Nilichoona kwenye nguo za mume wangu! Kuuliza kaniambia fikiri utakachomua kufikiri

Nilichoona kwenye nguo za mume wangu! Kuuliza kaniambia fikiri utakachomua kufikiri

Story za kutunga hizi,uchafu wa mwanamke tena? kwani walifanyia vichakani mpaka wakashindwa kuoga?
 
hakuwah kuchelewa, pia ninakawaida ya kumwogesha mume wangu usiku kwan asubuh kila mtu anawah kazin, sikupekua nguo zake ila namvua na kumpeleka bafun
Heeeee, unamvua na kumpeleka bafuni?
Basi wewe ni jilani yangu hapa ninapoishi, we siye mama Amina kweli wewe?
 
Amani ya Mungu iwe nanyi wapendwa, naomba ushauri.

Ni mume niliempenda nilemuheshimu na kumfanyia kila kitu anachostahili mwanaume kufanyiwa kumfariji wakati wa magumu na kuwa nae wakati wa furaha, naye mwenyewe aliyakubali yote niliyokua nafanya.

Sasa juzi kachelewa kurudi nyumbani na sikumuuliza sababu akasema anaomba ale chakula ndipo aoge, nikapakua tukala kisha nikamuandaa akaoge ndipo nilipokuta kwenye nguo za ndani uchafu wa kutoka kujamiana na mwanamke.Nilipomuuliza akajibu fikiria utakachoamua kufikiri.

Naomben ushauri kwani hapa nasikia mwili wote unauma, kichwa kinataka kupasuka.

Dah! Sisi bwana! Ah tuvumilie tu ndivyo tulivyo.
 
mwanamume akipata mstuko anaweza pizi. Pia akiona vitu vya hisia kali ama akaonge na demu anayemkubali anaweza achia videnda kwaiyo usiamini kuwa ame -du
 
hakuwah kuchelewa, pia ninakawaida ya kumwogesha mume wangu usiku kwan asubuh kila mtu anawah kazin, sikupekua nguo zake ila namvua na kumpeleka bafun

natamani kupata huduma kama utoazo kwa mumeo
 
Duh, kuna wanaume wanalelewa ova mtoto, hapa nadhani hata Evelyn Salt haoni ndani

Dadaangu atoto na Heaven Sent nanyi mna ma-care haya?
Hahahhaha yani my kaka, Kila nikijifanyia tathmini, naona ngoja niendelee kuwepo kidogo. Maana naona bado ni "bure kabisa". Mnaogeshwa sijui kuimbiwa mijisong!!! Teh teh teh
Aiseee daah, nadhani nianze kutafuta mke mwingine wa hivi nami nihudumiwe hivi, loh

cc atoto, Heaven Sent
Hehhehe uwe nao wawili eeh, huyu anakubeba kwenda bafuni, mwingine anakubeba kukurudisha chumbani teh teh
 
Last edited by a moderator:
Pole mamii, achana na wanaokupiga madongo..najua maumivu uliyonayo..ila nakutia moyo kuwa huyo ni mumeo..kma sikosei wa ndoa..we ndo mwenye mali ndio maana kapiga nje karudi home..jivunie kuwa bado wako..usimhukumu bali ongeza mapenzi..chukua hizo nguo fua tena ikibidi mnunukie zingine..siku si nyingi ataona michepuko haina maana...ukisusa wanzio wala kaza kamba..!
 
Lakini naona ka kuna mushkeli hv,inawezekana vp jamaa apige demu alafu asijifute?

Hata kama hakujifuta mbona sha.hawa hupoteza mwonekano muda mfupi kwenye nguo na kufanana na maji ya kawaida tu...sa isije kuwa alijimwagia soda huko we ukafkili ni bao,na yy akakujibu hovyo kwa hasira ya kumdhania vibaya...bibie hebu jihakikishie kwanza ukweli wa tuhuma zako kwanza
 
hakuwah kuchelewa, pia ninakawaida ya kumwogesha mume wangu usiku kwan asubuh kila mtu anawah kazin, sikupekua nguo zake ila namvua na kumpeleka bafun

Tukiwaambia kuweni makauzu mnabisha mnatuambia wanawake wa leo hatujui kumuenzi mume, ona sasa ulichoambulia masikini hadi huruma!!!
Mbaya zaidi ukajibiwa fyongo aiseee pole sana. Kaa utulize akili taratibu utaona cha kufanya hapa wengi tunaweza kukupotosha tu kukupa jibu la moja kwa moja.
 
Hahahhaha yani my kaka, Kila nikijifanyia tathmini, naona ngoja niendelee kuwepo kidogo. Maana naona bado ni "bure kabisa". Mnaogeshwa sijui kuimbiwa mijisong!!! Teh teh teh

Hehhehe uwe nao wawili eeh, huyu anakubeba kwenda bafuni, mwingine anakubeba kukurudisha chumbani teh teh

Ingewezekana taasisi ya ndoa ifutwe ili tujue moja kuwa sasa ni mwendo wa fungulia dog!! Lol

Ukiwaza sana unaweza kuopt kuwa mchepuko wallah maana michepuko inafaidi kuliko hata walioko kwenye ndoa.
 
Pole sana, msamehe tu, wanaume karibu wote tuko hivyo! Kila wanaume 9 katika 10 ni watumwa wa ngono! Kwa kifupi wanaume tunawaka sana tamaa. Kuna mwenzio juzi tumeambiwa katelekeza mke na watoto watatu kisa tu toto la kihaya!

Ni kwamba tuko ktk zama za tamaa na mapenzi holela. Jinsia zote zina makosa ktk hili.tamaa ya mwanaume ina amshwa na wanawake kadhaa kwa kuvaa nguo za mfano was kulalia wakati wa mchana
 
hakuwah kuchelewa, pia ninakawaida ya kumwogesha mume wangu usiku kwan asubuh kila mtu anawah kazin, sikupekua nguo zake ila namvua na kumpeleka bafun

Hahahahaa..thats too good to be true..ndo maana wadhungu hupagawa kwa dada zetu wakipewa hizi mambo..njoo private nikulengeshee moja ule shavu bidada!
 
hakuwah kuchelewa, pia ninakawaida ya kumwogesha mume wangu usiku kwan asubuh kila mtu anawah kazin, sikupekua nguo zake ila namvua na kumpeleka bafun

Pamoja na kumfanyia yote hayo bado anachepuka, pole asee "ningejimurder"hua nawaambia watu hawa viumbe hata ubebe mgongoni akijisikia kwenda ataenda tu hua hawanielewi..endelea kuogesha mwaya ndo mambo ya ndoa hayo
 
Back
Top Bottom