Nilichoona kwenye nguo za mume wangu! Kuuliza kaniambia fikiri utakachomua kufikiri


Pole sana,Umefunga ndoa??? Mbona sasa ndoa zinatisha iva.
 
Labda kuna mahali alikuwa anaangalia x ndo viuchafu vikatoka...anyways zidisha upendo,sometime kutoka nje ya ndoa haimaanishi hakupendi...ni ajali tu za barabarani mi mwanaume nalijua hilo,hata mimi nimechepuka lakini hiyo michepuko si lolote kwa wife,sometimes wanawake mtambue baadhi ya madhifu yetu
 
Dada naomba nikuambie ukweli kuhusu sisi wanaume.

1: hakuna mwanaume asiyechepuka labda awe ana matatizo ya kisaikolojia(akili).

2: Hata ukawa mrembo vipi huwezi kutimiza mahitaji ya akili ya mwanaume, is huko nje inawezekana anapewa 071...ambayo nyumbani huwezi mpa. Au unampa with less madoido km huko anakopona

3: jaribu kumsisitiza kiroho safi apige na buti maana asije kukuacha mjane mgonjwa.

Mwisho
 

Ya kwanza mimi nakataa...Kuna wasiochepuka bwana wewe vepee!!
 

Mtotoooooo!! ni PM babu yako tuangalie utaratibu wa kulipa kisasi!!!
 
Kirue una umri gani binti

Ni mababu zetu wachache waliweza kuishi bila kuchepuka kutokana na maisha ya wakati huo ,
Kwa sasa ni kitu ambacho hakiwezekani.
 
Mh mambo ya ndoa ni shida!
Sasa dada yangu huo uchafu wa kujamiiana ndo upi huo? Sh.ahawa au ni nini hasa?
Yawezekana kabisa pengine mwenzi wako kaona jimama huko njiani roho mchafu wa matamanio akampanda na mwishowe akajidunga kavu kavu kwenye boxer lake! Thats why he shortly answered u in that way!
Ume declare kuwa mzazi mwenzio kakuheshimu na umevumiliana naye misimu yote...! Then why u are doubting him the first day?
Halafu kingine kikubwa ambacho hujatuambia ni kuhusu tabia yako siku za hivi karibuni, pengine umemsaliti na hatimae ukaangukia kwenye GONO SUGU na kumuambukize mumeo, yawezekana kabisa HE IS SUFFERING FROM THIS DISEASE! usaha unatiririka kwenye nguo ya ndani bila ya yeye kujua!

Dada yangu uwe mvumilivu, mtangulize Mungu kwenye mambo yote, ndoa ina mitihani mingi sana. Na usipo mheshimu mumeo, basi heshimu wanao uliopata naye ili wanao waishi katika mikono yenu kama jinsi walivyozaliwa wakawakuta mkiwa wawili.
 
Hahahaha, ndo namna aliyoona inafaa kumjali mmewe.Bora kuogeshana, "kumuogesha"wanawake tuna kazi jamani.

teh teh teh...ila hii cd inascratch sana...yani pamoja na kumpetipeti kote huko mume ampe kavu namna hiyo?
...kuna vitu bibie ameskip kuvisema!
 
asante kwa ushauri
 
Pole mdada ndio ndoa zilivyo mkalishe chini muulize taratibu ulimuuliza kwa ukali ndio mana alikujibu vibaya,wanaume marijali ndio walivyo wanatamaa sana
 
Kirue una umri gani binti

Ni mababu zetu wachache waliweza kuishi bila kuchepuka kutokana na maisha ya wakati huo ,
Kwa sasa ni kitu ambacho hakiwezekani.

Bwana wewe mim na umri wangu huu ni mkubwa mnoo..Niliuguza mgonjwa mmoja na nikatia adabu..Enzi zile hamna dawa ya kupunguza ukali....we usiombe naheshimu na namwonea mtu huruma...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…