Nilichoona mke wa mtu anafanya: Leo rasmi ninawaunga mkono team kataa ndoa

Nilichoona mke wa mtu anafanya: Leo rasmi ninawaunga mkono team kataa ndoa

Panic at your own risk 😅😅😅😅😅😅
Me kanuni yangu siwez jibizana na mtu ambaye badala ya ku attack hoja anani attack mimi.
Hii inaonesha ni namna gani hoja za ku defend kile unaamini zimeisha.

Ukileta hoja ntakujibu kwa hoja ukileta kichaa cha ndoa nitakuangalia tu
 
Panic at your own risk 😅😅😅😅😅😅
Me kanuni yangu siwez jibizana na mtu ambaye badala ya ku attack hoja anani attack mimi.
Hii inaonesha ni namna gani hoja za ku defend kile unaamini zimeisha.

Ukileta hoja ntakujibu kwa hoja ukileta kichaa cha ndoa nitakuangalia tu
Limekushuka shuuuuuuuu....hahaaaa ulivyoanza kwa speed, hahaaa hatujali kama soko lako mtaani limeshuka una low self esteem mpk utafute attention kwa wanaume wa JF...eti hoja, hoja my behind!
 
Jamani mwenzenu fridge langu haligandishi linapooza tu. Nimeshindwa kukaa nalo nitapasuka moyo.

Sasa Mwanamke umeolewa na mume ana kila kitu, anakupenda wewe na ndugu zako, anakujali kwenye Mambo yote madogo na ma kubwa Ila kweli unaenda kuliwa stoo na subordinate wako?
Ungeenda hotel basi Ila kwa hili umejidharaulisha sana.

Walijua hawaonekani Ila nimewaona sana.

Kweli wanaokataa ndoa wanazidi kupata point. Mwanaume tafuta mwanamke akuzalie watoto idadi unayotaka usijifunge funge.....ndoa waachie Bibi na babu zetu.

Wake za watu ukija unahema juu juu uje kabisa na kopo la maji maana nimewaona mnakuja kasi kweli...... Jiheshimuni kama ni kibamia pambana nacho ndo ulichochagua 😅.

Updates kulingana na comments:
Ukiona huu Uzi unachefua wewe pita kimya kimya maana kweli me ni mshamba ndio maana sisapoti kile wengi mnapenda... Lakini pia mimi ni mtu wa taarabu kwa vile mziki wa kwetu watu wa pwani ya bahari ya Hindi ni taarabu
jaman
Jamani mwenzenu fridge langu haligandishi linapooza tu. Nimeshindwa kukaa nalo nitapasuka moyo.

Sasa Mwanamke umeolewa na mume ana kila kitu, anakupenda wewe na ndugu zako, anakujali kwenye Mambo yote madogo na ma kubwa Ila kweli unaenda kuliwa stoo na subordinate wako?
Ungeenda hotel basi Ila kwa hili umejidharaulisha sana.

Walijua hawaonekani Ila nimewaona sana.

Kweli wanaokataa ndoa wanazidi kupata point. Mwanaume tafuta mwanamke akuzalie watoto idadi unayotaka usijifunge funge.....ndoa waachie Bibi na babu zetu.

Wake za watu ukija unahema juu juu uje kabisa na kopo la maji maana nimewaona mnakuja kasi kweli...... Jiheshimuni kama ni kibamia pambana nacho ndo ulichochagua 😅.

Updates kulingana na comments:
Ukiona huu Uzi unachefua wewe pita kimya kimya maana kweli me ni mshamba ndio maana sisapoti kile wengi mnapenda... Lakini pia mimi ni mtu wa taarabu kwa vile mziki wa kwetu watu wa pwani ya bahari ya Hindi ni taarabu
mtoa mada acha umbea au ulikua unataka na wew umfaid huyo mwanamke. ukioa haimanish mtu akimwelew mwanamke mngne au mwanaume mngne wasikulane. mnao ya chukulia mapenz serious kiasi hiki mtapata tabu sana.
 
jaman

mtoa mada acha umbea au ulikua unataka na wew umfaid huyo mwanamke. ukioa haimanish mtu akimwelew mwanamke mngne au mwanaume mngne wasikulane. mnao ya chukulia mapenz serious kiasi hiki mtapata tabu sana.
Sasa boss wangu bila umbea kuna maisha?
 
Jamani mwenzenu fridge langu haligandishi linapooza tu. Nimeshindwa kukaa nalo nitapasuka moyo.

