Maserati
JF-Expert Member
- Jun 15, 2014
- 11,604
- 20,085
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]kila ntu na ntuwe.Kuna watu mafundi wa kutongoza,usione hatari mbinu hupishana baina ya ntu na ntu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]kila ntu na ntuwe.Kuna watu mafundi wa kutongoza,usione hatari mbinu hupishana baina ya ntu na ntu
Anyamaze alafu rafiki yake akifa kwa ngoma ahudhurie msiba wake au abaki anajilaumu?Wewe umejuaje kama huwa anafanya kale kamchezo?
Mwisho wa siku wewe ni mwanaume kaa kimya mapenzi ya watu usiyaingilie.
Kuchepuka achepuke yeye kuumia uumie wewe ulipewa kifua kitumie ipasavyo
Hahahah! Papuchi haina dini mkuj ila nimehuzunika uliposema jamaa ana mchezo mwingine! Kama ndio kwel kalamba du! Hapo sasa ndio hatar!Ndiyo kukua, kabla hujaingia kaburini utaona mengi na unatakiwa uwe na kifua cha kuyahifadhi.
Wee jamaa nahisi mzushi sasa, mara anatumia na ile kitu mara jamaa kaungua . Kila baya unmzushia huyo rafiki yako mla vya watu. Kwa stori yako mwenye mke na mwizi wa mke wote upo nao karibu. Umeomba mzigo wa huyo mama ukanyimwa nini? Ulikuwa unadhania huyo mama kitonga mtereko sio?Jamaa kaungua sasa na huwa lazima kapiga na ile kitu coz anasemaga
Mkuu, Mimi nimewahi kung'oa kifaa ambacho sikuamini. Sio kwa kunena huko.!!!Leo nilipigwa na bumbuwazi baada ya kuona mke wa rafiki yangu ambaye ni mke wa ndoa na watoto wanao na ni mlokole sana nilimwamini sna nikawa mpka nimewapa gredit sana wanawake wa namna hii ila leo nimemshuhudia kwa macho mahili akichepuka na kuliwa na tatizo huyu jamaa ambaye amechepuka naye anafanyaga na ule mchezo
Kwa kweli mpaka sasa siamini nilichoona kabisa kabisa kwa kuwa huyu dada huwezi amini anvyoongea ni kiongozi wa sifa kwa kanisa lao na yeye na jamaa yake mumewe yaani nakosa maneno ya kusema
Na bahati mbaya jamaa anajitapa sasa kamlamba na demu hana jipya
Huyu dada yupo hapa jamii forum na mumewe na mimi na id zao ninazo sasa nafikiria kumweka wazi jamaa ili ajue mchezo aliofanyiwa mkewe
Mbaya ya yote jamaa kampiga picha na jamaa kanitumia tatu zipo ninazo
Kwa kweli mwanamke wa kumwamini ni mama yako tu
Jamani achen wanaume wawe MAKATILI
Hii stori ya kutunga 100%mtu kua mlokole haimaanishi amekua malaika.
wapo wanojikuta wameingia majaribuni km bindam wengine na wapo walioimara hawa tetereki.
Anyamaze asiseme kwa watu, akishindwa atafute mtego ili asije onekana mbayaAnyamaze alafu rafiki yake akifa kwa ngoma ahudhurie msiba wake au abaki anajilaumu?
Hadi kwa baba tenaMkuu, Mimi nimewahi kung'oa kifaa ambacho sikuamini. Sio kwa kunena huko.!!!
Anyway.. Wanawake wana matatizo makubwa sana. Na ndio waigizaji wakubwa sana. Ndio wanaharibu ndoa Mara zote.
U mwamini mama yako kwenye lipi? Wakati baba yako mwenyewe hamuamini.?
Kama sio stori ya kutunga basi kuna mambo anahukumu kwa hisia lakini haya ukweli/uhalisia.Hii stori ya kutunga 100%
1.Anazijua ID za JF za dada mlokole na mumewe
2.picha za tukio kapewa
3.kaka mzinifu ana ngoma
4. kaka mzinifu anafanya kinyume na Maumbile
5.dada mlokole ni kiongozi kanisani
what a coincidence!
I like your reasoning ability Mkuu.Hii stori ya kutunga 100%
1.Anazijua ID za JF za dada mlokole na mumewe
2.picha za tukio kapewa
3.kaka mzinifu ana ngoma
4. kaka mzinifu anafanya kinyume na Maumbile
5.dada mlokole ni kiongozi kanisani
what a coincidence!
Amen.Devil at work!Tuliambiwa omben ili msije mkaingia majaribuni maana roho i radhi lakini mwili ni dhaifu.Bado tupo wenye hofu ya Mungu mpendwa usikate tamaa.Wote tunahitaji neema ya kushinda dhambi na pia tuikimbie zinaa tuliambiwa sasa kama utaiintartain basi we kwishne,
Amen.Still tupoooooooooooooooooooooo i insist huo ni udhaifu wa mtu na kutokua na hofu ya Mungu na mtu hujaribiwa kwa tamaa yake mwenyewe.Na si wote wanaojiita walokole wamesimama na Mungu wengine hutumia kama kimvuli tu cha kujifichia bt wa ukweli bado tupoooooooooooooooooooooo.Imeandikwa USIZINI PERIOD.Na ndo maana Yesu alisema anipendae atazishika amri zangu.Na mtu akitaka kumfuata ajitwike msalaba wake amfuate.
Aisee?Uzuri wa huyo dada hana dhambi maana wanasemaga kuwa mtu ukiokoka huna dhambi tena
Ana agenda ya siri nyuma ya huo utunzi wake, kujaribu kuionyesha jamii kwamba walokole ndo wazinzi kupita viumbe wote, shetani yupo nyuma yake.Hii stori ya kutunga 100%
1.Anazijua ID za JF za dada mlokole na mumewe
2.picha za tukio kapewa
3.kaka mzinifu ana ngoma
4. kaka mzinifu anafanya kinyume na Maumbile
5.dada mlokole ni kiongozi kanisani
what a coincidence!