babukijana
JF-Expert Member
- Jul 21, 2009
- 14,478
- 18,341
we lete mbwembwe tu,siku ukakuta mkeo nae analiwa ndogo na huyo mume wa mwanamke wa kanisa utaomba kushuka kwenye sayari hii sijui uelekee wapi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
utakuta wachungaji wanawadanganya wakiwa na yesu hawawezi kuzeheka.matokeo yake utakuta m bibi anajichubua na nywere anaweka madawa ya kuzibadirisha anabaki kama zombi,akizania amekua msichana.[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2]Hakuna wanawake duniani laini kurubunika kama walokole
Mwanaume ni sawa na chai...mwanamke ni sawa na mkate.....Hamna jeuri nyie mikate tuStill tupoooooooooooooooooooooo i insist huo ni udhaifu wa mtu na kutokua na hofu ya Mungu na mtu hujaribiwa kwa tamaa yake mwenyewe.Na si wote wanaojiita walokole wamesimama na Mungu wengine hutumia kama kimvuli tu cha kujifichia bt wa ukweli bado tupoooooooooooooooooooooo.Imeandikwa USIZINI PERIOD.Na ndo maana Yesu alisema anipendae atazishika amri zangu.Na mtu akitaka kumfuata ajitwike msalaba wake amfuate.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]Kwaio jamaa atakuwa amemla na ule mtandao wetu pendwa au?
HakikaStill tupoooooooooooooooooooooo i insist huo ni udhaifu wa mtu na kutokua na hofu ya Mungu na mtu hujaribiwa kwa tamaa yake mwenyewe.Na si wote wanaojiita walokole wamesimama na Mungu wengine hutumia kama kimvuli tu cha kujifichia bt wa ukweli bado tupoooooooooooooooooooooo.Imeandikwa USIZINI PERIOD.Na ndo maana Yesu alisema anipendae atazishika amri zangu.Na mtu akitaka kumfuata ajitwike msalaba wake amfuate.
Umemuona kwa macho Yako mawl kweli?? How??Leo nilipigwa na bumbuwazi baada ya kuona mke wa rafiki yangu ambaye ni mke wa ndoa na watoto wanao na ni mlokole sana nilimwamini sna nikawa mpka nimewapa gredit sana wanawake wa namna hii ila leo nimemshuhudia kwa macho mahili akichepuka na kuliwa na tatizo huyu jamaa ambaye amechepuka naye anafanyaga na ule mchezo
Kwa kweli mpaka sasa siamini nilichoona kabisa kabisa kwa kuwa huyu dada huwezi amini anvyoongea ni kiongozi wa sifa kwa kanisa lao na yeye na jamaa yake mumewe yaani nakosa maneno ya kusema
Na bahati mbaya jamaa anajitapa sasa kamlamba na demu hana jipya
Huyu dada yupo hapa jamii forum na mumewe na mimi na id zao ninazo sasa nafikiria kumweka wazi jamaa ili ajue mchezo aliofanyiwa mkewe
Mbaya ya yote jamaa kampiga picha na jamaa kanitumia tatu zipo ninazo
Kwa kweli mwanamke wa kumwamini ni mama yako tu
Jamani achen wanaume wawe MAKATILI
"HAKUNA MKE WA MTU NA HAKUNA MUME WA MTU" by kichondi.Mbona walokole wanaliwa tu, tena wake za watu. Sema tu tumuombe Mungu yanayomkuta jirani yako yasikukute wewe.
Duh!!! Labda huyo Dada kaamia dhehebu jipya la Michepuko!!!!Leo nilipigwa na bumbuwazi baada ya kuona mke wa rafiki yangu ambaye ni mke wa ndoa na watoto wanao na ni mlokole sana nilimwamini sna nikawa mpka nimewapa gredit sana wanawake wa namna hii ila leo nimemshuhudia kwa macho mahili akichepuka na kuliwa na tatizo huyu jamaa ambaye amechepuka naye anafanyaga na ule mchezo
Kwa kweli mpaka sasa siamini nilichoona kabisa kabisa kwa kuwa huyu dada huwezi amini anvyoongea ni kiongozi wa sifa kwa kanisa lao na yeye na jamaa yake mumewe yaani nakosa maneno ya kusema
Na bahati mbaya jamaa anajitapa sasa kamlamba na demu hana jipya
Huyu dada yupo hapa jamii forum na mumewe na mimi na id zao ninazo sasa nafikiria kumweka wazi jamaa ili ajue mchezo aliofanyiwa mkewe
Mbaya ya yote jamaa kampiga picha na jamaa kanitumia tatu zipo ninazo
Kwa kweli mwanamke wa kumwamini ni mama yako tu
Jamani achen wanaume wawe MAKATILI
Uko right man... nilishakuwa na mwanamke mlokole, tena mwimba kwaya..Hakuna wanawake duniani laini kurubunika kama walokole
Ulimuona wapi kama siyo wewe mweLeo nilipigwa na bumbuwazi baada ya kuona mke wa rafiki yangu ambaye ni mke wa ndoa na watoto wanao na ni mlokole sana nilimwamini sna nikawa mpka nimewapa gredit sana wanawake wa namna hii ila leo nimemshuhudia kwa macho mahili akichepuka na kuliwa na tatizo huyu jamaa ambaye amechepuka naye anafanyaga na ule mchezo
Kwa kweli mpaka sasa siamini nilichoona kabisa kabisa kwa kuwa huyu dada huwezi amini anvyoongea ni kiongozi wa sifa kwa kanisa lao na yeye na jamaa yake mumewe yaani nakosa maneno ya kusema
Na bahati mbaya jamaa anajitapa sasa kamlamba na demu hana jipya
Huyu dada yupo hapa jamii forum na mumewe na mimi na id zao ninazo sasa nafikiria kumweka wazi jamaa ili ajue mchezo aliofanyiwa mkewe
Mbaya ya yote jamaa kampiga picha na jamaa kanitumia tatu zipo ninazo
Kwa kweli mwanamke wa kumwamini ni mama yako tu
Jamani achen wanaume wawe MAKATILI