Nilichoona kwenye nguo za mume wangu! Kuuliza kaniambia fikiri utakachomua kufikiri

Nilichoona kwenye nguo za mume wangu! Kuuliza kaniambia fikiri utakachomua kufikiri

Amani ya Mungu iwe nanyi wapendwa, naomba ushauri.

Ni mume niliempenda nilemuheshimu na kumfanyia kila kitu anachostahili mwanaume kufanyiwa kumfariji wakati wa magumu na kuwa nae wakati wa furaha, naye mwenyewe aliyakubali yote niliyokua nafanya.

Sasa juzi kachelewa kurudi nyumbani na sikumuuliza sababu akasema anaomba ale chakula ndipo aoge, nikapakua tukala kisha nikamuandaa akaoge ndipo nilipokuta kwenye nguo za ndani uchafu wa kutoka kujamiana na mwanamke.Nilipomuuliza akajibu fikiria utakachoamua kufikiri.

Naomben ushauri kwani hapa nasikia mwili wote unauma, kichwa kinataka kupasuka.

Ndio maana kakuambia fikiria utakavyoamini iwe juu yako mwenyewe. Wewe kwa hatua ya kwenda kukagua nguo yake ya ndani ulishamwazia mwenzio vibaya. Yeye mara ngapi ameshakagua nguo yako ya ndani unapofika tu nyumbani au ukienda kuoga? Si mnavulia huko huko bafuni? Hakupendezwa na tabia hiyo mpya ndio maana kakupa jibu hilo. Hata hivyo sio lazima awe ametembea nje ya ndoa kwani kuna wanaume wengine matamanio yakizidi wazungu hutoka tu. Hapo itakubidi usamehe bure tu nae aache ubwege awe anaingia bafuni na kyupi kwani haya mataulo yakiachia hujafika bafuni ni senema nyingine uswahilini.
 
Mpe semina awe tuu anatumia condom asije akazoa wadudu tuu, lkn hilo la kula nje si rahisi aache
 
Ingewezekana taasisi ya ndoa ifutwe ili tujue moja kuwa sasa ni mwendo wa fungulia dog!! Lol

Ukiwaza sana unaweza kuopt kuwa mchepuko wallah maana michepuko inafaidi kuliko hata walioko kwenye ndoa.
Ndoa si kitu kibaya, sisi ndo tunaifanya ndoa ionekane mbaya na ngumu, ingawa changamoto za hapa na pale hazipatikani

Mmh kuwa mchepuko kunahitaji moyo na kujitoa ufahamu. Kuna raha ya kuwa mmiliki halali bana
 
Dada naomba nikuambie ukweli kuhusu sisi wanaume.

1: hakuna mwanaume asiyechepuka labda awe ana matatizo ya kisaikolojia(akili).

2: Hata ukawa mrembo vipi huwezi kutimiza mahitaji ya akili ya mwanaume, is huko nje inawezekana anapewa 071...ambayo nyumbani huwezi mpa. Au unampa with less madoido km huko anakopona

3: jaribu kumsisitiza kiroho safi apige na buti maana asije kukuacha mjane mgonjwa.

Mwisho

Namba moja hapo, acha upimbi kuwasemea wanaume wote, some men are loyal to their partners. Usipende kujilinganisha na wenzako, kwamba kwa vile unakula tigo...basi wote tunafanya huo ufuska.
Semea nafsi yako kiongozi.
 
First lady toka awamu ifikie ukingon hana kazi ya kufanya.sasa kapata muda wa kuja kushitaki huku jf.
 
Ndio hivyo, nikiachika narudi kwa kaka yangu.

Haina shida kabisa, you are warmly welcome. Sema uzoefu unaonyesha mtu aliyezoea kwake ni ngumu sana kulelewa
 
Hahahhaha yani my kaka, Kila nikijifanyia tathmini, naona ngoja niendelee kuwepo kidogo. Maana naona bado ni "bure kabisa". Mnaogeshwa sijui kuimbiwa mijisong!!! Teh teh teh

Hehhehe uwe nao wawili eeh, huyu anakubeba kwenda bafuni, mwingine anakubeba kukurudisha chumbani teh teh

Aisee noma nakwambia, ahaaaa umenichekesha eti bado upo upo kidogo loh!!

BTW kuna wanawake wanajitoa kweli kweli kumbe, daah!!
 
Namba moja hapo, acha upimbi kuwasemea wanaume wote, some men are loyal to their partners. Usipende kujilinganisha na wenzako, kwamba kwa vile unakula tigo...basi wote tunafanya huo ufuska.
Semea nafsi yako kiongozi.


Mkuu mimi ni mkristo nilikuwa najaribu kusema ukweli japo kwa leo jpili.
 
Lakini why wajameni upekue pichu ya mwenzio?? Wakati mwingine mkiishi sana kwa amani mnaanza tafuta vijisababu

Uko sahihi kabisa, Me Amani ikizidi huwa natafuta vita. Tunatifuana kidogo then tunaombana msamaha, maisha yanaendelea. Hahahha Mapenzi sometimes jamani!
 
Aisee noma nakwambia, ahaaaa umenichekesha eti bado upo upo kidogo loh!!

BTW kuna wanawake wanajitoa kweli kweli kumbe, daah!!
Yani Nikiwaza watu wanavyojitoa afu nikijiangalia na hii akili yangu nusu na robo, nabaki kucheka ujue. Ngoja niendelee kujifunza khaa
 
Muombe mwenyezi akusaidie kuvumilia na kunyamaza ili ufanye maamuzi sahihi. Usimuulize tena na wala usionyeshe kuumia, pretend uko normal ili impein na atakwambia nini tatizo
 
Dada naomba nikuambie ukweli kuhusu sisi wanaume.

1: hakuna mwanaume asiyechepuka labda awe ana matatizo ya kisaikolojia(akili).

2: Hata ukawa mrembo vipi huwezi kutimiza mahitaji ya akili ya mwanaume, is huko nje inawezekana anapewa 071...ambayo nyumbani huwezi mpa. Au unampa with less madoido km huko anakopona

3: jaribu kumsisitiza kiroho safi apige na buti maana asije kukuacha mjane mgonjwa.

Mwisho

Acha kupotosha bana, kama we ndo uko hivyo usitujumuishe wanaume wote
 
Yani Nikiwaza watu wanavyojitoa afu nikijiangalia na hii akili yangu nusu na robo, nabaki kucheka ujue. Ngoja niendelee kujifunza khaa

Hahaaaa haya bwana, yaani acha kabisa

Ila yote tisa, kumi inategemea na mwanaume mwenyewe, mi siwezi kukubali kufanyiwa makitu kama hayo, so I will definately discourage you hata kama una moyo wa kunifanyia, utaacha tu hakuna namna
 
Back
Top Bottom