Sasa Mwanamke umeolewa na mume ana kila kitu, anakupenda wewe na ndugu zako, anakujali kwenye Mambo yote madogo na ma kubwa Ila kweli unaenda kuliwa stoo na subordinate wako?
Ungeenda hotel basi Ila kwa hili umejidharaulisha sana.

Walijua hawaonekani Ila nimewaona sana.

Kweli wanaokataa ndoa wanazidi kupata point. Mwanaume tafuta mwanamke akuzalie watoto idadi unayotaka usijifunge funge.....ndoa waachie Bibi na babu zetu.

Wake za watu ukija unahema juu juu uje kabisa na kopo la maji maana nimewaona mnakuja kasi kweli...... Jiheshimuni kama ni kibamia pambana nacho ndo ulichochagua 😅.

Updates kulingana na comments:
Ukiona huu Uzi unachefua wewe pita kimya kimya maana kweli me ni mshamba ndio maana sisapoti kile wengi mnapenda... Lakini pia mimi ni mtu wa taarabu kwa vile mziki wa kwetu watu wa pwani ya bahari ya Hindi ni taarabu
🤣😂🤣😂👇🏿👇🏿👇🏿👇🏿
Mind your business

 
Mwendelezo ni kila Jumatano na Jumamosi kila wiki. Naitwa Jay Alchemist mwandishi toka Afrika Mashariki. Uongozi wa taifa za Afrika ndio hutufanya waafrika tuwe nyuma. Tunaitwa The Dark Continent. Kisa? Viongozi wetu ni walafi na kama mwandishi wangu kipenzi BEN R MTOBWA alivyoandika: Hawa wanafakamia mali ya umma kwa njaa ile ya umaskini. Baada ya shibe, wanaendelea kufakamia mali ya jamii ili wailinde shibe hiyo. Jiunge nami katika hii safari ya wazalendo wa Afrika. Tusome hii simulizi iitwayo: Serikali ya Wezi, Taifa La Waliodanganywa. Simulizi hii ni sehemu Kijasusi kama ile series ya Joram Kiango ya Ben Mtobwa sehemu ya Kimaisha na sehemu kubwa riwaya kama zile za Ken Walibora

Kesho ni Jumatano: endelezo la simulizi yetu yenye utani na uandishi wenye kipaji kama waandishi wetu watukufu wa Afrika Mashariki. Katikati ya saa 6pm-8pm EAT.
Tutamwona binti mwenye mini anavyomtesa fisi mtaani!

 

Attachments

  • Jamii.jpg
    Jamii.jpg
    783.9 KB · Views: 4
  • Serikali ya Wezi Article.png
    Serikali ya Wezi Article.png
    782 KB · Views: 3
Npe mbinu kiongoz zakivita nijilipue
Igiza siku moja unaumwa mpe simu rafiki yako ampigie kupitia simu yako ampange umezidiwa then kakuta yeye ndio mtu wa mwisho kuwasiliana ila lengo ni kumita aje getho akusaidie kupika ata uji kisha akisgafika unajifanya utaki uji ile anaanza kukushika shika kukubembeleza nawe unashika sehemu nyeti ambazo ukigusa achomoi
 
Igiza siku moja unaumwa mpe simu rafiki yako ampigie kupitia simu yako ampange umezidiwa then kakuta yeye ndio mtu wa mwisho kuwasiliana ila lengo ni kumita aje getho akusaidie kupika ata uji kisha akisgafika unajifanya utaki uji ile anaanza kukushika shika kukubembeleza nawe unashika sehemu nyeti ambazo ukigusa achomoi
😆😆😆Hii ni mbinu ya ukomando nliwahi itumia lakn aliishia kulia machozi mpaka mzuka uliniiehia kabisa
 
Watibeli kusema ukweli bila kuangalia upande.
Sema nikisema kwa Wanaume uchangiaji unakuwa mdogo. Unajua ni Kwa nini?

Utafutaji kwa Wanawake bado ni changamoto kubwa.

Kama Wanawake wakiweza kujitegemea huwezi sikia habari za unyanyasaji, ukatili, UONEVU na majina Mabaya kama single Mother

Uwepo WA hayo ni matokeo ya wanawake kuwa tegemezi. Na wewe unalijua Hilo
Tukisema dunia ya leo tulinganishe idadi ya wanawake wanaofanya majukumu ya wanaume, na idadi ya wanaume wanaofanya majukumu ya wanawake nadhani jibu unalijua kuwa idadi ipi ni kubwa, uonevu ni matokeo ya wanaume kutimiza majukumu yao kishingo upande huku wakisahau mgawanyo wa majukumu uliopo
 
Back
Top Bottom