Nilichoona kwenye nguo za mume wangu! Kuuliza kaniambia fikiri utakachomua kufikiri

Nilichoona kwenye nguo za mume wangu! Kuuliza kaniambia fikiri utakachomua kufikiri

Kabadili mboga huyo usiumize kichwa...kama ni muislam mwambie aongeze mke ili aache zinaa
 
NAKUSHAURI HIVI:
1. HATA KAMA UMEMHISI MWENZI WAKO USIJE UKAFIKIRI KULIPIZA KISASI (UTAIVUNJA NDOA YAKO KWA MIKONO YAKO WEWE MWENYEWE)
2. KAMA MWENZI WAKO KAINGIWA NS TAMAA(MAANA SIKU HIZI MITEGO MINGI WEWE MWENYEWE NI SHAHIDI NA KWA MWANAUME AMBAYE YUKO VIZURI ANAWEZA KUSHINDWA KUVISHINDA VISHAWISHI) CHONDE CHONDE MSIHI KWA UPOLE MUYAMALIZE KWA UPOLE NA UMSAMEHE.
3. USISONONEKE SANA MAANA HAYA MAMBO HAYAJAANZIA KWAKO TU. NA WOTE WANGEKUWA NA MIOYO MIGUMU NADHANI NDOA ZISINGEDUMU HATA KIDOGO. HATA WENZETU AMBAO WAMERUHUSIWA KUOA 4 LAKINI BADO TAMAA HAIKWEPEKI.
4. MUMEO ANAKUPENDA HUKO ALIKOCHEPUKA (KAMA NI KWELI) AMEPITIWA TU MBONA ANAKUHESHIMU NA YUKO KWENYE MILIKI YAKO?
5. MUONESHE UPENDO WAKO KAMA ZAMANI. WAGOMBANAO/WAFARAKANAO WAKISURUHISHANA HUPENDANA HATA ZAIDI.
6. USIPENDE KUMPEKUWA MMEO, UTAAMBULIA KUONA VIASHIRIA TU AMBAVYO HAVINA MSAADA ZAIDI YA KULETA MAFARAKANO. DUMISHA NDOA YAKO WEWE MWANAMKE UWAYE YEYOTE UNAESOMA HII POST. KUTUNZA NDOA KUPO KWENYE UVUMILIVU WA MWANAMKE KAMA HUNA UVUMILIVU JIANDAE KUOLEWA NA KUACHIKA MARA NYINGI MAANA UTASEMA NGOJA NIRUKE MIKOJO NA HATIMA YaaKE ........................N....

Asante gariba kwa darasa. Tatizo hamjauliza alikuta uchafu gani. Kuna mambo mengi hapo yamefichwa,ingekuwa shahaw sidhani kama angeziona kwani zingepotelea kwenye chupi ama boxer mwezenu kakuta kinyesi ndo sababu anapiga yowe hapa JF.
 
Kwani we uliolewa ukiwa bikra. Unajua kesi kama hizi Yesu alipelekewa akajibu, asiye na dhambi na awe wa kwanza kumtupia huyu mtu mawe... Sina maaana ya kuhalalisha ushenzi wa mumeo lakini ninajaribu kukujengea stamina ya ku over come hayo yaliyotokea. Pole sana...
 
Wanaume toweni zalau. Moja kwa moja inaonesha jamaa hakwenda hotel maana angeoga kule sasa mambo gani ya kuegeshana nyuma ya gari kama malaya? Afu punguzeni kuchepuka na mabinti wachafu maana mpaka binti anakubali popote ni mchafu by nature. Ishiiiii sio lazima mkichekupa wake zenu wajue
 
Amani ya Mungu iwe nanyi wapendwa, naomba ushauri.

Ni mume niliempenda nilemuheshimu na kumfanyia kila kitu anachostahili mwanaume kufanyiwa kumfariji wakati wa magumu na kuwa nae wakati wa furaha, naye mwenyewe aliyakubali yote niliyokua nafanya.

Sasa juzi kachelewa kurudi nyumbani na sikumuuliza sababu akasema anaomba ale chakula ndipo aoge, nikapakua tukala kisha nikamuandaa akaoge ndipo nilipokuta kwenye nguo za ndani uchafu wa kutoka kujamiana na mwanamke.Nilipomuuliza akajibu fikiria utakachoamua kufikiri.

Naomben ushauri kwani hapa nasikia mwili wote unauma, kichwa kinataka kupasuka.
Kabla hujampekua mumeo, muwe mnajiuliza unachokitafuta hasa ni nini? na unampekua mumeo ili iweje? Maana mwisho wa siku, Mwisho wa kupekua huwa sio mzuri.Acha tabia ya kumpekua mumeo.Si ulimpenda Mwenyewe? Penda na Tabia zake
 
hakuwah kuchelewa, pia ninakawaida ya kumwogesha mume wangu usiku kwan asubuh kila mtu anawah kazin, sikupekua nguo zake ila namvua na kumpeleka bafun

Watu wana raha jamani, unamvua nguo na kumpeleka bafuni? Aisee natamani ningekuwa mimi. Pole sana dada ila jamani huyu mwanaume atakuwa mchafu sana, hakwenda guest? Alifanyia kwenye gari?
 
hakuwah kuchelewa, pia ninakawaida ya kumwogesha mume wangu usiku kwan asubuh kila mtu anawah kazin, sikupekua nguo zake ila namvua na kumpeleka bafun

mumeo ni mlemavu wa viungo au?.kama sio basi we ni baby zuzu kama jina lako
 
Dah! Kumbe ndo ulikua uchafu wenyewe huo,msii aache lasivyo atapata magonjwa maake wanaotoa huko maranyingi hawaaminiki
 
Amani ya Mungu iwe nanyi wapendwa, naomba ushauri.

Ni mume niliempenda nilemuheshimu na kumfanyia kila kitu anachostahili mwanaume kufanyiwa kumfariji wakati wa magumu na kuwa nae wakati wa furaha, naye mwenyewe aliyakubali yote niliyokua nafanya.

Sasa juzi kachelewa kurudi nyumbani na sikumuuliza sababu akasema anaomba ale chakula ndipo aoge, nikapakua tukala kisha nikamuandaa akaoge ndipo nilipokuta kwenye nguo za ndani uchafu wa kutoka kujamiana na mwanamke.Nilipomuuliza akajibu fikiria utakachoamua kufikiri.

Naomben ushauri kwani hapa nasikia mwili wote unauma, kichwa kinataka kupasuka.

Ungekuta mavi ndo ungeleta uzi hapa!
 
Back
Top Bottom