and 300
JF-Expert Member
- Jun 27, 2012
- 26,398
- 36,406
Nenda ATCL na Ilani waelezee ishu yako watakuelewaAisee acha tu ndugu zangu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nenda ATCL na Ilani waelezee ishu yako watakuelewaAisee acha tu ndugu zangu
kiasi flani uko sawa kiasi flani hauko sawa.Usije dhani urubani unaweza mchukua kilaza tu kumbuka kuna mitihani na vyeti vyake ni vya kimataifa kingine nikuongezee ni kwamba kozi ya chopa ni ngumu kuliko urubani wa ndege zingineSiku hizi marubani ni waliosoma form four na kupata hata div four bila kujali kasoma nini kigezo uwe mtoto wa kishua, unaanza vikozi vidogo vidogo vya kuendesha chopa, unakwenda nairobi kidogo, unakwenda sauzi ukirudi unaanza vikampuni vidogo unapata uzoevu mwisho unaanza kuyarusha
Nimecheka sana [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Mkuu hata kukata vizuri nyanya, vitunguu na karoti lazima uwe umeiva vizuri katika kutafuta angle ya elevation, hivyo hujapotea ni mle mle tu.
Ha ha ha "Kapteni Kalima is speaking here...."Wakati nasoma A-level, Mkwawa High School (1999-2001) ulipita uvumi kuwa tunaosoma PGM tunaandaliwa kuwa marubani lakini leo hii ninafanya kibarua kama mpishi kwa Mhindi Masaki. Kwa mshahara wa 250,000/= kwa mwezi
Aisee elimu hii ovyo sana.
View attachment 1274044
Hukujamba?Nimecheka sana [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Ada Bei kubwa Sana.Loan Board waanze kutoa mikopo kwa wanafunzi wanaotaka kusoma Urubani
Inshallahbw mpishi kama badala ya kwenda prepo ulikuwa unaenda makanyagio au ruaha club disko au uwanjani kule chini kuinamisha mademu au kusimama kwenye korido za juu gizani kula mate watoto wa watu utakuwaje rubani? ukimuona mwalimu Mgimwa..Masatu..Tende waambie nawasalimia
Bado tu?Inshallah Mambo yatakaa sawa
Ukifanya kwa mhindi miaka kumi usipokua tajiri nibkwamba hujapendaHahahaaaa. Bora uhai mkuu.
Kwa waliosoma miaka hiyo uliotaja, bado fursa za ajira zilikuwa ni nyingi. Mimi mwenyewe nimemaliza miaka michache mbele ya hapo, lakini nilizitema nafasi za kazi zaidi ya sita nilizopata ndani ya mwaka mmoja, zenye mshahara wa sh. 450,000/= za wakati huo 2004, nikachagua moja. Kwa hiyo kama unapika kwa mhindi kwa ujira huo tena za wakati huu, nadhani tatizo lipo upande wakoWakati nasoma A-level, Mkwawa High School (1999-2001) ulipita uvumi kuwa tunaosoma PGM tunaandaliwa kuwa marubani lakini leo hii ninafanya kibarua kama mpishi kwa Mhindi Masaki. Kwa mshahara wa 250,000/= kwa mwezi
Aisee elimu hii ovyo sana.
Hahahahaah nimecheka sanaHahaaa mkuuu...
Ume diverge sanaaaa...
Mpk kwenye upishiiiiii....?
Tena miaka hiooo....?
Ulizunguka round about nn.......?
Tulikua tunasema ku intergrate zero.
Kua mkweli mkuu.....
Ulitagaa?