo unahitaji mzigo utumwe endapo utafanya manunuzi.

View attachment 3101114
Ukishakamilisha usajili utaingia kwenye akaunti yako, kisha utabonyeza hako kamshkaji nilikokazungushia duara.

Itakuletea hivi.
View attachment 3101115
Ikikuletea hivi utabonyesha hapo palipoandikwa Account, nimezungushia duara nyekundu.
Ukibonyeza hapo, itakuleta hapa
👇👇👇
View attachment 3101118
Hapa utajaza taarifa zako binafsi kama vile email na namba za simu, pia sehemu unapoishi na Zip Code, Zip Code utagoogle tu, kwa mfano kama unaishi Mtama, utaenda google utaandika "Mtama Zip Code" zitakuja zip code za Mtama, utachagua iliyosahihi kulingana na eneo unaloishi.
Ukishamaliza hiki kipengere, utarudi tena hapo kwenye kimtu, utabonyeza tena kwenye neno Account, kisha utabonyeza kwenye payments (duara nyekundu).
Yaani hapa 👇👇👇
View attachment 3101121
Hapo utapewa njia za malipo, utaweka namba zako za kadi ya benki, kama unatumia Paypal unaweza pia kuweka taarifa zako za PayPal(email).
Ukikamilisha hivi vipengere vyote unakuwa upo tayari kununua bidhaa yoyote katika mtandao wa ebay.

Hatua ya pili, kutafuta vitu unavyotaka kununua.
Ebay homepage utakutana na hii sehemu iliyozungushiwa duara nyekundu.
View attachment 3101142
Hapo andika kitu unachokitaka. Kwamfano tunaandika "laptop", kisha tunasearch.

Watatuletea matokeo ya "laptop" kama hivi. 👇👇👇
View attachment 3101152
Ukiangalia hapo juu unaona kuna duara nyekundu nimezungusha, ina maneno All, Auction, Buy It Now. Yeah, uzuri wa ebay ni kuwa kuna vitu huwa vinauzwa kwa mnada, kwa hiyo kama unataka kuona laptops ambazo zinauzwa kwa njia ya mnada utabonyeza hapo palipoandikwa Auction, kama unataka vitu vinavyouzwa kawaida utabonyeza hapo palipoandikwa Buy It Now, kama unataka kuona vitu mchanganyiko utaacha hapo kwenye All.

Tufanye umechagua bidhaa ambayo inauzwa kawaida, sio mnada yaani Buy It Now.
Itakuleta hapa 👇👇👇
View attachment 3101173
Utabonyeza hapo palipoandikwa Buy It Now.
Itakuleta kwenye sehemu inayoitwa Checkout, hapa utathibitisha mahali unapotaka mzigo utumwe, na njia unayotaka kutumia kufanya malipo utaithibitisha ama kuibadilisha hapa.
Itakuwa kama hivi 👇👇👇
View attachment 3101174
Ukishakubaliana na hizo taarifa hapo juu, utabonyeza hapo palipoandikwa "confirm and pay"

Tufanye umechagua bidhaa ambayo inauzwa kwa njia ya Auction.
Itakuletea hivi 👇👇👇

View attachment 3101156
Kama bidhaa umeipenda na unataka kuipigania, utabonyeza hapo palipoandikwa place bid. Ukishabonyeza hapo utaingiza kiasi ambacho upo tayari kutoa, lakini kumbuka kiasi utakachoingiza ni lazima kiwe kikubwa kuliko mtu wa mwisho. Nadhani unaelewa namna mnada unavyofanya kazi. Ukishinda mnada utatakiwa kuilipia bidhaa.

🤔🤔🤔Pia bila kusahau, ebay wana kitu inaitwa eBay money back guarantee, yaani hapa mzee ikitokea umepokea mzigo na ukakuta upo tofauti na maelezo na picha za muuzaji, una uwezo wa kufungua madai na kurudishiwa pesa zako.

eBay Money Back Guarantee

Aisee, mkongwe nimejitahidi sana kukuelekeza japo kuna mambo mengi sana pia nimeyaacha, kuna mengine utajifunza kwa njia ya AAANHA KUMBE CONCEPT 😂😂😂
Kama kuna sehemu haujaelewa utauliza swali, tutasaidiana na wadau wengine kukujibu.
Hii Ina maana gani mkuu
 

Attachments

  • Screenshot_20240930-093140.png
    Screenshot_20240930-093140.png
    90.8 KB · Views: 18
Haina shida mkuu iko sawa tu,halafu huko ebay unauziwa vifaa vingine kutoka hukohuko china kwa bei ya juu wakati aliexpress ungeipata kwa bei ya chini,mfano kaangalie bei ya frem ya miwani pure titunium kwa bei ya ebay na aliexpress with same quality utaona tofauti kubwa sana katika bei, pia shiping cost ebay iko juu compared to aliexp.pia alexp wana agent ambao unachukua mzigo free bila charger walio chini ya speedof wakati ebay lazima upitie posta na lazima posta wakucharge storage achilia mbali ishu ya kodi
Inategemea Mkuu.
Kuna bidhaa zipo AliExpress na ebay lakini shipping cost kwa AliExpress ni juu zaidi kuliko za ebay.
Kuna bidhaa moja hivi, haina alternative ya kuisafirisha zaidi ya DHL au FedEx pekee yake na gharama ni 400000+ na wakati bidhaa hiyohiyo kule eBay kwanza bei iko chini kidg na pia usafiri ni 120000+.
Ndiyo maana mimi hua nachungulia mitandao yote ninapotaka kununua kitu cha bei kdg.
Bidhaa ndg ndg nachukua tu AliExpress inatosha.
 
Niliwahi kuagiza speaker ndogo za ndani za Tv aisee wanikikata hela ndefu hadi nikashangaa, bei ya spika ilifika usd 25, lakini nilikatwa 5900 ya Posta, 18% ya kodi, clearing fee, jumla nilikatwa kama , 28/29000. Iliniuma sana. Then tudude twenyewe tudogo tu!!
Hiyo signature yako mkuu itapelekea utekwe.
 
Hii kitu naelewa mkongwe, mara nyingi wauzaji wengi wa eBay wanatumia "ebay international shipping" sio DHL, nikicheki bidhaa za masoko ya ulaya mara nyingi ndio naona huwa hawatumii "ebay international shipping".

Hapo juu umenishauri kuwa hawa DHL wako vizuri kwenye huduma ya shipping, ndio nataka kujua ninawezaje kuwatumia na gharama zao zipoje?

Yaani nataka unielekeze, nikichagua bidhaa ya kununua eBay, nawezaje kuchagua kuwatumia DHL kwa shipping? Na gharama za hawa DHL zikoje kulinganisha na eBay default shipping?
SIjawahi kuwatumia hao Ebay Shipping ila kwa DHL njoo PM nikupe staff wao mmoja akupe maelekezo zaidi
 
Back
Top Bottom