Nilichowafanya hawa mabinti wa IFM hawatanisahau

Mkuu niseme tu. Nakupongeza kwa maamuzi magumu ya kumwacha huyo bint ajifunze maana huwezi kualika mtu mmoja aje na kijiji.

Bora angekwambia kuwa atakuja na watu wengine nawe ungejipanga ila kitendo cha kuja na kijiji je kama ungemfuata na usafiri wako wa miguu miwili ingekuwaje kuhusu hao wenzakeee?

Wadada acheni utoto. Ukitolewa out nawe usijifanye kuwatoa mashoga zako out kwa mgongo wa mwingne
 
Mjinga hufunzwa kijinga na funzo lake huwa halisahau
 
Waje wawili basi
 
Safi sana hawa viumbe ukieaendekeza utaumbuka
 
Unajua bei ya bia masaki,small planet haiko kinyerezi ni tabata bima,goba ni mbali sana
 
Utetezi kwa Bint kuwa alitaka kujihakikishia usalama bado una mapungufu! Huyo Bint alikuwa na nfs ya kuchagua sehemu ya mtoko anayoona ina usalama mkubwa kwake ikiwemo msaada kwa watu, angechagua hata kwenda kula kuku KFC
 

Taifa limefika hapa
 
Concurred....!

Tatizo wana JF huwa wananishangaza sana kwa kujimwambafai kuwa wana uwezo mkubwa sana na ni Matajiri

Ila wengine wanaset mitego hapa pia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…