donlucchese
JF-Expert Member
- Mar 23, 2011
- 17,128
- 21,885
Atakua ali- Dy/Dx (constant ) mkuuHahaaa mkuuu...
Ume diverge sanaaaa...
Mpk kwenye upishiiiiii....?
Tena miaka hiooo....?
Ulizunguka round about nn.......?
Tulikua tunasema ku intergrate zero.
Kua mkweli mkuu.....
Ulitagaa?
Kwamba alipata derivative ya costant namba[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Atakua ali- Dy/Dx (constant ) mkuu
Chuo Kikuu angeendaje na hakufaulu?Kiufupi angemaliza Chuo enzi za Mkapa sidhani kama angekosa hata kazi ya Ualimu
😂😂😂😂Maisha magumu asee. Ila nakomaa hapa hapa kwa muhindi huenda naweza kupata urithi akifa
Mkuu hata kukata vizuri nyanya, vitunguu na karoti lazima uwe umeiva vizuri katika kutafuta angle ya elevation, hivyo hujapotea ni mle mle tu.Wakati nasoma A-level, Mkwawa High School (1999-2001) ulipita uvumi kuwa tunaosoma PGM tunaandaliwa kuwa marubani lakini leo hii ninafanya kibarua kama mpishi kwa Mhindi Masaki. Kwa mshahara wa 250,000/= kwa mwezi
Aisee elimu hii ovyo sana.
View attachment 1274044
Of courseMkuu hata kukata vizuri nyanya, vitunguu na karoti lazima uwe umeiva vizuri katika kutafuta angle ya elevation, hivyo hujapotea ni mle mle tu.
BwiiiiiiKwani mkuu umeshindwa kabisa kutimiza ndoto zako za kuwa rubani!??
Suluhisho ni kwamba, endesha hata airplane mode kwenye simu yako.
Rusha tu mkuuNatamani kurusha KLM
Maisha magumu asee. Ila nakomaa hapa hapa kwa muhindi huenda naweza kupata urithi akifa
We na bado haujamuelewa mleta mada, yeye hakupanga kuwa Sheff alitaka kuja awe rubani.Lakini mbona una chance nzuri sana..jiendeleze upishi uwe chef mzuri..uje ufungue hotel ya mapishi ya kihindi
Unatoka nje ya mada...kwan amesema yy ni ke?mbona kitaani wlokua magenius leo wanawaomba lift au buku walokua vilaza?masuala ya k yamekujaje!srma ndoto zake hazikutimia tu...!😏
Matokeo yako ya A level Physic S.Wakati nasoma A-level, Mkwawa High School (1999-2001) ulipita uvumi kuwa tunaosoma PGM tunaandaliwa kuwa marubani lakini leo hii ninafanya kibarua kama mpishi kwa Mhindi Masaki. Kwa mshahara wa 250,000/= kwa mwezi
Aisee elimu hii ovyo sana.
View attachment 1274044