Nilichoona mke wa mtu anafanya: Leo rasmi ninawaunga mkono team kataa ndoa

Nilichoona mke wa mtu anafanya: Leo rasmi ninawaunga mkono team kataa ndoa

Wanawake wanaliwa sana kimasikhara kwenye mazingira ya hovyo kabisa. Kuna maza mmoja nilikua namheshim sana na mwanae ni rika langu kabisa, kuna nyumba mumewe alikua anajenga na mara chache mmewe akitingwa na ratiba alikua anaenda site, nilishuhudia kwa macho yangu mawili akibinjuliwa na fundi jua likizama saa 12 kasoro jioni.

Sijui kama aliniona maana nilikua napita mdogo mdogo na earphone zangu masikioni. Mpaka nahama mtaa ule alikua ananionea aibu sana na ni baada ya tukio lile.
Alikiba anataka kukupa na wewe ukazingua
 
Hivi kwa trend hii unayoiona mtoto wako unayemzaa Leo ana uhakika wa kupata mume kwa haya ambayo wake za watu wanafanya? Me mwenyewe mwanangu wa kiume siwez mruhusu kizembe zembe avamie mi gumegume. Na akiivamia ntafanya juu chini tubaki tunalea watoto yeye atuachie mji wetu

Kama itafikia hakuna waoaji bas tutapambana na Hali zetu. Kwanza ndoa sio kila kitu. Umefurahi sasa eeh
Makubwa kweli haya lkn bora ww uliyejitambua mapema kuwa ni gumegume na hufai kuwa Mke wa mtu.
Hata ivo ishi maisha yako ila jua ukipata mtoto wa kike na kwa mentality yako utakuwa umeongeza gume gume lingine duniani na vya kurithi vinazidi atapigwa miti hadi sebuleni kwako.
 
Wanawake wanaliwa sana kimasikhara kwenye mazingira ya hovyo kabisa. Kuna maza mmoja nilikua namheshim sana na mwanae ni rika langu kabisa, kuna nyumba mumewe alikua anajenga na mara chache mmewe akitingwa na ratiba alikua anaenda site, nilishuhudia kwa macho yangu mawili akibinjuliwa na fundi jua likizama saa 12 kasoro jioni.

Sijui kama aliniona maana nilikua napita mdogo mdogo na earphone zangu masikioni. Mpaka nahama mtaa ule alikua ananionea aibu sana na ni baada ya tukio lile.
Alikua na tako
 
My own uncle alioa mama wa home
Mwanaume anasomesha watoto
AnAlisha familia
Wanaishi standard nzuri.
Maisha yakawa ya kumfumania mke. Mwisho mke alivyoona kuna Mali zinaonekana akaomba talaka ili wagawane Mali. Walivyofika mahakamani baada ya maswali ya mahakimu akaambiwa mgawo wake ni milioni 2 jumlisha milioni 1, jumlisha milion 2, jumlisha milion 1 , jumlisha laki 4, jumlisha laki 1, jumlisha laki 2, jumlisha laki 2, jumlisha elf 50, na jumlisha tena elf 50.
Sasa mgawo haukumridhisha amekosa pa Kwenda maana alijua atapata kibunda.

Ndoa ni utapeli
Mwisho waliachana au ilikuwaje?
 
Makubwa kweli haya lkn bora ww uliyejitambua mapema kuwa ni gumegume na hufai kuwa Mke wa mtu.
Hata ivo ishi maisha yako ila jua ukipata mtoto wa kike na kwa mentality yako utakuwa umeongeza gume gume lingine duniani na vya kurithi vinazidi atapigwa miti hadi sebuleni kwako.
I agree to disagree
 
Jamani mwenzenu fridge langu haligandishi linapooza tu. Nimeshindwa kukaa nalo nitapasuka moyo.

Sasa Mwanamke umeolewa na mume ana kila kitu, anakupenda wewe na ndugu zako, anakujali kwenye Mambo yote madogo na ma kubwa Ila kweli unaenda kuliwa stoo na subordinate wako?
Ungeenda hotel basi Ila kwa hili umejidharaulisha sana.

Walijua hawaonekani Ila nimewaona sana.

Kweli wanaokataa ndoa wanazidi kupata point. Mwanaume tafuta mwanamke akuzalie watoto idadi unayotaka usijifunge funge.....ndoa waachie Bibi na babu zetu.

Wake za watu ukija unahema juu juu uje kabisa na kopo la maji maana nimewaona mnakuja kasi kweli...... Jiheshimuni kama ni kibamia pambana nacho ndo ulichochagua 😅.
Aisee
 
Back
Top Bottom