Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15]Shenzi sana kumbe ndo zako .
Na ndoma ukaenda kubambia na kumbato kavukavu demu Wa klabu .
Halafu ukaomba ushauri hapa
Watu tulisugua kichwa kukupa matumaini kumbe jitu lenyewe linawaza ngono kila sekunde .
Shabaaash!!![emoji16]
Unashangaa ntanyonya macho hayo[emoji3][emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15]
[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15]Itakuwa wewe huna chapaaa, bad face, zero brain, domo zege na huna hata body ya mazoezi.
Unategemea jina la degree unayoisomea ndio ikubebe. Kalaghabao!!!
Ndio mkuuMkuu bado hujapata demu tu, toka November 16
We jamaa umenikumbusha mbali sana..wakati naingia chuo mwaka 2008 nilikuwa na idea kama zako..dah kilichotokea sitaki hata kukumbuka!! Kiukweli chuo hamna mademu aisee..Aisee nilivyokuwa nasoma sekondari nilidanganywa ukifika chuo lazima upate demu kwa njia yoyote ile tena mademu wanakushobokea wenyewe na wanakutongoza wenyewe
Kulaleki kumbe walikuwa wananidanganya bana chuo hamna cha demu wala nini lazima uhaso kama vile sekondari tu yani mademu hakuna kabisa kama nilivyodhania
Nilijua nikifika chuo nitapata demu wa burebure kumbe hamna kitu kulaaaaaleki daah hapa nilipo nawaza ile kishenzi
Madogo wa seko ambao mpo humu msidanganywe chuo hamna mademu kabisa mademu wapo mtaani basi
Tatizo mnapenda kitonga sanaWe jamaa umenikumbusha mbali sana..wakati naingia chuo mwaka 2008 nilikuwa na idea kama zako..dah kilichotokea sitaki hata kukumbuka!! Kiukweli chuo hamna mademu aisee..
Ha ha mkuu kupata demu chuo na hauna kitu ni ngumu sana!!Tatizo mnapenda kitonga sana
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Kumbe ndio maana ulivamia pm ya mke wa mtu!! Ukame mbaya!