Choosen85
JF-Expert Member
- Jun 22, 2022
- 1,143
- 2,475
Wanawake wengi ni ombaomba akpata mwanaume anawaza kupewa hela tu njaa mbele mtaji mbususu mkunduuuHapo kwenye akili nasapoti Ila kwenye pesa Sina uhakika
Hapo nakupa fifty
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wanawake wengi ni ombaomba akpata mwanaume anawaza kupewa hela tu njaa mbele mtaji mbususu mkunduuuHapo kwenye akili nasapoti Ila kwenye pesa Sina uhakika
Hapo nakupa fifty
It is her choice kuwa public or confidential, why are u bothered na private life ya mtuOf course is non of my business but is not off my eyes....
You should avoid doing your private issues in public places
Tukisema dunia ya leo tulinganishe idadi ya wanawake wanaofanya majukumu ya wanaume, na idadi ya wanaume wanaofanya majukumu ya wanawake nadhani jibu unalijua kuwa idadi ipi ni kubwa, uonevu ni matokeo ya wanaume kutimiza majukumu yao kishingo upande huku wakisahau mgawanyo wa majukumu uliopo
Humu ni kutoishi kwa akili za kushikiwa.Hao team kataa ndoa wenyewe hujajua kama wanakataa ndoa kifalsafa tu, kwa maneno matupu, au wanakataa ndoa kweli.
Inawezekana kuna mtu yupo nyumbani na mkewe wanapigana kila siku hawaachani, lakini akija JF ndiyo anatolea machungu ya ndoa yake kwa kusema "kataa ndoa".
Hapo umeongea,upo wapi?Kabisa tuzalisheni tu maana kwakweli Hali ni tete
Ila kweli . Umewaza mbali sana mkuuUsijaribu kufanya hiki kitu utapata ulemavu au utapoteza maisha.
Watakudhuru kulinda siri yao.
Jamani mwenzenu fridge langu haligandishi linapooza tu. Nimeshindwa kukaa nalo nitapasuka moyo.
Sasa Mwanamke umeolewa na mume ana kila kitu, anakupenda wewe na ndugu zako, anakujali kwenye Mambo yote madogo na ma kubwa Ila kweli unaenda kuliwa stoo na subordinate wako?
Ungeenda hotel basi Ila kwa hili umejidharaulisha sana.
Walijua hawaonekani Ila nimewaona sana.
Kweli wanaokataa ndoa wanazidi kupata point. Mwanaume tafuta mwanamke akuzalie watoto idadi unayotaka usijifunge funge.....ndoa waachie Bibi na babu zetu.
Wake za watu ukija unahema juu juu uje kabisa na kopo la maji maana nimewaona mnakuja kasi kweli...... Jiheshimuni kama ni kibamia pambana nacho ndo ulichochagua 😅.
Updates kulingana na comments:
Ukiona huu Uzi unachefua wewe pita kimya kimya maana kweli me ni mshamba ndio maana sisapoti kile wengi mnapenda... Lakini pia mimi ni mtu wa taarabu kwa vile mziki wa kwetu watu wa pwani ya bahari ya Hindi ni taarabu
Sasa ndio umekuja kwenye hoja yangu na mimi ndicho ninachowaambia wanaume wenzio siku zote kuwa huu mgawanyo wa majukumu siyo nature bali ni mapokeo ya kijamii tu, wao ndio hulazimisha kwamba huu mgawanyo wa majukumu ni nature hasa majukumu ya wanawake huku ya wanaume wakitaka yabadilike, na ndio maana nikakuambia kama wanaume mnataka huo mgawanyo wa majukumu ubadilike basi usibadilike kwenye majukumu ya wanaume tu bali hata ya wanawake kwahiyo mnapowahimiza wanawake kujihudumia wenyewe pia muwahimize na wanaume kujitunza wenyewe ili wasiwe mizigoHakunaga mgawanyo wa majukumu
Nature inataka kila mtu ajihudumie mwenyewe.
Na Yule ambaye ni mhanga wa Jambo lolote nature inamtaka ajihami.
Mgawanyo wa majukumu ni mapokeo tuu ambayo nature haiyatambui
Sasa ndio umekuja kwenye hoja yangu na mimi ndicho ninachowaambia wanaume wenzio siku zote kuwa huu mgawanyo wa majukumu siyo nature bali ni mapokeo ya kijamii tu, wao ndio hulazimisha kwamba huu mgawanyo wa majukumu ni nature hasa majukumu ya wanawake huku ya wanaume wakitaka yabadilike, na ndio maana nikakuambia kama wanaume mnataka huo mgawanyo wa majukumu ubadilike basi usibadilike kwenye majukumu ya wanaume tu bali hata ya wanawake kwahiyo mnapowahimiza wanawake kujihudumia wenyewe pia muwahimize na wanaume kujitunza wenyewe ili wasiwe mizigo
Ameshapita na joto hasira huko juu
Hujamuona?
Anaona wivu kwa nini unamtafuta binti majoto🙂 mzoee tuUuwiiiii!
Umetoka kwenye show ya vogodoro ndio kukaleta hii chai 😂Lakini pia mimi ni mtu wa taarabu kwa vile mziki wa kwetu watu wa pwani ya bahari ya Hindi ni taarabu
Atafungukaje wakati Hajaona kilichotokea huko store?!Ungefunguka hata style waliyotumia basi ili kataa ndoa wapate point za nyongeza
Kwa nini upo timu kataa ndoa?Boss me sio msagaji
Me ni ke
Hongera,nikajua bado ili nikuombe kitu fulani .😅😅
Nimeongea nikiwa labor boss nikisubiri kutotoa
Me naangalia mambo kwa jicho pana na sio kwa jicho La ubinafsi eti kwa vile mimi ni mwanamke.Kwa nini upo timu kataa ndoa?