Demarcation
Senior Member
- Jan 21, 2014
- 178
- 248
Sasa mtu kaamua kugawa k yake utamzuwiaje!? K hulindwa na mwenye k yake,na humpa mtu amtakae!!Mnakufa kishujaa sio 😅😅
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa mtu kaamua kugawa k yake utamzuwiaje!? K hulindwa na mwenye k yake,na humpa mtu amtakae!!Mnakufa kishujaa sio 😅😅
Alikiba anataka kukupa na wewe ukazinguaWanawake wanaliwa sana kimasikhara kwenye mazingira ya hovyo kabisa. Kuna maza mmoja nilikua namheshim sana na mwanae ni rika langu kabisa, kuna nyumba mumewe alikua anajenga na mara chache mmewe akitingwa na ratiba alikua anaenda site, nilishuhudia kwa macho yangu mawili akibinjuliwa na fundi jua likizama saa 12 kasoro jioni.
Sijui kama aliniona maana nilikua napita mdogo mdogo na earphone zangu masikioni. Mpaka nahama mtaa ule alikua ananionea aibu sana na ni baada ya tukio lile.
Makubwa kweli haya lkn bora ww uliyejitambua mapema kuwa ni gumegume na hufai kuwa Mke wa mtu.Hivi kwa trend hii unayoiona mtoto wako unayemzaa Leo ana uhakika wa kupata mume kwa haya ambayo wake za watu wanafanya? Me mwenyewe mwanangu wa kiume siwez mruhusu kizembe zembe avamie mi gumegume. Na akiivamia ntafanya juu chini tubaki tunalea watoto yeye atuachie mji wetu
Kama itafikia hakuna waoaji bas tutapambana na Hali zetu. Kwanza ndoa sio kila kitu. Umefurahi sasa eeh
Alikua na takoWanawake wanaliwa sana kimasikhara kwenye mazingira ya hovyo kabisa. Kuna maza mmoja nilikua namheshim sana na mwanae ni rika langu kabisa, kuna nyumba mumewe alikua anajenga na mara chache mmewe akitingwa na ratiba alikua anaenda site, nilishuhudia kwa macho yangu mawili akibinjuliwa na fundi jua likizama saa 12 kasoro jioni.
Sijui kama aliniona maana nilikua napita mdogo mdogo na earphone zangu masikioni. Mpaka nahama mtaa ule alikua ananionea aibu sana na ni baada ya tukio lile.
Bora ununue malaya 😁BATAZARI alionesha kwa vitendo.. kama mke wa waziri analiwaa sijui mwanajeshi msaidizi wa rais mkewe aliliwaa NIAMBIE NINI KITAFANYA MKEO ASILIWE?? acha mkeo bhasi demu wako maana hutaki kuoa.
Mwisho waliachana au ilikuwaje?My own uncle alioa mama wa home
Mwanaume anasomesha watoto
AnAlisha familia
Wanaishi standard nzuri.
Maisha yakawa ya kumfumania mke. Mwisho mke alivyoona kuna Mali zinaonekana akaomba talaka ili wagawane Mali. Walivyofika mahakamani baada ya maswali ya mahakimu akaambiwa mgawo wake ni milioni 2 jumlisha milioni 1, jumlisha milion 2, jumlisha milion 1 , jumlisha laki 4, jumlisha laki 1, jumlisha laki 2, jumlisha laki 2, jumlisha elf 50, na jumlisha tena elf 50.
Sasa mgawo haukumridhisha amekosa pa Kwenda maana alijua atapata kibunda.
Ndoa ni utapeli
I agree to disagreeMakubwa kweli haya lkn bora ww uliyejitambua mapema kuwa ni gumegume na hufai kuwa Mke wa mtu.
Hata ivo ishi maisha yako ila jua ukipata mtoto wa kike na kwa mentality yako utakuwa umeongeza gume gume lingine duniani na vya kurithi vinazidi atapigwa miti hadi sebuleni kwako.
Mbona hukuwala sasaDah wanangu me kuoa sijui yan ningekua nina roho ya fisi wake za watu wengi ningewapitia
Nunua tuu ARV zipo za kutoshaBora ununue malaya 😁
AiseeJamani mwenzenu fridge langu haligandishi linapooza tu. Nimeshindwa kukaa nalo nitapasuka moyo.
Sasa Mwanamke umeolewa na mume ana kila kitu, anakupenda wewe na ndugu zako, anakujali kwenye Mambo yote madogo na ma kubwa Ila kweli unaenda kuliwa stoo na subordinate wako?
Ungeenda hotel basi Ila kwa hili umejidharaulisha sana.
Walijua hawaonekani Ila nimewaona sana.
Kweli wanaokataa ndoa wanazidi kupata point. Mwanaume tafuta mwanamke akuzalie watoto idadi unayotaka usijifunge funge.....ndoa waachie Bibi na babu zetu.
Wake za watu ukija unahema juu juu uje kabisa na kopo la maji maana nimewaona mnakuja kasi kweli...... Jiheshimuni kama ni kibamia pambana nacho ndo ulichochagua 😅.
No way..mjomba wako kakubaliana na huo ujinga?Mke amegoma kuondoka amekuwa mpoleee
Nyumban kwake cctv mpk chooni hlf mme bze tu mtt wa watu anatembea na nyege daily acha apunguziwe bandoNa kweli kapigwa cha chap
Yule ni sawa na bi mkubwa wangu siwezi hata kulisogelea na kugusa vazi lake.Alikiba anataka kukupa na wewe ukazingua
Aisee kuna kurogwa hapo..watoto wao wana umri gani?Hata ndugu zake wanashangaa.
Mtu ameomba mwenyewe talaka bila sababu ya msingi amepewa unakaa naye kama nani