Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mnashea hata mkitongozwa.. Owkey. Tuashumu ndo ameanza kamchezo kabaya chs muhimu kaa nae chini ongea nae kwa upole kama alichepuka atakuambia tu kama anavyoshea mengine. Kama ni kweli akiomba msamaha msamehe maisha yaendelee, trust me, kama cheating ingekuwa inavunja ndoa ndoa nyingi zisingekuwepo, life has to go on sweetheart!!!
Lakini why wajameni upekue pichu ya mwenzio?? Wakati mwingine mkiishi sana kwa amani mnaanza tafuta vijisababu
haaaa eti nikamuandaa akaoge....amekua mwanao wa kumzaa uyo?ivi wanawake wengine ni maboya kiasi hiki....ovyooo..tena unaonekana unaboa sana
Hapa sasa ndoa ndiyo imekuwa real. Mwisho wa njonzi
Ukitoka kujamiiana huwa kuna uchafu gani? Wewe utakuwa mchafu wewe sio bure
Okay sasa kwanini ulimshuku kama unamuamini kiasi hicho? nadhani alikua na mood mbaya ndio mana akajibu hivyo..ni miaka mi3 kwnye ndoa and he never gives the damn answers to me, i real love my husband na sijawah hata kuhisi anadem nje. yeye mwnyewe akitoka job straight hom saturdays n sundays we spend together, hata mtu akimtumia msg anamtaka ananiambia
asante mpendwa ila yani hapa cjajua cha kufanya naamka asubuh namwandalia kama kawaida anakwenda kazn nami natoka jioni namfanyia vyote lakin natamani hata nimchome kisu
Evelyn Salt aliwahi kuandika uzi wa afanye nini cha zaidi kwenye mapenzi, hii inamhusu.hakuwah kuchelewa, pia ninakawaida ya kumwogesha mume wangu usiku kwan asubuh kila mtu anawah kazin, sikupekua nguo zake ila namvua na kumpeleka bafun
haaaa eti nikamuandaa akaoge....amekua mwanao wa kumzaa uyo?ivi wanawake wengine ni maboya kiasi hiki....ovyooo..tena unaonekana unaboa sana
kwamba alipiga peku.....
kwamba ulimvua boxer alafu ukaichungulia mbele..
kwamba kuchelewa kwako ni SAA ngapi...
kwamba hulali mpaka arudi...
iyo ndoa itakushinda....
achana na pekuapekua..nimependa jibu alilokupa..ukome!!
rejea Uzi wangu 'ninavyoishi na mke wangu"
kalaghabaho
asante mpendwa ila yani hapa cjajua cha kufanya naamka asubuh namwandalia kama kawaida anakwenda kazn nami natoka jioni namfanyia vyote lakin natamani hata nimchome kisu
Labda kuna mahali alikuwa anaangalia x ndo viuchafu vikatoka...anyways zidisha upendo,sometime kutoka nje ya ndoa haimaanishi hakupendi...ni ajali tu za barabarani mi mwanaume nalijua hilo,hata mimi nimechepuka lakini hiyo michepuko si lolote kwa wife,sometimes wanawake mtambue baadhi ya madhifu yetu
mapenzi si kitu cha kushauriwa san na watu wa nje japo katika hali kama hiyo ungeuliza kwa ujasiri mbona nguo zako zinaonesha umetokea kuzini?? then apo ungepata majibu sasa mlipofikia saivi we vumilia tu ndo mapenziyenyewe ayoAmani ya Mungu iwe nanyi wapendwa, naomba ushauri.
Ni mume niliempenda nilemuheshimu na kumfanyia kila kitu anachostahili mwanaume kufanyiwa kumfariji wakati wa magumu na kuwa nae wakati wa furaha, naye mwenyewe aliyakubali yote niliyokua nafanya.
Sasa juzi kachelewa kurudi nyumbani na sikumuuliza sababu akasema anaomba ale chakula ndipo aoge, nikapakua tukala kisha nikamuandaa akaoge ndipo nilipokuta kwenye nguo za ndani uchafu wa kutoka kujamiana na mwanamke.Nilipomuuliza akajibu fikiria utakachoamua kufikiri.
Naomben ushauri kwani hapa nasikia mwili wote unauma, kichwa kinataka kupasuka.
Unauhakika kila kitu unampa au uko tayari kumpa?
Guilty as chargedSasa juzi kachelewa kurudi nyumbani na sikumuuliza sababu akasema anaomba ale chakula ndipo aoge, nikapakua tukala kisha nikamuandaa akaoge ndipo nilipokuta kwenye nguo za ndani uchafu wa kutoka kujamiana na mwanamke.Nilipomuuliza akajibu fikiria utakachoamua kufikiri.
Naomben ushauri kwani hapa nasikia mwili wote unauma, kichwa kinataka kupasuka.