Nilichoshudia leo kwa wanawake wanaojiuza

Nilichokipenda ni unawaji kwa maji tiririka kujikinga na omicron!
 
Usirudie tena ulichofanya Mkuu, sio kwamba usirudie kununua malaya hapana usirudie kuwachoresha utakuja kupigwa ufe hivi hivi Mkuu.

Akiropoka umemuibia jua imekula kwako, shukuru mungu karopoka jambo la kawaida.
Hao Malaya tabia ya kuwachomesha mabaharia Aina ya mleta uzi Kuna siku kidogo iwatokee puani, mwamba alitanya hivyo Sasa bidada akajifanya kumcholesha kwa wenzake wakamzukia si unawajua mpaka 50,000 ikamtoka, kumbe mwamba hakuridhika akaleta taarifa kwa wahuni wenzie kilichotokea lile dangulo lilikufa jumla.

Sent from my Infinix X5515 using JamiiForums mobile app
 
😂😂😂😂
 
Kwani papuchi si ni ile ile mkuu na wote wanajiuza japo kwa bei tofauti?, nadhani muhimu no kutulia na mmoja ambaye hakuuzii anakupa/mnapeana kwa upendo[emoji848]
Kiukweli mkuu sinaga iyo tabia nina mtu wangu japo sijamuoa bado ila nia thabiti ninayo na tumeanza mahusiano Mwaka 2019 December na ukweli sijawah gonga nje tangia nianzenae.

Nilichojaribu kuwaza Dem wa elfu 4 hiyo uchi si inatoa harufu mda wote? Maana hawaogi wale wakishaliwa ma kwa elfu nne nani atashindwa kuwala?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huyu jamaa alikuwa na nia yakutaka kufanya ngono mazingira ndiyo yaliyomkwamisha. Kuwakuta wanaume 4 wanafanya ngono.
Ngono ni tendo la siri kama kuna wanaume 4 wanafanya ngono hakuna tena siri

Yule dada angekubali kwenda geton kwake huyu jamaa angepiga
 
Mkuu nimecheka sana hii kitu[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Eti ukawa unachomeka kama utambi wa taa[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Malaya anauza 4000 ujue hata life style yake ni ya Tsh 4000...chumba uswazi analipa 50K kwa mwezi au anakaa gheto..

Wapo Malaya wanakaa mikocheni, msasani, upanga, nk kwenye apartments wanalipa mpaka $500 - $1000 kwa mwezi...hawa akiuza hiyo 4000 ataipata saa ngapi hiyo $500...life style zao ni gharama pia ili kumaintain muonekano na thamani....Wapo Malaya wanapanda ndege na kwenda kuuza nchi mbalimbali, hawa unafikiri hizo gharama za kugharamia safari na kianzio wanazitoa wapi wakiuza hiyo 4000.... Unafikiri Malaya anayepatikana pale New Africa hotel Dar anaweza kuwa anauza huko banana kwa 4000?..
 
Kulala na kahaba ni kuichafua nafsi yako nawe mikosi itakuandama, kahaba,malaya ni jalala la kutupia mikosi KILA mwanaume uacha roho yake chafu pale unaposhiriki nae zile roho chafu zinakuvaa na maisha yako yanachafuka.

Uzinzi ni hatari sio suala la malaya tu...issue ni uzinzi...Papuchi ambayo ni salama ni mke wako ambaye mlikwenda kanisani au msikitini mkafunga ndoa, hiyo ndio salama maana tayari imebarikiwa na ina ulinzi kiroho..
 
Uzinzi ni hatari sio suala la malaya tu...issue ni uzinzi...Papuchi ambayo ni salama ni mke wako ambaye mlikwenda kanisani au msikitini mkafunga ndoa, hiyo ndio salama maana tayari imebarikiwa na ina ulinzi kiroho..
Makahaba na watoza ushuru wanawatangulia kuingia kwenye ufalme wa Mungu, tatizo mnachuja mbu na kumeza ngamia ....,!! Kwenye issue hii mnajifanya watakatifu , Ila mambo mengine ni waovu wa kimya kimya , Usiwadharau Sana hawa watu ..shukru Mungu tu Kwa Hali yako ya kimahusiano
 
Bora wale wanaotega maeneo anatafuta target moja analipwa 100k au 50k ananyweshwa, anakula na anaamka na 50k-100k akitoka hapo anaoga na vipodozi vyote kama anatoka ofisini vile....huyu hata mileage na wear rate ya K ukiifungia gauge inaweza kuwa ndongo...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…