Nilichoona mke wa mtu anafanya: Leo rasmi ninawaunga mkono team kataa ndoa

Nilichoona mke wa mtu anafanya: Leo rasmi ninawaunga mkono team kataa ndoa

Hao nachapa hata sasa ivi ila sio hao wa rika la mama.
Teyali ushapata laan wewe ushatembea na dada zako

Bible inasema amelaani mtu yule aone uchi wa baba na ***** unajua alikuwa ana maanisha nini kufanya mapenzi na mtu alie kuzidi umri kwa mwanaume sawa na dada yako au mama yako na kwa mwanamke pia kulala na mwanaume sawa na baba yake
 
Teyali ushapata laan wewe ushatembea na dada zako

Bible inasema amelaani mtu yule aone uchi wa baba na ***** unajua alikuwa ana maanisha nini kufanya mapenzi na mtu alie kuzidi umri kwa mwanaume sawa na dada yako au mama yako na kwa mwanamke pia kulala na mwanaume sawa na baba yake
Mishangazi kuacha ngumu mdogo wangu, tulia na mada iishie hapa.
 
Kwa huyo mwanamke mmoja ndo imekufanya ukubaliane na Kataa Ndoa?

Katika watu 10 wote hawawezi kuwa na HAIBA sawa.
 
Ni utapeli na kuwaibia wanaume
Unalipiaje gumegume mahari ili ulitoe kwao?
Wake za watu wengi ni malaya mbwa ni vile tu wamefunikwa na kivuli cha ndoa

Jadda
Rebeca 83

Watu wakisema ukweli haimaanishi wanawachukia

Wanawake Wema ni 1 kwa 1000/=

Alafu bado mwanaume ateseke ati kuhudumia upumbavu.

Kila mtu atafute pesa,
Kila mtu ajihudumie mwenyewe.
Watoto wote mhudumie half half.

Mkiwa na nyege ndio mkutane.
 
Kuna usemi nazn wa kisheria.

Wanasema baya moja haliwezi alalisha kuwa mambo mema mengi kuwa sio sawa.

Na

Zuri moja halibarik mabaya mengi kuwa halali

Mi nmetransalate.🛖
 
Jadda
Rebeca 83

Watu wakisema ukweli haimaanishi wanawachukia

Wanawake Wema ni 1 kwa 1000/=

Alafu bado mwanaume ateseke ati kuhudumia upumbavu.

Kila mtu atafute pesa,
Kila mtu ajihudumie mwenyewe.
Watoto wote mhudumie half half.

Mkiwa na nyege ndio mkutane.
We got nothing personal kwakweli
Sema nini sheria zipitiwe. Upya
 
We got nothing personal kwakweli
Sema nini sheria zipitiwe. Upya

Sheria zinawanufaisha wanasiasa hawawezi kuzipitia Upya.

Wanaume ni wabaya
Lakini Raha Yao hawawategemei wanawake
Wanawake ni wabaya zaidi kwa Sababu hutegemea kuwachuma na kuwanyonya Wanaume.
 
Back
Top Bottom