Nilichowafanya hawa mabinti wa IFM hawatanisahau

Hivi bill ya laki moja uipleke polisi utatumia laki mbili kuipata,
 
Unajua mkuu malaya wanajulikana. Pale mnapokutana tu utajua hili ni kundi la malaya. Sasa mazingira ya maamuzi utakayochukua ndo yataamua aibu utakayoipata.
Malaya wa chuo ni advanced kidogo
 
Hivi bill ya laki moja uipleke polisi utatumia laki mbili kuipata,
Ni kweli, ila Kuna wengine wala hawaitaki hiyo laki, basi tu unakutana na meneja wa hoteli kaamua uaibike apate credit kwa mabinti hao apewe na namba. Si unajua binadam. Scenario yoyote inaweza kutokea.
 
Umefanya vizuri mnoo mkuu, unaitwa peke yako kwenye mtoko then nawe unaita chawa wako wakati we mwenyewe unalipiwa[emoji16][emoji16]

Me huwa nafanyaga tofauti kidogo, nikimualika manzi namwambia kabisa nakuhitaji pekee(mtoko wa watu 2 sio kikosi cha wachezaji)
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Nipe namba ya huyo demu mkuu, hapo ilikuwa unawala wote hao sio kukimbia
 
Mimi sisitadu mmoja aliniambia nilipie kabisa room anakuja🤣🤣🤣🤣 kilichotokea na simu yake akazima mpaka kesho yake na chumba nishalipia🤣🤣🤣🤣!!!!
Hizo za kawaida sana kwa mjini, ikiwa hivyo unachek na wahudumu wa humo ndani unampata moja unavaa gunia unakula ngozi!

Kisha huyo mzibguaji huwa unafika muda anaktafta..utashangaa anatuma SMS eti..

Mh
Nambie
Hello
Hi
Mambo
Kimya
Za siku
Sorry unaweza nisaidia namba ya Fulani..


We jibu vzuri tu, taratiibu atarudi kwenye target. Akiingia king unampeleka Kibiti anachezwa kama ngoma kisha unamuacha huko.

Akitoka hapo anajifunza..wengine hujifunza kwa mifano ili waone wasiweze kutazama na wasikie pasipokufahamu!
 
Kaka shimboni nimekuelewa kaka!!
 
😅😅😅 From Masaki to G/mboto
 
wakati tunaenda outing for the 1st time baada ya kuimbisha almost mwaka finally akalegeza nati akaniambia nitakuja na mwenzangu nae anataka akuone kwani anapenda apate mwanaume wa kiafrika,
Huyu mwenzake naye amefanikiwa kumpata huyo Mwanaume wa kiafrika mkuu!?
 
Hongera mkuu ,vipi naweza kupata picha yake huyu mrembo?😅😅😅
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…