Nilidanganywa kumbe chuo hamna mademu

Nilidanganywa kumbe chuo hamna mademu

Shenzi sana kumbe ndo zako .

Na ndoma ukaenda kubambia na kumbato kavukavu demu Wa klabu .

Halafu ukaomba ushauri hapa

Watu tulisugua kichwa kukupa matumaini kumbe jitu lenyewe linawaza ngono kila sekunde .

Shabaaash!!![emoji16]
 
Shenzi sana kumbe ndo zako .

Na ndoma ukaenda kubambia na kumbato kavukavu demu Wa klabu .

Halafu ukaomba ushauri hapa

Watu tulisugua kichwa kukupa matumaini kumbe jitu lenyewe linawaza ngono kila sekunde .

Shabaaash!!![emoji16]
[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15]
 
Itakuwa wewe huna chapaaa, bad face, zero brain, domo zege na huna hata body ya mazoezi.

Unategemea jina la degree unayoisomea ndio ikubebe. Kalaghabao!!!
 
Itakuwa wewe huna chapaaa, bad face, zero brain, domo zege na huna hata body ya mazoezi.

Unategemea jina la degree unayoisomea ndio ikubebe. Kalaghabao!!!
[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15]
 
Aisee nilivyokuwa nasoma sekondari nilidanganywa ukifika chuo lazima upate demu kwa njia yoyote ile tena mademu wanakushobokea wenyewe na wanakutongoza wenyewe

Kulaleki kumbe walikuwa wananidanganya bana chuo hamna cha demu wala nini lazima uhaso kama vile sekondari tu yani mademu hakuna kabisa kama nilivyodhania

Nilijua nikifika chuo nitapata demu wa burebure kumbe hamna kitu kulaaaaaleki daah hapa nilipo nawaza ile kishenzi

Madogo wa seko ambao mpo humu msidanganywe chuo hamna mademu kabisa mademu wapo mtaani basi
We jamaa umenikumbusha mbali sana..wakati naingia chuo mwaka 2008 nilikuwa na idea kama zako..dah kilichotokea sitaki hata kukumbuka!! Kiukweli chuo hamna mademu aisee..
 
We jamaa umenikumbusha mbali sana..wakati naingia chuo mwaka 2008 nilikuwa na idea kama zako..dah kilichotokea sitaki hata kukumbuka!! Kiukweli chuo hamna mademu aisee..
Tatizo mnapenda kitonga sana
 
hahahaha unabukua hadi huwaoni....mi nikiwa chuo sikuwai kanyaga demu...ila after chuo sasa nimezoa hivo inategemea akili yako umewekeza wapi....kama kwamademu utawapa tu
 
Mbona wapo kibao au machoni pako wanaonekana kama wanaume nn?
 
Back
Top Bottom